Siri yangu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2023
- 1,849
- 3,756
Katafute wanapatikana Maswa huko , sisi tuache kabisaa tutakuumiza
Kama umemuongelea mume wangu sifa zote anazo kasoro anawahi kukasirika kwa jambo hata dogo ila hasira zinawahi kuisha.1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea
Na zingine malizieni……..
Na wewe kama mwanamke una sifa zipi angalau 20 kuambatanisha na huyo mwanaume mwenye sifa za watu 16 tofauti....!!! Na wewe una offer nini na mchango gani kama msaidizi kwa huyo husband material,1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea
Na zingine malizieni……..
HahahahahaYes. Na ukiona nawe wife material hauna sifa kama hizo, haufai.
Vijana zingatieni hilo 😆😆😆
Watu wa hovyo sana......utakuta umempata mwenye sifa zote alafu unaenda kuliwa na Mudi boda boda au na Muha mkopesha vyombo!



Eti "anakufanyia surprise very often"...
Ma tamthilia ya kituruki na kikorea yamewajaa vichwani.....
Mtaishia kupata "bongo movie"mkiendekeza hizo tamthilia![]()





Namkubali sana yule rafiki yako boss wa kariakoo jina sijui lamomy yy hana mbambamba defn ya mwisho ya husband material ni 💸💸💸💸hizi porojo zngn hana mda nazoMwanaume akishakua na maokotoo ya kushatoo, ni husband material tayari,
Hizi zingine ni mbwembwe tyuuh.![]()
Adi mimi?
Adi mimi?



ujue hizo ni sifa za watu zaidi ya 10. Tutafanya ukaguzi kwanzaMwanaume akishakua na maokotoo ya kushatoo, ni husband material tayari,
Hizi zingine ni mbwembwe tyuuh.![]()


umenena ukweli

Ukaguzi wa nini ngoja tulete na sifa zenu 64
Ukaguzi wa nini ngoja tulete na sifa zenu 64


jaman si ukaguzi wa kujua hizo sifa hapo juu zipo ama hazipo?