Sifa ya kabila la Wanyaturu wanaume

Sifa ya kabila la Wanyaturu wanaume

Ni warina asali mashuhuri na wanakula nyama za punda kama ndugu zao wanyiramba.
 
Mwambie mdogo wako aukimbie uo moto kwan hao jamaa ni wapenda chin ya kitov mbaya hvyo lzma atamchit ua young sis!
 
wanyaturu ni kama wanyiramba,warangi,burbeg,mang'ati, wote sawa ni layzlayz wamepooza sana haraf kama wachina awaoti ndevu cjui wanakulaga nn?

Kazi kweli kweli hivi hili kabila lipo maana hakuna wa kwao kutuelimisha , hii ina maana yasemwayo yote kweli ? Mbona kuna Mheshimiwa mmoja matata bungeni toka huko ? Sounds like personal issues zaidi hapa !
 
habari zenyu bhaana. Najua haina majotroo, nina mdg wangu amepata mchumba wa kinya2ru, ameniuliza kama najua sifa zao bahti mbya sizifahamu. Msaada tafadhali wa ndugu kama kunawanaozifahamu. Thanx indeed
I wish ninge mjua huyo jamaa nimwambie anataka kuingia mkenge kwa kuoa kimeo kinacho tafuta mume utadhani anataka kununua pc so anaulizia specification zake, lol
 
Nafikiri huyo anayetafuta kabila hajapenda ,lakini kuwa positive . Hivi Tundu Lisu mwenye kuchemsha bunge si mnyaturu?inakuwaje yanaongelewa yasiyo na mashiko? ningepata nafasi ya kumshauri huyo kaka ilikuwa tu asimchukuehuyo dada maana hajapendwa kabisa hapo.
 
huyo mdogo wako hajapenda ila anajaribu tu kupitapita coz mapenz huwa hayachagui kabila wala rangi na kama huyo jamaa ningekuwa ndo mimi mdogo wako asingenipata tena. So mwambie ajirekebishe huwa hatufanyi hivyo ktk mapenzi sawa mama?
 
Lady G,acha hzo. Itakuwa ni wewe nn? Acha kumsingizia mdogo wako. Wanyeremba wako poa tu wewe jitwalie mwaya! Haina majotroooo!
 
Mwambie aache mambo ya kizamani kabila so issue kabisa
<br />
<br />
SURE WENGINE HAWAJUI HATA BABA ZAO,MWANAMAMA UNAKUTA MIMBA MOJA INA WABABA KADHAA HATA ALIEMDUNGA MIMBA HAMJUI,WE UKIZALIWA UNAJIKUTA TU UNAITWA FLORA MSOFE UNADHANI NI MPARE KUMBE LOOOL MMANG'ATI KABILA SI ISHU BANAAA
 
Ni vema kujuzana, tusipende kutukana kila mada, aliyeuliza ana mahitaji ya msingi.
Ukweli ni kwamba hawa watu majibu aliyoyatoa fakikuge ndiyo hasa. Hawa watu ni shemeji zangu kwahiyo ninwafahamu san nimefikia hata kuishi nao.

Wazembe sana wa kufikiri, wanaaibu iliyopitiliza, hawajiamini kabisa naamini ni kutokana na malezi ya singida kuwa ya pembezoni sana, elewa kwamba singida ndo mkoa maskini sana tanzania hata wilaya maskini ziko huko.
Wanapofanikiwa hawawajali waliowatoa(ipo mifano hai) wanaweza kuacha wanandoa wenzao pia... Be carefull on this. Ila wanajua kupenda, sio wanafiki, ni wakarimu ila waweza kupandisha mori kama wamasai endapo utawaudhi. Otherwise they are goodmens. Ila dada zao............vichech...... Kawema se... Se...... Sep....t
 
Dada frola Avatar yako nimeipenda inazungumza mengi zaidi. ahsante


<br />
<br />
SURE WENGINE HAWAJUI HATA BABA ZAO,MWANAMAMA UNAKUTA MIMBA MOJA INA WABABA KADHAA HATA ALIEMDUNGA MIMBA HAMJUI,WE UKIZALIWA UNAJIKUTA TU UNAITWA FLORA MSOFE UNADHANI NI MPARE KUMBE LOOOL MMANG'ATI KABILA SI ISHU BANAAA
 
mi ni mnyaturu tena kwa baba na mama bt mbona sina uvivu wala uzembe wa kufikiri, sifa zilizotajwa hamna hata moja ya kweli, tabia za mtu znaendana na hulka yake au mazingira aliyokulia so haiangalii kabila lake.
 
habari zenyu bhaana. Najua haina majotroo, nina mdg wangu amepata mchumba wa kinya2ru, ameniuliza kama najua sifa zao bahti mbya sizifahamu. Msaada tafadhali wa ndugu kama kunawanaozifahamu. Thanx indeed

hilo jina tu linamaanisha suburi uone
 
Marwi yanyu,mini yanyu hii ni maana gani?kuna mtu wa uko aliniambia hivi
 
akina Chariminglady, Lady doctor, FirstLady, sweetlady, Lady Unbreakable, Lady Njooni huku yule
ndugu yetu aliyezamia meli na kuibukia ughaibuni huyu hapa amerudi mwambieni baba mkubwa ameshapatikana asijirarua nguo zake bure kujeni kipande hichi mumuone anataka ushauri wenu kwani amezama
habari zenyu bhaana. Najua haina majotroo, nina mdg wangu amepata mchumba wa kinya2ru, ameniuliza kama najua sifa zao bahti mbya sizifahamu. Msaada tafadhali wa ndugu kama kunawanaozifahamu. Thanx indeed
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom