ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,460
hata nami nashangaa
Hadi leo bado wapo watu wanaoamini kuna tabia za kabila????????????????
Hadi leo bado wapo watu wanaoamini kuna tabia za kabila????????????????
hata nami nashangaa
Hellow my dear....
kweli au ndo kukatishana tamaaa huku..............wana wivu sana, wana mkono wa kupiga.
Nimejiona mwenyewe, unasemaje babu
hay best u hali gani
Wavivu wanapenda kurundikana kwa ndugu mwenye uwezo. In short hawana VISION
akina Chariminglady, Lady doctor, FirstLady, sweetlady, Lady Unbreakable, Lady Njooni huku yule
ndugu yetu aliyezamia meli na kuibukia ughaibuni huyu hapa amerudi mwambieni baba mkubwa ameshapatikana asijirarua nguo zake bure kujeni kipande hichi mumuone anataka ushauri wenu kwani amezama
Dada binamu ladyfurahia mwambie huyo dada mwana mpotevu Lady G kuwa mie simshauri aolewe na huyo mnyaturu teh teh!
mie mzima dear....sijui weye
niko poa dia ila tu mafua yananisumbua
Oh....pole sana..
umetumia dawa?
Haswaa mimi nimeishi nao nawafahamuHaswaaaaaaa Remote! Jirani na ninapoishi kuna mdada mnyaturu kaolewa na mnyakyusa.... Anaishi na kaka ake, wadogo zake wa kiume watatu,.... Yaani hiyo sifa ni wanaume wa kinyaturu kweli lol....