Sifa kuu za mnyama Mamba: Mfalme wa majini na nchi kavu

Kingine: Mamba hutumiwa na washirikina wa jamii za watu waishio kandokando ya maeneo ya vyanzo vya maji vyenye wanayama hao. Unaweza kupewa sharti la kwamba usije ukagusana na maji kwa maisha yako yote.

Wajita, Wakerewe na Wakara wataelezea vizuri....
 
eden kimario,
Mamba mwenye ubabe nchi kavu ni wa aina gani? Nguvu za mamba zipo kwenye mkia na miguu akiwa ndani ya maji, mamba haumi wala hatafuni, mamba kutumia nguvu kukata nyama kwa kutumia nguvu ya mkia na miguu kisha kujiviringisha ndani ya maji kisha huinua kichwa ili kipande cha nyama alichokikata kiteremke kooni na kuingia tumboni kwani hana uwezo wa kumeza kamawalivyo wanyama wengine.
 
!
!
Mamba Mchumba Tu Kwa Jaguar. Anafatwa Huko Huko Mtoni Anakamatwa Anavutwa Nje Analiwa Vizuri Tu Bila Shida Yoyote Mkuu. Hawezi Kuwa Mfalme Fala Hivyo.

Wale siyo mamba (crocodile) bali ni wanyama wafananao na mamba wanaitwa caiman! Wapole hivi, hawana makeke kama mamba
 
yale unaona magamba(scales)ni sensors na humsaidia kuhis mjongeo wowote ndani ya maji ilihali akiwa haoni.anaweza kuishi mwaka mzima bila chakula anachofanya ni HIBARNATION anajizima mwili wake kwa mapigo 2 ya moyo kwa kila dkk!!hufanya mwili kutumia energy ndogo sana katika kipindi hicho cha shida kama ukame.humeza mawe kwa ajili ya kusaga chakula tumboni.ndie mnyama wa 2 akitoka papa kwa kuwa na nguvu mdomoni inayopimwa kwa 4800 psi na simba akiwa na 1200psi huku binadam kipimo chake cha mwisho kuuma 120psi
 
Daaah! Kuna ujinga nimefanya juzi kati laiti kama ningekuwa nshasoma huu uzi nisingefanya nilichofanya
 
Kuna stori za kusadikika, kuwa mamba akinasa mawindo yake (hasa binadamu) huzama naye lakini kabla ya kutokomea humwinua juu ‘mateka’ huyo eti ili kuaga (heshima ya mwisho).... hili likoje mwalimu Kashasha..?
Mara nyingi mamba anayefanya hivyo anakuwa ametumwa au anafuatiliwa na watu baada ya kuwa amechukua mtu

Anakuwa anaibuka juu kuangalia kama wanaomfuatilia wako karibu
 
Kwenye macho ndio sehemu laini mno katika mwili wake na tumboni

Ni kweli nchi kavu sio mbabe sana ila ni mviziaji sana anapoona windo lake na akishalikamata hurudi majini haraka kwa kuwa ufalme wake mkubwa upo majini
Na akiwa na jeraha lolote mwilini mwake hawezi kuingia kwenye maji mpaka atakapopona
 
Back
Top Bottom