Sifa kuu za mnyama Mamba: Mfalme wa majini na nchi kavu

Mamba wapo wa maji chumvi na maji baridi. Mamba mkubwa zaidi ni wa maji chumvi ila mamba katiri zaidi ni wa maji baridi..nile crocodile ni katili kuliko mamba wengine...hawa ni wale wa mkondo wa mto nile na maji baridi anzia ziwa Victoria na visimbiti vyake wote jumlisha na wakule Zambia.....

Mamba wa maji chumvi ndio mrefu, mzito zaidi kufikia 1000kg,...vs Nile Crocodile ambae hufikia 550kg kama ni dume la mbegu, ila speed yake ni kubwa sana kuliko wa maji chumvi na huyu nile crocodile hugonga miaka 50 hadi 70 ila yule wa majichumvi hupiga years.
 
Mamba wapo wa maji chumvi na maji baridi. Mamba mkubwa zaidi ni wa maji chumvi ila mamba katiri zaidi ni wa maji baridi..nile crocodile ni katili kuliko mamba wengine...hawa ni wale wa mkondo wa mto nile na maji baridi anzia ziwa Victoria na visimbiti vyake wote jumlisha na wakule Zambia.....

Mamba wa maji chumvi ndio mrefu, mzito zaidi kufikia 1000kg,...vs Nile Crocodile ambae hufikia 550kg kama ni dume la mbegu, ila speed yake ni kubwa sana kuliko wa maji chumvi na huyu nile crocodile hugonga miaka 50 hadi 70 ila yule wa majichumvi hupiga years.
hivi hawa wa maji chumvi hapa kwetu Tanzania wapo kweli nina shaka nadhani wako Australia sijawahi sikia wavuvi bahari ya hindi wakisema kuna mamba
 
Hana ulimi hawezi kumeza
eden kimario,
Mamba mwenye ubabe nchi kavu ni wa aina gani? Nguvu za mamba zipo kwenye mkia na miguu akiwa ndani ya maji, mamba haumi wala hatafuni, mamba kutumia nguvu kukata nyama kwa kutumia nguvu ya mkia na miguu kisha kujiviringisha ndani ya maji kisha huinua kichwa ili kipande cha nyama alichokikata kiteremke kooni na kuingia tumboni kwani hana uwezo wa kumeza kamawalivyo wanyama wengine.
 
eden kimario,
Mamba mwenye ubabe nchi kavu ni wa aina gani? Nguvu za mamba zipo kwenye mkia na miguu akiwa ndani ya maji, mamba haumi wala hatafuni, mamba kutumia nguvu kukata nyama kwa kutumia nguvu ya mkia na miguu kisha kujiviringisha ndani ya maji kisha huinua kichwa ili kipande cha nyama alichokikata kiteremke kooni na kuingia tumboni kwani hana uwezo wa kumeza kamawalivyo wanyama wengine.
Mamba Haumi????? Mamba ndo mnyama mwenye Biting Force kubwa kuliko wote duniania akifatiwa na Fisii
 
Mama anafungwa kwa kulimwa kama nguruwe wa nyama ama ng'ombe tu. Ni ufugaji murua na wenye faida maradufu katika wanyama. Crocodile Farm
 
kiboko na mamba hawadhuriani na wanaheshimiana kwenye maji kama ilivyo CCM na ZZK kwenye siasa.
Mamba sio anaishi miaka 50 ana uwezo wa kuishi miaka 70-100
Mamba sio mnyama anayeishi miaka mingi kobe ana uwezo wa kuishi miaka300
Jelly fish ni aina ya samaki anaitwa Immortal yaani kuishi milele
Pamoja na ubabe wa mamba lakini kwenye maji yeye na kiboko hawadhuriani wanaogopana sana na kuheshimiana
 
Back
Top Bottom