The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 4,778
- 8,204
Kampuni zote za mabus iwe ni irzar, Marco polo, yutong nk hawaundi injini bali utumia za kampuni zao.Hizi yutong au zongtong unaweza pachika injini ya scania ,inawezekana ilo? Je Yutonga anakubali uachr kutumia injini yakr uchague ya kampuni nyingine,au mtengnezaji wa mabodi ya yutong hatrngenezi na injini yake? Naomba ufafanuzi.
Mabus na malori ya kichina utumia engine za cumin,weichai.
Ukitaka unaweza kule kule kiwandani unanunua injini na gearbox za scania wanakufungia au unaagiza body tu unakuja kufunga mwenyewe bongo.
Hata bongo zipo kampuni uagiza body tu za Marco polo au irzar kisha unavisha kwenye chasis.
Hata mchina body ikichoka unaagiza body tu unavua ya zamani unavisha body mpya unaendeleza game biashara ni mashindano bongo