NoreformNoelection
JF-Expert Member
- Jan 29, 2025
- 1,353
- 1,367
Blasto Makundi (BM)Tanga imevamiwa
1.Abood
2.Blatus makundi (BM)
3.Shabiby
Kuna nini Tanga mbona wote mmeanza ruti mpya
Blasto Makundi (BM)Tanga imevamiwa
1.Abood
2.Blatus makundi (BM)
3.Shabiby
Kuna nini Tanga mbona wote mmeanza ruti mpya
Weka wazi tu kuwa wanabubujikwa na machozi ya furaha na Lucas Mwashambwa apewe nakala yake'Mashine' hizo za kisasa zipo Bandari ya Dar zikikamilishiwa utaratibu tayari kwa kuanza safari huku wananchi wakisubiri kwa hamu kubwa ruti hiyo mpya.
Wanazaa sana huko au🤣😋🤣😋Tanga Kila abiria ana mtoto mdogo wa kusafiri nae🙌
Imagine watu wanatoka Karagwe, Tarime, Kigoma, Katavi, Sumbawanga, Songea nk hadi Dar damu imesimama, duh maisha haya!!1. Kila siti kwenye basi itamruhusu abiria kuweza kunyoosha miguu mbele kwa nafasi. Hivyo kuifanya damu itembee vizuri mwilini. Kwa hiyo hakuna abiria atakayefika mwisho wa safari na kulalamika miguu kuvimba au maumivu ya kiuno.
Abood umesikia mwenzako huku? Tabia ya maspika yenye kelele na usumbufu yamepitwa na wakati siku hizi kila mtu anapaswa kula starehe yake kwa privacy2. Kila abiria ata kontroo runinga yake mwenyewe ambayo ipo mbele ya siti yake bila kuingiliwa na jirani yake huku akitumia 'earphone' yake.
Hamna picha?umelipwa kumtangazia?Zimebaki wiki mbili kufikia Mei ambapo mabasi mapya ya Shabiby Line yataanza safari mpya toka Dar kwenda Tanga na toka Tanga kwenda Dar.
'Mashine' hizo za kisasa zipo Bandari ya Dar zikikamilishiwa utaratibu tayari kwa kuanza safari huku wananchi wakisubiri kwa hamu kubwa ruti hiyo mpya.
Kwa mwonekano wake mzuri, mabasi hayo yana sifa 10 kuliko mabasi mengine yanayopita njia hiyo.
1. Kila siti kwenye basi itamruhusu abiria kuweza kunyoosha miguu mbele kwa nafasi. Hivyo kuifanya damu itembee vizuri mwilini. Kwa hiyo hakuna abiria atakayefika mwisho wa safari na kulalamika miguu kuvimba au maumivu ya kiuno.
2. Kila abiria ata kontroo runinga yake mwenyewe ambayo ipo mbele ya siti yake bila kuingiliwa na jirani yake huku akitumia 'earphone' yake.
3. Kila abiria atakuwa huru kukontroo AC (Air Condition) eneo lake bila kumkera jirani yake.
4. Kila siti ina socket (tundu) za kuchajia simu.
5. Keria za ndani ya basi ni kubwa ambazo zinaweza kuingiza mabegi yenye eneo kubwa bila kubanana wala mikanda ya mabegi kuning'inia.
5. Buti za mizigo za chini zimetengenezwa kwa mazingira ya kudhibiti vumbi kuingia (sealed). Hivyo, mizigo ya abiria kufika mwisho katika ubora na usafi wake kama ilivyokuwa kabla ya kupakizwa.
6. Kila basi litaondoka muda sahihi ambao utaandikwa kwenye tiketi ya abiria ya kielektroniki.
Kwa sasa kuna mabasi yanapitisha muda wa kuongea hadi saa moja toka muda uliyoandikwa kwenye tiketi husika.
7. Basi linapokuwa safarini si rahisi abiria kujua linatembea kwa sababu sauti ya Injini haingii ndani ya basi mpaka abiria aangalie nje ndipo ajue linatembea. Hii ni kutokana na ubora wa gari lenyewe toka kiwandani.
8. Kila basi lina busati (mazulia) safi ambalo limetandikwa kuanzia mwanzo hadi mwisho. Lengo ni kumfanya abiria ajisikie yupo sehemu salama na sahihi.
9. Mabasi ya Shabiby yatakapokuwa yanaingia hotelini ili abiria ajihudumie kwa chakula na kunyoosha miguu, kama ikitangazwa ni dakika 10 zitatumika basi kweli ni dakika 10. Hakuna abiria atakayenusurika kuachwa au kuachwa eti kwa sababu basi limeondoka hotelini kabla ya dakika 10 kwisha.
10. Kila basi lina sehemu maalum ya kujisitiri abiria likiwa njiani.
Safi,sasa nauli ndio itakuwa mtitiZimebaki wiki mbili kufikia Mei ambapo mabasi mapya ya Shabiby Line yataanza safari mpya toka Dar kwenda Tanga na toka Tanga kwenda Dar.
'Mashine' hizo za kisasa zipo Bandari ya Dar zikikamilishiwa utaratibu tayari kwa kuanza safari huku wananchi wakisubiri kwa hamu kubwa ruti hiyo mpya.
Kwa mwonekano wake mzuri, mabasi hayo yana sifa 10 kuliko mabasi mengine yanayopita njia hiyo.
1. Kila siti kwenye basi itamruhusu abiria kuweza kunyoosha miguu mbele kwa nafasi. Hivyo kuifanya damu itembee vizuri mwilini. Kwa hiyo hakuna abiria atakayefika mwisho wa safari na kulalamika miguu kuvimba au maumivu ya kiuno.
2. Kila abiria ata kontroo runinga yake mwenyewe ambayo ipo mbele ya siti yake bila kuingiliwa na jirani yake huku akitumia 'earphone' yake.
3. Kila abiria atakuwa huru kukontroo AC (Air Condition) eneo lake bila kumkera jirani yake.
4. Kila siti ina socket (tundu) za kuchajia simu.
5. Keria za ndani ya basi ni kubwa ambazo zinaweza kuingiza mabegi yenye eneo kubwa bila kubanana wala mikanda ya mabegi kuning'inia.
5. Buti za mizigo za chini zimetengenezwa kwa mazingira ya kudhibiti vumbi kuingia (sealed). Hivyo, mizigo ya abiria kufika mwisho katika ubora na usafi wake kama ilivyokuwa kabla ya kupakizwa.
6. Kila basi litaondoka muda sahihi ambao utaandikwa kwenye tiketi ya abiria ya kielektroniki.
Kwa sasa kuna mabasi yanapitisha muda wa kuongea hadi saa moja toka muda uliyoandikwa kwenye tiketi husika.
7. Basi linapokuwa safarini si rahisi abiria kujua linatembea kwa sababu sauti ya Injini haingii ndani ya basi mpaka abiria aangalie nje ndipo ajue linatembea. Hii ni kutokana na ubora wa gari lenyewe toka kiwandani.
8. Kila basi lina busati (mazulia) safi ambalo limetandikwa kuanzia mwanzo hadi mwisho. Lengo ni kumfanya abiria ajisikie yupo sehemu salama na sahihi.
9. Mabasi ya Shabiby yatakapokuwa yanaingia hotelini ili abiria ajihudumie kwa chakula na kunyoosha miguu, kama ikitangazwa ni dakika 10 zitatumika basi kweli ni dakika 10. Hakuna abiria atakayenusurika kuachwa au kuachwa eti kwa sababu basi limeondoka hotelini kabla ya dakika 10 kwisha.
10. Kila basi lina sehemu maalum ya kujisitiri abiria likiwa njiani.
Wapemba wale wanaogopa kusafiri muda mrefu kwa majiWanazaa sana huko au🤣😋🤣😋
Inawezekana ikawa fupi na abiria ni wengiTanga imevamiwa
1.Abood
2.Blatus makundi (BM)
3.Shabiby
Kuna nini Tanga mbona wote mmeanza ruti mpya
Tanga nilipaelewa sana nilipofika kwa mara ya kwanza!Zimebaki wiki mbili kufikia Mei ambapo mabasi mapya ya Shabiby Line yataanza safari mpya toka Dar kwenda Tanga na toka Tanga kwenda Dar.
'Mashine' hizo za kisasa zipo Bandari ya Dar zikikamilishiwa utaratibu tayari kwa kuanza safari huku wananchi wakisubiri kwa hamu kubwa ruti hiyo mpya.
Kwa mwonekano wake mzuri, mabasi hayo yana sifa 10 kuliko mabasi mengine yanayopita njia hiyo.
1. Kila siti kwenye basi itamruhusu abiria kuweza kunyoosha miguu mbele kwa nafasi. Hivyo kuifanya damu itembee vizuri mwilini. Kwa hiyo hakuna abiria atakayefika mwisho wa safari na kulalamika miguu kuvimba au maumivu ya kiuno.
2. Kila abiria ata kontroo runinga yake mwenyewe ambayo ipo mbele ya siti yake bila kuingiliwa na jirani yake huku akitumia 'earphone' yake.
3. Kila abiria atakuwa huru kukontroo AC (Air Condition) eneo lake bila kumkera jirani yake.
4. Kila siti ina socket (tundu) za kuchajia simu.
5. Keria za ndani ya basi ni kubwa ambazo zinaweza kuingiza mabegi yenye eneo kubwa bila kubanana wala mikanda ya mabegi kuning'inia.
5. Buti za mizigo za chini zimetengenezwa kwa mazingira ya kudhibiti vumbi kuingia (sealed). Hivyo, mizigo ya abiria kufika mwisho katika ubora na usafi wake kama ilivyokuwa kabla ya kupakizwa.
6. Kila basi litaondoka muda sahihi ambao utaandikwa kwenye tiketi ya abiria ya kielektroniki.
Kwa sasa kuna mabasi yanapitisha muda wa kuongea hadi saa moja toka muda uliyoandikwa kwenye tiketi husika.
7. Basi linapokuwa safarini si rahisi abiria kujua linatembea kwa sababu sauti ya Injini haingii ndani ya basi mpaka abiria aangalie nje ndipo ajue linatembea. Hii ni kutokana na ubora wa gari lenyewe toka kiwandani.
8. Kila basi lina busati (mazulia) safi ambalo limetandikwa kuanzia mwanzo hadi mwisho. Lengo ni kumfanya abiria ajisikie yupo sehemu salama na sahihi.
9. Mabasi ya Shabiby yatakapokuwa yanaingia hotelini ili abiria ajihudumie kwa chakula na kunyoosha miguu, kama ikitangazwa ni dakika 10 zitatumika basi kweli ni dakika 10. Hakuna abiria atakayenusurika kuachwa au kuachwa eti kwa sababu basi limeondoka hotelini kabla ya dakika 10 kwisha.
10. Kila basi lina sehemu maalum ya kujisitiri abiria likiwa njiani.
Makutupora tabora kazi inaendelea bro"Madhara" ya SGR. Basi nyingi kuliko routes. Sasa itakapofika Mwanza itakuwa balaa. Wenye mabasi waanze kutafuta biashara mbadala.
Sielewi mantiki ya kuanza kujenga kipande cha pili cha SGR Mwanza-Isaka badala ya kuendelezea kutoka Makutopora - Tabora. Wakimaliza kipande hicho hakitaanza kuzalisha hela kwani hakijaungana na cha kutoka Dar.
hapana abiria watajiseti wenyeweTatizo ni Abiria wanaopanda humo...
Nashauri waweke nauli kubwa ili Tabaka fulani la watu wasiojielewa wasilete uharibifu.
Unakuta gari linapakiza mpaka Kuku.
Abood umesikia mwenzako huku? Tabia ya maspika yenye kelele na usumbufu yamepitwa na wakati siku hizi kila mtu anapaswa kula starehe yake kwa privacy
Ila kwenye kusafilisha vifurushi na mizigo wana chaji bei kubwa sana wale wafanyakazi wa Shabiby ,matokeo yake wamekimbiwa na wateja, wamekimbilia kwa ABC.Naikubali sana kampuni ya shabiby shida yao ni uhimilivu wa ruti ndo tatizo, Huwa ana tabia ya kukimbia ruti baada tu ya muda mfupi sitashangaa asipodumu kwenye hiyo ruti zaidi ya miezi 6
ABC ni the best kwa usafirishaji.... 🥰😜Ila kwenye kusafilisha vifurushi na mizigo wana chaji bei kubwa sana wale wafanyakazi wa Shabiby ,matokeo yake wamekimbiwa na wateja, wamekimbilia kwa ABC.
Abiria wa Tanga wanasafiri sana na mizigo kama wataendelea na kuweka mibei ya ajabu hiyo ruti itamshinda.
Ata mie najiuliza.....tanga kumechangamka sana kuna shughuli gani huko. Au wadada wa utam wanapiga shantingTanga imevamiwa
1.Abood
2.Blatus makundi (BM)
3.Shabiby
Kuna nini Tanga mbona wote mmeanza ruti mpya
Hii abc ni ya naniABC ni the best kwa usafirishaji.... 🥰😜