eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,401
1. Kicheko ambacho fisi hutoa huweza pelekea kujua umri wa fisi huyo.
2.Fisi ni wanyama wenye ushirikiano sana,ukimchokoza mmoja unakuwa umenunua ugomvi wa familia nzimaa,apo akitoka anaenda Kuita kundi wanakuja kama wotee kukabiliana na wewe.
3.Ni mnyama ambae hujali sana watoto wake na kutenga chakula cha watoto wake pembeni,huwa hawagusi kabsa chakula cha watoto na fisi mkubwa anaevunja sheria huchukuliwa hatua na sheria walizo jiwekea.
4.Fisi kabarikiwa uwezo mkubwa wa kunusa na kuhisi,Fisi anaweza kuchezwa na machale kiasi cha kumjua mnyama mgonjwa au mwenye afya mgogoro miongoni mwa wanyama wengi,Mfano wanaweza kujua simba mzee au mgonjwa yukoje katika kundi la simba , au Nyumbu wazaifu kuliko wote katika kundi la Nyumbu.
5.Damu kwao ndo kipandisha mori chao namanisha fisi akiona damu mzuka wake hupanda maradufu,pia mzuka wa kazi ndio huwapanda zaidi.
6.Fisi angekuwa binadamu tungesema atafute mzizi wa mmasai kwa maana ndiye mnyama ambae hutumia mda mchache zaidi katika kufanya mapenz,mda mwingi akitumia ni dakika tano hawezi zaidi zaidi ya hapo kwahiyo ni mnyama anae tumia mda mchache sana katika kufanya mapenzi,pia ni nadra sana kumwona akifanya mapenzi.
7.Fisi kwa lugha zetu au angekuwa binadamu piaa tungesema kala miguu ya mbuzi kwamaana fisi ndiye mnyama mwenye pilika pilika nyingi zaidi, hawez kutuliaa yeye ni mishe mishe tuuu, akitulia ujue mgonjwa au kachokaa sana.
8.Fisi ndiye bwana afya wa porini kwamaana yeye hushughulika zaidi na mizoga pia mizoga ndiyo chakula chake kikubwa....pia akikuta mizoga anafanya kusafisha anapita nayo(anakula),fisi ndiye msafishaji wa porini. Haina maana kuwa hawindi, hapana ila Mara chache sana.
9.Wanasema asiyekubali kushindwa si mshindani sasa fisi ni mnyama ambae haamini kushindwa katika mapambano, akianzisha tifu yani mwanzo mwisho, unaeza fananisha na wale wenzetu wakina mura panga likisha toka kiunoni halirudi tena mpaka mapambano yaishe.
10.Fisi ni mnyama ambae hapendi ulete mzaaa na watoto wake au chakula chake, kwahiyo cheza na vingine ila hapo umuache kabisa maana anaweza kukugeuza mzoga ndani ya dk 0.
2.Fisi ni wanyama wenye ushirikiano sana,ukimchokoza mmoja unakuwa umenunua ugomvi wa familia nzimaa,apo akitoka anaenda Kuita kundi wanakuja kama wotee kukabiliana na wewe.
3.Ni mnyama ambae hujali sana watoto wake na kutenga chakula cha watoto wake pembeni,huwa hawagusi kabsa chakula cha watoto na fisi mkubwa anaevunja sheria huchukuliwa hatua na sheria walizo jiwekea.
4.Fisi kabarikiwa uwezo mkubwa wa kunusa na kuhisi,Fisi anaweza kuchezwa na machale kiasi cha kumjua mnyama mgonjwa au mwenye afya mgogoro miongoni mwa wanyama wengi,Mfano wanaweza kujua simba mzee au mgonjwa yukoje katika kundi la simba , au Nyumbu wazaifu kuliko wote katika kundi la Nyumbu.
5.Damu kwao ndo kipandisha mori chao namanisha fisi akiona damu mzuka wake hupanda maradufu,pia mzuka wa kazi ndio huwapanda zaidi.
6.Fisi angekuwa binadamu tungesema atafute mzizi wa mmasai kwa maana ndiye mnyama ambae hutumia mda mchache zaidi katika kufanya mapenz,mda mwingi akitumia ni dakika tano hawezi zaidi zaidi ya hapo kwahiyo ni mnyama anae tumia mda mchache sana katika kufanya mapenzi,pia ni nadra sana kumwona akifanya mapenzi.
7.Fisi kwa lugha zetu au angekuwa binadamu piaa tungesema kala miguu ya mbuzi kwamaana fisi ndiye mnyama mwenye pilika pilika nyingi zaidi, hawez kutuliaa yeye ni mishe mishe tuuu, akitulia ujue mgonjwa au kachokaa sana.
8.Fisi ndiye bwana afya wa porini kwamaana yeye hushughulika zaidi na mizoga pia mizoga ndiyo chakula chake kikubwa....pia akikuta mizoga anafanya kusafisha anapita nayo(anakula),fisi ndiye msafishaji wa porini. Haina maana kuwa hawindi, hapana ila Mara chache sana.
9.Wanasema asiyekubali kushindwa si mshindani sasa fisi ni mnyama ambae haamini kushindwa katika mapambano, akianzisha tifu yani mwanzo mwisho, unaeza fananisha na wale wenzetu wakina mura panga likisha toka kiunoni halirudi tena mpaka mapambano yaishe.
10.Fisi ni mnyama ambae hapendi ulete mzaaa na watoto wake au chakula chake, kwahiyo cheza na vingine ila hapo umuache kabisa maana anaweza kukugeuza mzoga ndani ya dk 0.