eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,401
- Thread starter
- #21
Damu humtia uchizi fisi yaani anapenda mno damu fisiInasemekana akiona mwenzake ana damu damu anawezakumshambulia na kumla pia
Damu humtia uchizi fisi yaani anapenda mno damu fisiInasemekana akiona mwenzake ana damu damu anawezakumshambulia na kumla pia
Nini kilifuata mkuuAshawahi kunikaribia kichwani huyu nikiwa nimelala fofofo kubabake
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji95]Pia jua hakuna Fisi Dume wala Jike. Atakae pigwa mti ndio anazaa. Maisha yao ni kuwahiana tuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huwa wanatabia ya kushitua kwanza wajue kama upo hai au umedanja ili wanisosi vizuri sasa katika harakati zao za kunifukizia mamichanga nikashituka.Nini kilifuata mkuu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji95]
Ayali ni muharibifu tuPia nasikia fisi anapenda sana matikiti MAJI huyu kiumbe,
Ahahaaa acha fix mkuuPia jua hakuna Fisi Dume wala Jike. Atakae pigwa mti ndio anazaa. Maisha yao ni kuwahiana tuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo namba 3 ni balaa.mzee wa kazi huyo.Mnyama wenu pendwa huyo hapo
kiboko yake mbwa mwitu.
[emoji3] [emoji3] walikuwa wanakupeleka kwenye target yao mkuuHuwa wanatabia ya kushitua kwanza wajue kama upo hai au umedanja ili wanisosi vizuri sasa katika harakati zao za kunifukizia mamichanga nikashituka.
kabla ya kuamka nikakoroma kwanza wakakimbia kama hatua kumi nikaamka nikawakimbiza kufika mbali kidogo ngoma zikadinda nikaona hapa kuna kusosiwa hivihivi maana waliongezeka wakawa triple
Ipo siku Utarudi Zanzibar kwa kupiga mbizi maaana hujawahi kuongea lenye heri kwa Nchi yako wala serikali yako. Bila shaka utakuwa na shida kichwani mwako siyo hiv hiv.Vile vile kunafisisiemu hawa wanapatikana sana maeneo ya Lumumba wakiahidiwa buku saba wanaweza mchafua mtu yoyote
Hawa hawajawai kushinda kihalali mara nyingi hupora kura
Hawapendi kusikia harufu ya KATIBA MPYA wakisikia huwa kama wanachanganyikiwa hivi na wanaweza kufanya chochote
Daima huwa wanabebwa na dola wanaweza fanya chochote kumpiga au kumtukana yoyote au hata kumuua bila kuchukuliwa hatua
Neema yao kubwa ni kutumika kipindi cha uchaguzi baada kupewa skafu fulana na kofia
wanapenda maslahi binafsi kuliko maslahi ya umma kwao wao CHAMA KWANZA
Nilikua nakazia tuu
HAYO MAFISI HATARI HIVYO YANAPATIKANA NCHI GANI HUKO LUMUMBA?Vile vile kunafisisiemu hawa wanapatikana sana maeneo ya Lumumba wakiahidiwa buku saba wanaweza mchafua mtu yoyote
Hawa hawajawai kushinda kihalali mara nyingi hupora kura
Hawapendi kusikia harufu ya KATIBA MPYA wakisikia huwa kama wanachanganyikiwa hivi na wanaweza kufanya chochote
Daima huwa wanabebwa na dola wanaweza fanya chochote kumpiga au kumtukana yoyote au hata kumuua bila kuchukuliwa hatua
Neema yao kubwa ni kutumika kipindi cha uchaguzi baada kupewa skafu fulana na kofia
wanapenda maslahi binafsi kuliko maslahi ya umma kwao wao CHAMA KWANZA
Nilikua nakazia tuu
Mkuu eden kimario,
Siku nyingine ukipata nafasi tuwekee SIFA ZA MNYAMA 'NYUMBU', tumuone mabaya na mazuri yake.
Pamoja mkuuMkuu eden kimario,
Siku nyingine ukipata nafasi tuwekee SIFA ZA MNYAMA 'NYUMBU', tumuone mabaya na mazuri yake.