eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,401
- Thread starter
- #41
Simba hapendi kelele, ndio maana huwa anaamua kusepa.sema mafisi na mbwa nawashangaa sana eti unakuta yapo zaidi ya 10yanamuogopa simba mmoja...... ILA YAKIKUTA CHUI YANAMTOA BARU BALAA.
Fisi wanapokuwa wanapambana huwa wanapiga sana kelele zao zile so simba sio MTU wa makelele