Sielewi sababu za Mbeya kuwa jiji

Sielewi sababu za Mbeya kuwa jiji

Imekosa Huduma bora za jamii na miundo mbinu uki
Iinganisha na majiji mengine
tuanze na Afya. pana hospitali ngapi? ya rufaa, ya mkoa. hizi za jiji kama kiwanja mpaka, ruanda, na zahanati ndogondogo. igawilo. za private kubwa kama ks na uyole. hapo bado zahanati za watu binafsi. swala la lishe linajulikana. Usafi, nafikiri ni jiji linaloongoza kwa usafi imeona yale madampo movable?. shule za msingi na sekondari na vyuo nahisi ni jiji linaloongoza ukizingatia wastani wa watu. maji na umeme, hakuna sehemu ndani ya jiji la mbeya haina maji ya bomba na umeme. sehemu nyingine yanaweza yasitoke kwa wingi ila zaidi ya asilimia 90 wanauhakika wa maji. sehemu nyingi zinafikika kwa barabara japo siyo bora sana hata hivyo ni jiji gani lenye kujivunia ubora wa barabara? mzunguko wa pesa takwimu zinajulikana. mpangilio wa mji ni mbovu kwa sehemu kubwa kama tu majiji mengine ya Tz. kwenye Human development index jiji la Mbeya lipo juu sana kwa Tanzania hii. tatizo lako unawaza jiji ni maghorofa .
 
Huyo jamaa aliesema watu karibia laki 7 anaota yaani watu laki 7 upewe jiji wakati hao watu hata wilaya moja ya mbeya inahao watu angesema mbeya inawatu ml 5 hadi 6 nmgemuelewa maana naskia dar ndo jiji linaloongoza kwa idada kubwa ya watu na inayofuata ni hiyo mbeya kisha mwanza sasa kama inafuata kuifikia dar kwa idadi ya watu iweje ile laki 7 tu!?? Dar ina watu karibia mil 7 maana yake wikaya 1 ya jiji la dar inawatu mil 1 na ushehe
Mimi nimeongelea kigezo kua mbeya city INA watu zaidi ya laki7 ambayo ni moja ya sifa ya mji kua jiji imekizi kigezo na kuzidi. Mbeya kama mkoa unawatu zaidi ya mil1.5
 
Wenyeji wa hapo watatupa a b c
Vigezo vya mji kuwa jiji asilimia kubwa wanaangalia idadi ya watu, changio ktk pato la taifa ,huduma za kijamii kama hospital,shule,umeme,maji, transportation n.k hvyo ni baadhi ya vigezo
Inaonyesha asimilia kubwa mbeya hujatembea umeishia kuzulula mitaan bila kuangalia mambo ya umuhim mengi
 
Imekosa Huduma bora za jamii na miundo mbinu uki
Iinganisha na majiji mengine
Majiji yapi hapa Tanzania ambayo ww umeona yana miundombinu na Huduma za jamii nzuri kuliko mbeya,with vivid examples sio kijiongelesha tu
 
Jiji lipi ambalo hakuna ujenzi wa hivyo hapa Tanzania,hebu litaje
MKUU MIMI SIISEMI MBEYA ILA TZ YOTE NI SHIT! HATUNA HATA JIJI MOJA ILA TUNA MAENEO FLANI FLANI TU YENYE MWELEKEO WA KUFANANA NA JIJI. HAYA TUNAYOITA MAJIJI KARIBU YOTE NI KISIASA TU NA UTASHI WA WATU FLANI.
 
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza,

Mimi ni mwenyeji wa Mbeya mjini, kwa muda mrefu lakini mi ukweli sioni sababu za msingi za kuipatia Mbeya hadhi ya jiji yaani mji upoupo tu labda wajuvi mnieleze kama kuna sababu za kufanya Mbeya kuwa jiji.

Nawasilisha.
Tembea uone. Unataka kuifananisha Mbeya Na Mtwara?
 
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza,

Mimi ni mwenyeji wa Mbeya mjini, kwa muda mrefu lakini mi ukweli sioni sababu za msingi za kuipatia Mbeya hadhi ya jiji yaani mji upoupo tu labda wajuvi mnieleze kama kuna sababu za kufanya Mbeya kuwa jiji.

Nawasilisha.
Ndio matatizo ya kukulia huko Mpoloto halafu umeenda Dsm kumsindikiza dada yako aliyepata kazi ya u-house girl, basi unataka Mbeya iwe kama Dsm!
 
Mbeya ina nyota zangu tano katika hali ya hewa na upatikanaji wa chakula .

Jiji hili miundombinu kama barabara ni chache. Barabara ni moja tu ya kuingia na kutoka nje ya mkoa pia nyembamba hivyo husababisha jam sana mida ya jioni.

Kuna traffic lights sehem moja tu..
Ikifika saa tatu tu hiace ni changamoto. .
Ikifika saa nne tu maduka au vibanda vya mpesa vinavyokuwa wazi ni vya kuhesabu .
Kifupi Jiji limepoa sana
 
Back
Top Bottom