Muigai Jr
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 1,529
- 2,969
Wanaendana,ila Zitto kazidi.Zitto Kabwe hamzidi Tundu Lisu kwa uchumia tumbo!
Wanaendana,ila Zitto kazidi.Zitto Kabwe hamzidi Tundu Lisu kwa uchumia tumbo!
Anachofanya Maalim Seif ni usaliti machoni mwa mjinga asiyeijua vema katiba ya Zanzibar. Pia ni usaliti machoni mwa nyumbu asiyeikumbuka kauli ya Mbowe mwaka 2015 akibadilisha gia angani kuwa, "siasa haina adui wala rafiki wa kudumu".Sikupata jibu na niliwaza sana kilichompeleka Maalim Seif Ikulu kukutana na Magufuli ni nini?..
Kwenye siasa tumia akiri yako na sio ya mwanasiasa,Sikupata jibu na niliwaza sana kilichompeleka Maalim Seif Ikulu kukutana na Magufuli ni nini?...
Kwanini aliwasaliti na kuwaingiza watu kwenye vifo wakati akjua ataungana na magu kuliponya Taifa?
Hahahaaaa..........!Wanaendana,ila Zitto kazidi.
Alienda hijja chato.Sikupata jibu na niliwaza sana kilichompeleka Maalim Seif Ikulu kukutana na Magufuli ni nini?
Niliwaza sana, nikamlinganisha kitendo hicho na say, Museveni kukutana na Bobi Wine, his main rival au enzi hizo PW Botha kukutana na Mandela kwa faragha... Watu wasingelielewa..
Wewe umeandika ukweli mchungu.Katika Siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu.
Pia shabiki wa siasa hatakiwi kukaza shingo sana... ataumia huku akiacha wanasiasa wakigonga mvinyo!
Na MRISHO GAMBO JE?Mwamba wa Kilimanjaro ni Halima James Mdee!
Agiza pepsi baridi naja kulipa kwa tigopesaMaalim hawezi gombea tena Zanzibar kutokana na umri wake. Ameona umri umemtupa mkono ndio maana ameamua kuingia serikalini kwa maslahi yake na familia yake.
Sent from my SM-G975F using JamiiForums mobile app
Lakini sasa mbona imemchukua?Baada ya Waziri wa Outside wa China kuja na Kichanjio cha Deportivo la Corona ilibidi wale VIP's wote na Wake zao wakaipate kutokea Lake Zone.
Seif alikuwa ni Mtu wa System.RIPSikupata jibu na niliwaza sana kilichompeleka Maalim Seif Ikulu kukutana na Magufuli ni nini?..
Point: Imani ina maisha marefu kuliko mwanadamu.Kuna mambo matatu nataka niweke sawa kumbukumbu ili tuwe pamoja.
- Kwanza ni msimamo wa CHADEMA na ACT kuwa maridhiano ndio suluhu ya utatuzi wa kisiasa Tanzania. Rejea ujumbe wa Mbowe akiobwa kutoa neno na Magufuli katika shughuli/sherehe za Uhuru 2019...
Aliitwa Mwanza kwenye Sherehe za Uhuru 2019, hakuchomoa
Wanasiasa wa msimamo Bongo washakufa wote…tumebaki na Kaole Group
Bora kumuamini Msanii wa Bongo movie kuliko Mwanasiasa wa Bongo