Sikupata jibu na niliwaza sana kilichompeleka Maalim Seif Ikulu kukutana na Magufuli ni nini?
Niliwaza sana, nikamlinganisha kitendo hicho na say, Museveni kukutana na Bobi Wine, his main rival au enzi hizo PW Botha kukutana na Mandela kwa faragha. Watu wasingelielewa.
Kumbe usaliti wa Maalim ndio ulikuwa unajengwa. Zitto hakuweza kufikiri mpaka huko au alijua akamezea kwa maslahi ya baadaye and the like!
Kwanini sasa Maalim aliwasubject watu kwenye mateso na vifo wakimfuata yeye na kumfia yeye wakati anajua fika ataungana na Magufuli? Kweli wanasiasa (baadhi) ni Mashetani!
Swali: Hivi 2025 Maaalim atagombea urais Zanzibar au ataungana na CCM kuiponya nchi?
Niliwaza sana, nikamlinganisha kitendo hicho na say, Museveni kukutana na Bobi Wine, his main rival au enzi hizo PW Botha kukutana na Mandela kwa faragha. Watu wasingelielewa.
Kumbe usaliti wa Maalim ndio ulikuwa unajengwa. Zitto hakuweza kufikiri mpaka huko au alijua akamezea kwa maslahi ya baadaye and the like!
Kwanini sasa Maalim aliwasubject watu kwenye mateso na vifo wakimfuata yeye na kumfia yeye wakati anajua fika ataungana na Magufuli? Kweli wanasiasa (baadhi) ni Mashetani!
Swali: Hivi 2025 Maaalim atagombea urais Zanzibar au ataungana na CCM kuiponya nchi?