What a coincidence! Alianza Maalim Seif, Tundu Lissu na sasa Mbowe - hii maana yake nini?

5525

JF-Expert Member
Apr 6, 2014
5,412
6,273
maalim seif.jpg

275235770_645992643347061_2159536552323896989_n.jpg


Lissu.jpg
Lissu.jpg


Hii maana yake hasa ni nini? Upinzani Tanzania umekwisha? Chadema walilaumu sana kwanini kipindi kile Maalim alimtafa Magufuli Ikulu na kumsema maalim seif amewasaliti Upinzani, Lakini sasa macho yangu yanashuhudia kile kile kwa Chama cha Demkrasia na Maendeleo - CHADEMA.

Wananchi tupate picha gani kwa viongozi wetu hawa, Je Chadema sasa Wanaitambua Serikali iliyomadarakani Tanzania? Je viongozi wa juu hawa wamefikia bei? tuliambiwa na kuaminishwa Zitto Kabwe ni CCM (B) Je! Chadema wanaenda kuwa CCM (C) ama D? au E? natamani, Hivi kina Halima Mdee na wenzake nao waliwahi mapema zaidi kwenye hili?

Mbowe anatoka jela bila kuona familia yake kwanza anaenda kuonana na Rais Ikulu? Je kuna rushwa ya kisiasa, mbona giza ni nene?

Binafsi niko njia panda., Siioni CCM ikiondoka madarakani naona kama vile nido kwanza wanajichimbia chini zaidi mizizi yao., Tuunge Mkono wapi? Kina James Mbatia na Mrema hao tulijuzwa na kuaminishwa kwamba tayari walishawahi siti za mbele zaidi. Je, Tanzania tunahitaji chama kipya cha Upinzani kukidhi ndoto na dhana ya upinzani?

Naomba majibu wadau wadau wa Ukumbi huu.
 
Maalim Seif, Lissu au Mbowe kukutana na mamlaka usilinganishe na porojo za kina Zitto.

Kumbuka Maalim, Mbowe na hata Lissu wamekuwa wakiomba kukutana na mamlaka kuweka mambo sawa ambayo yamekuwa yakipotoshwa kwa makusudi.

Nani asiyewajua wanyoa viduku hawa?

IMG_20220305_151655_415.jpg


Sasa hivi wapo chobingo mashimoni:

IMG_20220304_154503_924.jpg


Nini hakijaandikwa kuhusu wao?

Tuwatambue Wanaopotosha Ajenda kuhusu Katiba Mpya

Lissu na Mbowe kuonana na mama Samia kutailetea heri kubwa nchi hii isiyotakiwa na wanafiki wa aina za kina Sirro, Kingai, Slaa, na ma Mburumundu mengine yaliyomo pia humu JF..
 
Wakifanya wengine ni Usaliti, ila wakifanya wao ni ushujaa.

kifupi wanataka wao tu ndo wawe kwenye spotlight na headlines days in days out.

And so far idiology yao imework, maana wengine wanaogopa kushambuliwa so wanakaa kimya kuwapisha wenye platform zao.
 
Hii issue iko simple sana, mwanasiasa siku zote huaminiwa kwa kauli na matendo yake, akiwa na kauli zisizoyumba ndio turufu yake na chama chake kwa wapiga kura wake.

Mazungumzo sio dalili ya kushindwa, mazungumzo ndio huleta amani, usawa, kuelewana, kusikilizana, na kuaminiana. Bila mazungumzo kuna kuonewa, kuteswa, kutekwa na mengine.

Zitto haaminiwi kwasababu ya ukinyonga wake, kupenda kudandia matukio ili kutafuta political mileage, mwanasiasa wa aina hii ndie anayefanya mazungumzo yakose maana, coz watawala wanakuwa wameshamjua anadanganyika kwa pipi.
 
Kwa mtu ambaye anajua kufikiria na kuunganisha matukio anaweza akawa ana hoja za mashiko

Kwanza tukio la malim seif na Magufuli halifanani kabisa na tukio lililotokea jana au tukio la wiki mbili zilizopita kati ya tundu lisu,mbowe na Samia.

Haya ni matukio mawili tofauti na tunapaswa kujua ingalikuwa nitukio la compromise maana yqke ungalikuta Mbowe hayupo ndani.

Pili angali kubali asingaliweza siku hiyo hiyo ametoka ndani na kwenda ikulu kuna mambo tunatakiwa tujifunze ukiwa na msimamo huwezi kuyumbishwa kabisa.

Maana yake yamkini hakukompromise na siyasa ni mikakati na propaganda. Yote hayo tuseme mbowe ni shujaaa alitikiswa mali zake sembuse kutoka gerezani naimani katiba ipo pale pale na msimamo upo pale pale na ataendeleza mapambano vivyo na lisu pia
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Hii issue iko simple sana, mwanasiasa siku zote huaminiwa kwa kauli na matendo yake, akiwa na kauli zisizoyumba ndio turufu yake na chama chake kwa wapiga kura wake.

Mazungumzo sio dalili ya kushindwa, mazungumzo ndio huleta amani, usawa, kuelewana, kusikilizana, na kuaminiana. Bila mazungumzo kuna kuonewa, kuteswa, kutekwa na mengine.

Zitto haaminiwi kwasababu ya ukinyonga wake, kupenda kudandia matukio ili kutafuta political mileage, mwanasiasa wa aina hii ndie anayefanya mazungumzo yakose maana, coz watawala wanakuwa wameshamjua anadanganyika kwa pipi.
Nakazia: Mdandia hoja:

IMG_20220304_161122_491.jpg


Awe wa kwanza kama nani? So what?
 
View attachment 2139699
View attachment 2139697

View attachment 2139698View attachment 2139698

Hii maana yake hasa ni nini? Upinzani Tanzania umekwisha? Chadema walilaumu sana kwanini kipindi kile Maalim alimtafa Magufuli Ikulu na kumsema maalim seif amewasaliti Upinzani, Lakini sasa macho yangu yanashuhudia kile kile kwa Chama cha Demkrasia na Maendeleo - CHADEMA.,

Wananchi tupate picha gani kwa viongozi wetu hawa, Je Chadema sasa Wanaitambua Serikali iliyomadarakani Tanzania? Je viongozi wa juu hawa wamefikia bei? tuliambiwa na kuaminishwa Zitto Kabwe ni CCM (B) Je! Chadema wanaenda kuwa CCM (C) ama D? au E? natamani, Hivi kina Halima Mdee na wenzake nao waliwahi mapema zaidi kwenye hili?

Mbowe anatoka jela bila kuona familia yake kwanza anaenda kuonana na Rais Ikulu? Je kuna rushwa ya kisiasa, mbona giza ni nene?

Binafsi niko njia panda., Siioni CCM ikiondoka madarakani naona kama vile nido kwanza wanajichimbia chini zaidi mizizi yao., Tuunge Mkono wapi? Kina James Mbatia na Mrema hao tulijuzwa na kuaminishwa kwamba tayari walishawahi siti za mbele zaidi, Je Tanzania tunahitaji chama kipya cha Upinzani kukidhi ndoto na dhana ya upinzani??

Naomba majibu wadau wadau wa Ukumbi huu.,
Upinzani siyo ugomvi Wala vita kazi yake ni kukosoa na kuisaidia serikali iongoze Kwa misingi ya haki. Shida ni pale mnapochukulia upinzani kama maadui. Mama Samia amefanya vyema na ndivyo kiongozi anavyotakiwa kuwa. Wenye mawazo ya uadui mjue hivyo kuwa upinzani siyo uadui
 
Tafsiri ya picha ;

Kichowapata hao wanaoonekana picha ya mwanzo isije watokea tu waliofuatia katika picha nyingine.

Maana tarehe zilikua zinafanana.
 
View attachment 2139699
View attachment 2139697

View attachment 2139698View attachment 2139698

Hii maana yake hasa ni nini? Upinzani Tanzania umekwisha? Chadema walilaumu sana kwanini kipindi kile Maalim alimtafa Magufuli Ikulu na kumsema maalim seif amewasaliti Upinzani, Lakini sasa macho yangu yanashuhudia kile kile kwa Chama cha Demkrasia na Maendeleo - CHADEMA.,

Wananchi tupate picha gani kwa viongozi wetu hawa, Je Chadema sasa Wanaitambua Serikali iliyomadarakani Tanzania? Je viongozi wa juu hawa wamefikia bei? tuliambiwa na kuaminishwa Zitto Kabwe ni CCM (B) Je! Chadema wanaenda kuwa CCM (C) ama D? au E? natamani, Hivi kina Halima Mdee na wenzake nao waliwahi mapema zaidi kwenye hili?

Mbowe anatoka jela bila kuona familia yake kwanza anaenda kuonana na Rais Ikulu? Je kuna rushwa ya kisiasa, mbona giza ni nene?

Binafsi niko njia panda., Siioni CCM ikiondoka madarakani naona kama vile nido kwanza wanajichimbia chini zaidi mizizi yao., Tuunge Mkono wapi? Kina James Mbatia na Mrema hao tulijuzwa na kuaminishwa kwamba tayari walishawahi siti za mbele zaidi, Je Tanzania tunahitaji chama kipya cha Upinzani kukidhi ndoto na dhana ya upinzani??

Naomba majibu wadau wadau wa Ukumbi huu.,

Upinzani Tanzania umeonesha kujishusha na kupenda amani, mpira upo kwa CCM kubadilika na kuwaona upinzani kama sehemu ya kuleta maendeleo.
 
Wakifanya wengine ni Usaliti, ila wakifanya wao ni ushujaa...
kifupi wanataka wao tu ndo wawe kwenye spotlight na headlines days in days out...
And so far idiology yao imework, maana wengine wanaogopa kushambuliwa so wanakaa kimya kuwapisha wenye platform zao.

Ni kweli mkubwa mpishe.
 
Kitu kizuri pale ni kuwa Lisu na Mbowe walivaa barakoa tofauti na Maalim- mwiko umevunjwa wataendelea kula mema ya nchi.
 
Yule Nyumbu mwenzio kasema mimi ACT, ww unasema CCM...mbona hamueleweki?atakuja Nyumbu Mwingine atasema CUF...hakuna kazi rahisi km kuwaongoza Nyumbu, na hio kazi viongozi wenu wanaifanya kwa weledi sana...You are no different na wafuasi wa Kibwetere.

You have gone too far. Nyie ndio mnaona watanzania wenzenu hawana hadhi ya kuwa binadamu kisa wapo upinzani?. Ndio uwaite nyumbu kisa hawafuati misimamo ya chama chako?.

Please ondoa hiyo Roho mbaya chama kisikufanye ukaona watanzania wanzako hawastahili mpaka ukaanza name calling.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Politicians, Politicking its natural as a third party I have learnt to let politicians do politics
 
Back
Top Bottom