Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Tundu Lissu na Godbless Lema kusepa nchi , waliona mbali sana .
Mwamba wa Kilimanjaro ni Halima James Mdee!
Marehemu Maalim SefuWatanzania ni wepesi kulaumu hata kwa mambo yasiyohitaji lawama. Mlitaka Maalim afanye nini wakati wafuasi wake mwenyewe wanafiki? Mwacheni amalizie uzee wake pazuri kwa kuwa hata umri umeshamtupa mkono na siasa ndo basi tena...
Rip maalim lakini wengi hatukuyaelewa maamuzi yako ya juzi katiSikupata jibu na niliwaza sana kilichompeleka Maalim Seif Ikulu kukutana na Magufuli ni nini?....
Tamaaa tu za Zitto zimemponza mzee wetu. Apunzike kwa amani Jabali.Rip maalim lakini wengi hatukuyaelewa maamuzi yako ya juzi kati
Ha ha ha ha!Halima siku hizi anaitwa Covid 19