Sielewi kwanini Maalim Seif ameenda Chato kuonana na Rais Magufuli

Status
Not open for further replies.
Watanzania ni wepesi kulaumu hata kwa mambo yasiyohitaji lawama. Mlitaka Maalim afanye nini wakati wafuasi wake mwenyewe wanafiki? Mwacheni amalizie uzee wake pazuri kwa kuwa hata umri umeshamtupa mkono na siasa ndo basi tena...
Marehemu Maalim Sefu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom