wakichina zaidi
Member
- Feb 15, 2010
- 5
- 0
habari wana jamii,
mimi ni binti wa miaka 21 nimekua katika mahusiano ndani ya miaka miwili ila jambo ambalo sielewi kwa huyu mwenzangu ni tabia yake.
kabla nimewahi kumfumania zaidi ya mara moja kama hiyo haitoshi kanilaza kitanda kimoja na mwanamke,lakini anadai ananipenda mara tu niamuapo kutengana nae tena bila kumwambi kama naachia ngazi kwan nisitishapo mawasiliano yeye huja kwa spidi ya ajabu.NAOMBENI USHAURI WENU
mimi ni binti wa miaka 21 nimekua katika mahusiano ndani ya miaka miwili ila jambo ambalo sielewi kwa huyu mwenzangu ni tabia yake.
kabla nimewahi kumfumania zaidi ya mara moja kama hiyo haitoshi kanilaza kitanda kimoja na mwanamke,lakini anadai ananipenda mara tu niamuapo kutengana nae tena bila kumwambi kama naachia ngazi kwan nisitishapo mawasiliano yeye huja kwa spidi ya ajabu.NAOMBENI USHAURI WENU