mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 19,034
- 37,208
Ni suala la muda tu utarudi kule Kule kwa kasi ya 6G
Ni suala la muda tu utarudi kule Kule kwa kasi ya 6G
Duh....Achana na wanaokusema kuhusu muandiko nipe mimi uyo binti utakua umemsaidia sana.
Aisee...Kuna Ndugu yangu mmoja alifiwa na mke, ndani ya miezi kadhaa akamwoa rafiki wa mke wake.
Tena aliyekuwa anamuuguza huyo mke kipindi cha Ugonjwa wake.
Mkuu kosa ulilofanya inaonesha ulikuwa unamzungumzia mkeo mkiwa na yeye kitu ambacho ni kosa kubwa kwenye taasisi ya michepuko. Kitendo hicho kilikuwa kinampa tumaini kuwa Kuna siku utamwacha mkeo.Wakuu, Heri ya Mwaka Mpya 2022.
Naamini mmeanza Mwaka salama.
Ebwana eeh, nawapongeza sana wale Wanaume walioweza kuishi bila kuchepuka kabisa.
Mtakuja kuua watoto wa watu
Ni suala la muda tu utarudi kule Kule kwa kasi ya 6G
Hongera kwa kulitambua hiloAnaweza kumdhuru mke wangu huyu Dada, alinishtua sana kwa maneno yake mabaya
Kweli mkuu 95 mimi nlikua primary, sasa ndio nipo early 40s, mwamba anakaribia kuanza kukimbizana na malalamiko ya mafao.95 ulikuwa mtu mzima then mwaka huu unaanza early arobaini siuseme tu unakaribia kustaafu na umeshamchoka
Ila watu nyie..Ikawaje tena uko mlikoenda......
Nani atakuua kama sio wewe mwenyewe kwa kujihusisha na mambo kama haya?Wakuu, Heri ya Mwaka Mpya 2022.
Naamini mmeanza Mwaka salama.
Ebwana eeh, nawapongeza sana wale Wanaume walioweza kuishi bila kuchepuka kabisa.
Huyu mhenga mkuu 95 alikuwa mtu mzima wengi WA umri wake Wana two to three years wastaafu bana, so hyo kusema early 40 ni uongo bana, Sasa tulioanza 2000s shule tuko 30s sembuse yeye ana force kingi yuko early muongo, Bora kashtuka mapema dada alikuwa anavizia kikokotoo chake maana hata huyu baba ana mzaa huyu Binti na wamelingana na wanaweKweli mkuu 95 mimi nlikua primary, sasa ndio nipo early 40s, mwamba anakaribia kuanza kukimbizana na malalamiko ya mafao.
Huyu atakufa mwenyewe kwa pressure mke abaki aanze kubebwa na vibeten vya mjiniNani atakuua kama sio wewe mwenyewe kwa kujihusisha na mambo kama haya?
Nampenda mke wangu! Sichepuki tena hata mniue!