Sichepuki Tena. Kumbe ni balaa hivi!

Juzi Ijumaa nakutana nae mahali ili tuzungumze zaidi ndio ananifungukia sasa, alishanichukulia kama mume na yuko tayari kunilelea watoto wangu na atawafanya kama wake siku nikiachana na Mke wangu, hapo anaongea kimahaba hadi nikafikiri ameingliwa na mapepo...
Au mwanzo ulimuahidi ipo siku utaachana na mke wako..

Mwenzio akawa na matumaini muda wote huo
 
Rabboni wanawake ni mapepo chunga sana asije kuwekea limbwata ukamsahau mkeo na wanao. Na watakao umia na kuteseka ni watoto, chunga sana aise.

Huyo anakudanganya atalelea watoto wa mwanamke mwenzake!!!!!!, hakuna mwanamke anayependa watoto wa mwanamke mwenzake. Mwanamke atawapendelea watoto wake zaidi.

Tena usirudiane naye kabisa wala usiongee nae kabisa huyo ni zaidi ya muuaji, hakawii kukuaribia familia yako. Kuwa makini sana na wanawake wa hivo.

nilishashuhudia mengi kuhusu wanawake wa dizaini hiyo, kuwa makini sana hilo ni shetani kuu.
 
au mwanzo ulimuahidi ipo siku utaachana na mke wako..

mwenzio akawa na matumaini muda wote huo
Never ever.
Sijawahi, huyu Binti sikujua kama anaweza kuniambia maneno magumu kiasi kile.

Nawaza sana.
 
Na ndio balaalenyewe hilo.
Ndio maana kuna wakati alikuwa anavaa aina ya mavazi anayovaa wife.

Aisee
Duh!...umejaribu kuwaza siku akiamua kumwambia mkeo yeye ni nani kwako ikiwa utajaribu kumuacha?

Kuwa makini.......ndoa yako ipo hatarini na mhusika wa hiyo hatari ni wewe maana umeruhusu hili.
 
Rabboni wanawake ni mapepo chunga sana asije kuwekea limbwata ukamsahau mkeo na wanao. Na watakao umia na kuteseka ni watoto, chunga sana aise.

Huyo anakudanganya atalelea watoto wa mwanamke mwenzake!!!!!!, hakuna mwanamke anayependa watoto wa mwanamke mwenzake. Mwanamke atawapendelea watoto wake zaidi.

Tena usirudiane naye kabisa wala usiongee nae kabisa huyo ni zaidi ya muuaji, hakawii kukuaribia familia yako. Kuwa makini sana na wanawake wa hivo.

nilishashuhudia mengi kuhusu wanawake wa dizaini hiyo, kuwa makini sana hilo ni shetani kuu.
Nimekuelewa Mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom