Sichepuki Tena. Kumbe ni balaa hivi!

Sichepuki Tena. Kumbe ni balaa hivi!

Kuna pisi kal huwes kuzipa mashart hayo mkuu..labda uwe unahonga sanaaa
Nachoshukuru huwa naweza kumfanya mwanamke ajue nimeoa
Cha pili namwambia ukweli ukipata mtu nishirikishe ili tumchunguze pamoja ili uweze kuwa nae

Cha tatu huwa nampa masharti ya kujari kazi hii itamfanya kuwa bize asinisumbue na nampigia simu asubuhi ya kumkumbusha kazini na nampa masharti asipoenda kazini siku moja basi sionani nae wiki nzima

Hapa namtengenezea akili ya kutonisumbua

Nyie majamaaa nyie ...

Yaani nyie msuguee hizo mbunye halafu sisi ndio tuzioe ili baadae mje kuwatomb* maX wenu wakiwa wake zetu..!!!

Ngoja niendelee kula ujana.

Masingle boy MSIOE.

#YNWA
 
Unamtaadharisha ya nini? Hapo ndo utakapokosea! Just go slow na punguza kumuona taratiibu na kupiga naye mechi. Mdogo mdogo utajivua lawama
Kwa sasa yuko moto kweli kweli.
Naachana nae akiwa wa moto moto.
Nimeshaona dhamira yake, kama mtu mzima nimemwelewa.

Mkuu mimi ni mtu mwepesi sana kiface consequences zinazotokana na niliyoyafanya.

Ijumaa niliona kabisa dalili mbaya.
Hivi Msichana kama yule ananitamkiaje kuachana na mke wangu? Hapana.
 
Hili swala naliona kwa wadada wengi sana kipind hiki na hasahasa masingle mothers unakuta wapo ambao wao baada ya kuzalishwa wamejiona kama hawafai tena kuwa na familia na wengi wanaangukia kuwa michepuko wa kudumu,au wengine wanataka kuwa wake kabisaaa na wapo wanaofika mbali anakuzalia na wewe kabisa halaf anaanza kuleta story za kutaka wewe uachane na mkeo badala yake awe yeye na wapo wanaoendaga hadi kwa waganga kwa ajili ya kutimiza adhma hizo,ni huzuni kwa kweli
 
Nyie majamaaa nyie ...

Yaani nyie msuguee hizo mbunye halafu sisi ndio tuzioe ili baadae mje kuwatomb* maX wenu wakiwa wake zetu..!!!

Ngoja niendelee kula ujana.

Masingle boy MSIOE.

#YNWA
Hahaha...mwanamke kiumbe dhaifu sana mkuu..mim ma x wangu wengne wameolewa ila ukiangalia chat zetu unaweza zimia...sijui hawaogopi..
 
Wakuu, Heri ya Mwaka Mpya 2022.
Naamini mmeanza Mwaka salama.

Ebwana eeh, nawapongeza sana wale Wanaume walioweza kuishi bila kuchepuka kabisa.

Mimi niliweza kwa kipindi flani hivi,ila mwanzoni mwa Mwaka Juzi 2020 nikajikuta nazoeana na aliyezaliwa 1995, dah msinicheke wadau huo mwaka tayari mimi nilishakuwa mtu mzima kabisa.

Twende kwenye point sasa...

Tulivyoanza Mazoea.

Huyu binti ana mwili mkubwa mkubwa kidogo na umejipanga vizuri sana, kwa kifupi ni mzuri wa mwili na sura.

Nilianza kumzoea kwasababu nilikuwa kiongozi wa kitengo flani hivi kazini, so kuonana ilikuwa mara chache ila kila nikimwona lazima nitabasamu na yeye atabasamu.

Kupata namba yake haikuwa tabu kuna group la whatsapp wote ni member na mimi ndio Admin.

Baada ya muda tukawa tunachat private kuulizana ulizana tu mambo, siku moja nikatest zali la kuomba out! Akakubali, tukaenda zetu huko Kigamboni, hapa ndio alipata wasaa kuniuliza maswali kibao kuhusu familia yangu.

Out ya kwanza ilikuwa poa! Siku hiyo aliogelea sana, mimi sikufanya hivyo japo alitaka sana tuogelee pamoja, sikuwa na haraka kivile.
Kwenda kwenye hilo eneo kila mtu alienda kivyake.

Kuanzia siku ile ndio tukazidi kuzoena sana, tuliwasiliana mara nyingi muda wa Ofisini, nikajikuta nimeanza mahusiano automatic no mtongozano wala nini. Nilianza kula tunda huko Arusha kwenye Kazi moja tulioenda huko. Mtindo ukaanzia hapo Wakuu, huyu binti sikujua kama alizama kweli kweli.

Alinishangaza siku alipogundua mke wangu ni mweupe kumzidi, hamadi naona ngozi yake inaanza kuchange, 😀😀 nikamuwahi kumjulisha abadlishe mafuta anayotumia kwa sababu yanaibadili ngozi yake, katika uchunguzi wangu nikagundua ni makemikali ila aliyaacha kabla madhara hayajashika kasi.

Kwa 2020 na 2021 miaka 2 tu! Tulishirikiana mambo kibao yani, good thing hapigi vizinga wala nini! Mambo yake yote akawa ananishirikisha, A to Z mambo ya nyumbani kwao n.k

Sasa wakati tunaelekea kuuaga mwaka 2021, nikaa chini nikawaza future yake! Nikijua kabisa 2022 anagonga 27years. Na simwoni kabisa kama ana hata wazo la kuwa na familia.

Katika mazungumzo yetu ilikuwa Tarehe 09/01/2022, nikaamua kuvunja ukimya nikamuuliza kuhusu swala la yeye kuwa na familia yake as mimi siwezi kumwoa kwasababu nina mke na Watoto na tayari niko kwenye my Early 40's.

Acha Binti anijie juu kwa maneno makali, "I thought you Love me".
Yes, I love you ndio maana nataka uwe na future nzuri...akaporomosha maneno hapo!! mengi tu, kuniambia mimi ndio future yake na blah blah nyingine!!

Alitegemea kabisa kuna siku nitaachana na mke wangu na kwasababu Nampenda nitamuoa yeye Duuh!! Nikamsomesha sanaa, nikafikiri ameelewa.

Juzi Ijumaa nakutana nae mahali ili tuzungumze zaidi ndio ananifungukia sasa, alishanichukulia kama mume na yuko tayari kunilelea watoto wangu na atawafanya kama wake siku nikiachana na Mke wangu, hapo anaongea kimahaba hadi nikafikiri ameingliwa na mapepo...

Haya maisha haya! Yaoneni tu kuna wanaowaza tusioyawaza kabisa.

Nampenda mke wangu! Sichepuki tena hata mniue!
Naiona kesho yako, Delila akimuangusha Samson kwa mara nyingine.

Terms of reference and Rules of Engagement zizingatiwe.
 
E9DSjdlXoAE1Q5o.jpg
 
Kama juzi nina ugwadu wangu halafu kila sehemu ya kuponea hamna....
Nikamkumbuka manzi wangu wa zamani tulishaachana kimya kimya.
Kweli akapokea simu na kukubali tuonane..kwa shauku nikamnunulia mazaga kibao supermaket kama li hamsini likakata.
kufika nini nabembeleza anipe mzigo eti yuko period..daahh nilichokaa.
Yeye anajua mimi nilienda kumuona na kumsalimu wakait mi shida yng mbunye.
Yaani mimi huwa sina mahaba kwa dem zaid ya uch wke tuu.hana la zaid la kunipa.
eti kuja kuniona kwn wee tv bladhell
 
Back
Top Bottom