Siasa zisitufanye tukakosa UTU wetu: Kwa hili Tanzania Daima Mnaaibisha!

Unashangaa hilo mbona kuna kipindi mzee madiba mgonjwa tundu lisu alinukuu baadhi ya maneno yake kisha akasema mzee huyu wakati wowote anaweza kufa.....? Ndio spika akamwambia muombee apone ......? Ukishangaa ya chadema waweza kufa siku si zako ?

Bahati mbaya baadhi ya wachangiaji hapa hawajui ABC za news room.
 
Hawana maana hao kazi ushabiki tuu, ya kapuya sjui yameishia wapi
 
Katika hali ya kusikitisha sana takriban magazeti yote ya leo nchini kichwa cha habari ni kifo cha mandela, Mwananchi kwa mfano front page yote ni “Kwa heri mandela”, Rai pia The citizen HERO’S DEMISE “What a life”Habari leo halikadhalika “Nelson Mandela Afariki dunia”…..mengine Dunia inalia n.k



Jambo la kusikitisha sana ni kuwa Gazeti la Tanzania daima Habari hii haikupewa umuhimu wowote na kichwa cha habari kikuu ni Slaa afunika kwa Zitto??? Kisha wakatoa picha inayoonyesha kikundi cha watu kidogo kikimsikiliza SLAA , AIBU gani hii?
Huwezi amini naleo ndilo gazeti lililoisha mapema labisa kwenye meza yangu ya kuuzia magazeti!
Na Mwananchi leo wauza magazeti limetudodea balaa!!
 
Uhuru limeandika nini? Mbona nalo limeandika habari za Slaa japo in negative way na likashindwa kuandika ziara ya kinana kwa sababu kaiponda ccm kwa uzembe wa kutotimiza ahadi?

Inawezekana mkuu umesoma vichwa vya habari kwenye mbao za kuuzia magazeti wewe!

Sio Kosa lake,Uhuru ni Gazeti la Udaku hivyo halipo kwenye orodha ya Magazeti ya kulaumiwa.
 
Nawatetea Chadema. Magazeti mliyoyataja yana mitambo yao, ukiacha Rai ambao wanajiandaa sasa. Ukiwa na mtambo unakuwa huru kuchapa gazeti wakati wowote. Ndugu zangu kina Tanzania Daima wanalazimika kuomba. Hapo kuna mawili-kukubaliwa au kukataliwa. wamepewa deadline ambazo wanapaswa kuzitii. Kwa hili naomba kuwatetea ingawa si msemaji wao. Nimefanya hivyo kwa sababu najua adha za kukosa mtambo wa kuchapa magazeti.
 
Hawa wameandika wapi au hili siyo gazeti

mg155.jpg


cc. [MENTION]Tume ya Katiba [/MENTION]
 
Sio Kosa lake,Uhuru ni Gazeti la Udaku hivyo halipo kwenye orodha ya Magazeti ya kulaumiwa.

Hata hivyo kiukweli hawa vijana ccm imewafikisha pabaya wanapost uzandiki na uongo bila aibu hata kidogo, nimefuatilia magazeti yote ya leo nikakuta liliandika habari za mandela front page ni mwananchi peke yake as opposed to hiki alichoandika kwamba magazeti yote yameandika kasoro tanzania daima! Hii ni kuonesha kwamba hata wao wanaandika kwa shinikizo linalowapofua wakashindwa kujua jinsi gani wanajipotezea heshima katika jamii.
 
Katika hali ya kusikitisha sana takriban magazeti yote ya leo nchini kichwa cha habari ni kifo cha mandela, Mwananchi kwa mfano front page yote ni "Kwa heri mandela", Rai pia The citizen HERO'S DEMISE "What a life"Habari leo halikadhalika "Nelson Mandela Afariki dunia"…..mengine Dunia inalia


Jambo la kusikitisha sana ni kuwa Gazeti la Tanzania daima Habari hii haikupewa umuhimu wowote na kichwa cha habari kikuu ni Slaa afunika kwa Zitto??? Kisha wakatoa picha inayoonyesha kikundi cha watu kidogo kikimsikiliza SLAA , AIBU gani hii?

Tanzania Daima nalo gazeti basi ndg yangu?? Wanaopoteza hela zao kulinunua ni wale wapenda umbea tu na wasiojitambua utu wao. Gazeti hilo hata matukio ya Kitaifa huwa haliandiki kwa umuhimu unaostahili. wanakimbizana na umbea wa kisiasa tu kila siku iendayo kwa Mungu, wanajidai watetezi wa wananchi. Hawana lolote, hata uzalendo kwa taifa lao hawana. Hivi huwa ndo vipimo vya kuwaona hawa jamaa kama wananjaa ya kufika Ikulu, hawana uzalendo wa kweli. Na gazeti la uhuru nao pia, japo hawa matukio ya kitaifa huyapa umuhimu kiasi. Punguzeni siasa. Habari siyo siasa tu ndg zangu.
 
Huwezi amini naleo ndilo gazeti lililoisha mapema labisa kwenye meza yangu ya kuuzia magazeti!
Na Mwananchi leo wauza magazeti limetudodea balaa!!

Ni kwa sababu waTz wengi hasa vijana wa sasa hawana upeo wa kuchuja mambo, kila siku wanafikiria kesho umbea gani utaandikwa Tanzania Daima ili wapate vya kuongelea vijiweni. Ni upuuzi mtupu. Na gazeti la uhuru the same. Watanzania wapende kununua magazeti yenye makala zenye mafunzo katika maisha. Na kama ni siasa, nunua gazeti ambalo ni neutral, yaani lisiloegemea upande wowote hapo ndo utapata habari zenye ukweli zisizokolezwa chumvi za uongo
 
Nimecheka sana,kwa hiyo wewe ulikuwa nao mitamboni? Maana taarifa unaweza ipata too late au usiwe na nyama za kutosha na gazeti linatakiwa lichapwe. Pia si magazeti yote yanaweza andika habari moja kwa wakati mmoja kijana.
 
Ni kwa sababu waTz wengi hasa vijana wa sasa hawana upeo wa kuchuja mambo, kila siku wanafikiria kesho umbea gani utaandikwa Tanzania Daima ili wapate vya kuongelea vijiweni. Ni upuuzi mtupu. Na gazeti la uhuru the same. Watanzania wapende kununua magazeti yenye makala zenye mafunzo katika maisha. Na kama ni siasa, nunua gazeti ambalo ni neutral, yaani lisiloegemea upande wowote hapo ndo utapata habari zenye ukweli zisizokolezwa chumvi za uongo

Si kweli, nimeuza sana Tanzania daima kwa kuwa ndilo gazeti lisiloegamia upande wowote na pia halinunuliki(halitumiki) na mafisadi teh teh! Hupeeendi!
 
kwa hiyo mpaka Tanzania daima liandike ndipo uamini kuwa Mandela amefariki? ina maana magazeti mengine huyaamini? na je mbona gazeti la HABARI JANA huwa linaandika mabaya ya chadema tu ya ccm haliyaandiki na wakati ni gazeti la seli kari za njano?
 
watu walio!msaidia mkoloni na kuwa upande wake dhidi ya wanamapinduzi akina NYERERE usi?tarajie eti wamtukuze mandela kuliko babu mgojwa SLAA.
WALA WASIKUPE SHIDA HAWA CHAGA; PART, kisiwa walichosimama kinazini kuliwa na tropical storm.
Sasa unawachukia wachaga kwa:n:ini ndugu yangu? Na je ukijua wanachotaka kufanya baad!a ya kuona sehemu elimu ilkochelewa kuw!afikia watu hawaelewi mabadiliko si utajinyonga ?? Ngoja nikugusie angalau kidogo, wanataka kuanzisha fuko la maendeleo ya elimu la kwao ambalo litachangiwa na wanakilimanjaro popote walipo duniani nia ni kuwa na shule za kisasa zisizotumia mitaala ya tanzania ambayo mtoto anaweza kufaulu kwenda kidato cha kwanza na hajui kusoma, na pia kujenga shule maalum za sayansi kila tarafa,ujue wanaweza kuchangisha hata 500bln. nakushauri kubali kujifunza kwa wengine aliekuzidi kitu fulani mfanye rafiki ili upate kile alicho nacho
 
Katika hali ya kusikitisha sana takriban magazeti yote ya leo nchini kichwa cha habari ni kifo cha mandela, Mwananchi kwa mfano front page yote ni “Kwa heri mandela”, Rai pia The citizen HERO’S DEMISE “What a life”Habari leo halikadhalika “Nelson Mandela Afariki dunia”…..mengine Dunia inalia n.k



Jambo la kusikitisha sana ni kuwa Gazeti la Tanzania daima Habari hii haikupewa umuhimu wowote na kichwa cha habari kikuu ni Slaa afunika kwa Zitto??? Kisha wakatoa picha inayoonyesha kikundi cha watu kidogo kikimsikiliza SLAA , AIBU gani hii?

Habari ya kifo cha Mandela wameipata wakati gazeti lieshachapwa
 
Katika hali ya kusikitisha sana takriban magazeti yote ya leo nchini kichwa cha habari ni kifo cha mandela, Mwananchi kwa mfano front page yote ni “Kwa heri mandela”, Rai pia The citizen HERO’S DEMISE “What a life”Habari leo halikadhalika “Nelson Mandela Afariki dunia”…..mengine Dunia inalia n.k



Jambo la kusikitisha sana ni kuwa Gazeti la Tanzania daima Habari hii haikupewa umuhimu wowote na kichwa cha habari kikuu ni Slaa afunika kwa Zitto??? Kisha wakatoa picha inayoonyesha kikundi cha watu kidogo kikimsikiliza SLAA , AIBU gani hii?
Tatizo la Media karibu woote tanzania wana mawazo mgando kama wewe,habari kwenda na upepo.mbona UHURU,HABARI LEO,JAMBO LEO.nao wanapokaa kuisema CDM muda wote huwa hulioni hilo isipokuwa kwa Freemedia wanaposema ukweli wewe ndio magamba yanawasha
 
Sasa unawachukia wachaga kwa:n:ini ndugu yangu? Na je ukijua wanachotaka kufanya baad!a ya kuona sehemu elimu ilkochelewa kuw!afikia watu hawaelewi mabadiliko si utajinyonga ?? Ngoja nikugusie angalau kidogo, wanataka kuanzisha fuko la maendeleo ya elimu la kwao ambalo litachangiwa na wanakilimanjaro popote walipo duniani nia ni kuwa na shule za kisasa zisizotumia mitaala ya tanzania ambayo mtoto anaweza kufaulu kwenda kidato cha kwanza na hajui kusoma, na pia kujenga shule maalum za sayansi kila tarafa,ujue wanaweza kuchangisha hata 500bln. nakushauri kubali kujifunza kwa wengine aliekuzidi kitu fulani mfanye rafiki ili upate kile alicho nacho

:A S-confused1:ZITTONISM,time will tell
 
Katika hali ya kusikitisha sana takriban magazeti yote ya leo nchini kichwa cha habari ni kifo cha mandela, Mwananchi kwa mfano front page yote ni “Kwa heri mandela”, Rai pia The citizen HERO’S DEMISE “What a life”Habari leo halikadhalika “Nelson Mandela Afariki dunia”…..mengine Dunia inalia n.k



Jambo la kusikitisha sana ni kuwa Gazeti la Tanzania daima Habari hii haikupewa umuhimu wowote na kichwa cha habari kikuu ni Slaa afunika kwa Zitto??? Kisha wakatoa picha inayoonyesha kikundi cha watu kidogo kikimsikiliza SLAA , AIBU gani hii?


Wewe unaelalamikia Tanzania daima ni sawa na muflisi. Niseme tu kwamba unapaswa kuwa mzalendo usitumwe tu na chama cha Mafisadi kuongea pumba hebu tafakari yafuatayo:

1. Rais katangaza siku tatu za maombolezo nani aliyefanya hayo maombolezo tujiulize bibi yenu makinda hakusitisha bunge kifupi ni kwamba shuguli zote zinzendelea kama kawa sasa kwanin iwe tanzania daima pekee?

2. Mbona siwahi kukusikia ukitoa malalamiko kama hayo pale TBC inapokiuka kwa kufanya upendeleo kwa chama cha Mafisadi?

3. Naomba nifafanue maana ya Mafisadi kwa kuwa neno hili linaficha maaana halisi Mafisadi ni ccm na maana yake ni wezi/Majangili/Majambazi/Wauaji/wahujumu uchumi nk Kwa mfano Wamewaua tembo,kifaru mpaka wanyama hawa wako hatarini kupotea hapa nchini,wamesafirisha twiga wali hai uarabuni kupiga dili,Madini(Dhahabu/Almasi/Tanzanite) yanaibiwa kila uchao kwa kigezo cha uwekezaji,Raia wema wenye kupiga kelele ju ya maovu haya wameumizwa/kununuliwa kwa garama kubwa na wengine kuuawa/kufa ie Ulimboka,kibanda,Mwangosi,mwenyekiti cdm Usariva,marehemu sokoine,maandamano kuvamiwa kwa hila ya police,mgodi wa northmara raia wameuawa kwa wingi,mjumbe wa katiba mpya nccr,waliogundulika kupiga kura upinzani, wakauawa yaani matukio ni mengi mno hayatatosha hapa. kwa kifupi nchi hii ipo chini ya walanguzi wa ccm

4.Hatujawahi kukusikia ukilalamika juu ya hao mafisadi kutokuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa maovu yao. majangili hawa wengine wanadiliki hata kudharau kwa kuita Mabilioni VIJICENT,hawahawa ndio wamewekeza ufisadi mwingine kwene Laini za simu 1000/= kila laini na kilamwezi estimate ni Bilion 50 kwa mwezi.Balali kasingiziwa kufa baada ya kupiga dili na ccm iliyohujumu uchumi kwa kiwango cha ajabu duniani. Hawa wote hawajachukuliwa hata chmbe ya nidhamu na hujalalamika.

5. Niwaombe watanzania hii kasumba ya kulalama katika matukio mepesi kama la huyu bwana na au kuhangaika kuiangamiza chadema si sawa hata kidogo ni ufukara wa mawazo uliopitiliza huku tukiwaacha majangili waliolifikisha Taifa hili hapa lilipo kiasi kwamba Tembo/kifaru/Madini/Gesi viko hatarini kupotea hapa tanzania. Tunapaswa tusimame kidete kuona kwamba watuhawa wamekamatwa na kuchukuliwa hatua.

6 Tusihangaike na ajenda za kutengeneza zinazolenga kuiangamiza chadema na badala yake tuhangaike na Adui yet mkuu CCM(mafisadi/majangili/wapiga dili) tumwondoe ili kutengezeta Taifa salama la kesho kwa ajili ya vizazi vyetu Jamani Jamani Jamani tuwaonee huruma vizaji vyetu badae visije kulaani.
7. Maana ya kufanya mabadiliko ni kuleta disprine/nidhamu kwa watawala. Kwamaba wasipofanya mazuri wataondoka sasa hapa TZ Mafisadi CCM wanafikiri watatawala mpaka milele ijayo Inatia uchungu sana

8. Nchi inaendeshwa bila sera mfano kwene elimu, mfano mwingine juzijuzi mafisadi ccm walitaka kuzuia fao la kujitoa mifuko ya jamii bila kutunga sera na ilihali kwamba wanafahamu ajira nyingi tanzania sio za kudumu hususani sekta binafsi eg migodini ,Barabarani nk pia kazi ni hatarishi huwezi fanya miaka 50 wala kufikisha ukiwa hai kutokana na nature ya kazi hizo.mishahara yenyewe ovyo huku wageni(eti exparts) wakiilipana mamilioni ya mishahara wazawa laki 2.
9 Mifano iko mingi uraiani baadhi ya waliokuwa watumishi wa serikali mpaka leo hawajalipwa stail zao kwa visingizio vingi na urasimu. thamani ya pesa haijulikani


Wewe unaelalamikia Tanzania daima ni sawa na muflisi. Niseme tu kwamba unapaswa kuwa mzalendo usitumwe tu na chama cha Mafisadi kuongea pumba hebu tafakari yafuatayo:

1. Rais katangaza siku tatu za maombolezo nani aliyefanya hayo maombolezo tujiulize bibi yenu makinda hakusitisha bunge kifupi ni kwamba shuguli zote zinzendelea kama kawa sasa kwanin iwe tanzania daima pekee?

2. Mbona siwahi kukusikia ukitoa malalamiko kama hayo pale TBC inapokiuka kwa kufanya upendeleo kwa chama cha Mafisadi?

3. Naomba nifafanue maana ya Mafisadi kwa kuwa neno hili linaficha maaana halisi Mafisadi ni ccm na maana yake ni wezi/Majangili/Majambazi/Wauaji/wahujumu uchumi nk Kwa mfano Wamewaua tembo,kifaru mpaka wanyama hawa wako hatarini kupotea hapa nchini,wamesafirisha twiga wali hai uarabuni kupiga dili,Madini(Dhahabu/Almasi/Tanzanite) yanaibiwa kila uchao kwa kigezo cha uwekezaji,Raia wema wenye kupiga kelele ju ya maovu haya wameumizwa/kununuliwa kwa garama kubwa na wengine kuuawa/kufa ie Ulimboka,kibanda,Mwangosi,mwenyekiti cdm Usariva,marehemu sokoine,maandamano kuvamiwa kwa hila ya police,mgodi wa northmara raia wameuawa kwa wingi,mjumbe wa katiba mpya nccr,waliogundulika kupiga kura upinzani, wakauawa yaani matukio ni mengi mno hayatatosha hapa. kwa kifupi nchi hii ipo chini ya walanguzi wa ccm

4.Hatujawahi kukusikia ukilalamika juu ya hao mafisadi kutokuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa maovu yao. majangili hawa wengine wanadiliki hata kudharau kwa kuita Mabilioni VIJICENT,hawahawa ndio wamewekeza ufisadi mwingine kwene Laini za simu 1000/= kila laini na kilamwezi estimate ni Bilion 50 kwa mwezi.Balali kasingiziwa kufa baada ya kupiga dili na ccm iliyohujumu uchumi kwa kiwango cha ajabu duniani. Hawa wote hawajachukuliwa hata chmbe ya nidhamu na hujalalamika.

5. Niwaombe watanzania hii kasumba ya kulalama katika matukio mepesi kama la huyu bwana na au kuhangaika kuiangamiza chadema si sawa hata kidogo ni ufukara wa mawazo uliopitiliza huku tukiwaacha majangili waliolifikisha Taifa hili hapa lilipo kiasi kwamba Tembo/kifaru/Madini/Gesi viko hatarini kupotea hapa tanzania. Tunapaswa tusimame kidete kuona kwamba watuhawa wamekamatwa na kuchukuliwa hatua.

6 Tusihangaike na ajenda za kutengeneza zinazolenga kuiangamiza chadema na badala yake tuhangaike na Adui yet mkuu CCM(mafisadi/majangili/wapiga dili) tumwondoe ili kutengezeta Taifa salama la kesho kwa ajili ya vizazi vyetu Jamani Jamani Jamani tuwaonee huruma vizaji vyetu badae visije kulaani.
7. Maana ya kufanya mabadiliko ni kuleta disprine/nidhamu kwa watawala. Kwamaba wasipofanya mazuri wataondoka sasa hapa TZ Mafisadi CCM wanafikiri watatawala mpaka milele ijayo Inatia uchungu sana

8. Nchi inaendeshwa bila sera mfano kwene elimu, mfano mwingine juzijuzi mafisadi ccm walitaka kuzuia fao la kujitoa mifuko ya jamii bila kutunga sera na ilihali kwamba wanafahamu ajira nyingi tanzania sio za kudumu hususani sekta binafsi eg migodini ,Barabarani nk pia kazi ni hatarishi huwezi fanya miaka 50 wala kufikisha ukiwa hai kutokana na nature ya kazi hizo.mishahara yenyewe ovyo huku wageni(eti exparts) wakiilipana mamilioni ya mishahara wazawa laki 2.
9 Mifano iko mingi uraiani baadhi ya waliokuwa watumishi wa serikali mpaka leo hawajalipwa stail zao kwa visingizio vingi na urasimu. thamani ya pesa haijulikani
 
Back
Top Bottom