Crocozilla
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 469
- 335
Leo ni siku ya huduma kwa mteja huko CRDB. Mmmmh Tanzania bado sana aisee. Huwezi amini nimekaa toka saa 4 asubuhi ndo natoka kwa issue ndogo tu ya kadi. Inauma sana sana.
Tubadilike Watanzania, angalia vibenki vidogo vidogo vya nje ambavyo vinaingia sokoni kwetu viko vizuri sana shida yao matawi machache. Tuache siasa Watanzania tuende na kasi ya serikali hii!!
Jamani mabenki yote badilikeni siyo CRDB pekee hata NBC kuna siku nilikaa saa 3 eti vibanda vipo 8 teller wawili pekee!!!! Shame!!!
Tubadilike Watanzania, angalia vibenki vidogo vidogo vya nje ambavyo vinaingia sokoni kwetu viko vizuri sana shida yao matawi machache. Tuache siasa Watanzania tuende na kasi ya serikali hii!!
Jamani mabenki yote badilikeni siyo CRDB pekee hata NBC kuna siku nilikaa saa 3 eti vibanda vipo 8 teller wawili pekee!!!! Shame!!!