Siasa zetu zimehamia hadi benki

Crocozilla

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
469
335
Leo ni siku ya huduma kwa mteja huko CRDB. Mmmmh Tanzania bado sana aisee. Huwezi amini nimekaa toka saa 4 asubuhi ndo natoka kwa issue ndogo tu ya kadi. Inauma sana sana.

Tubadilike Watanzania, angalia vibenki vidogo vidogo vya nje ambavyo vinaingia sokoni kwetu viko vizuri sana shida yao matawi machache. Tuache siasa Watanzania tuende na kasi ya serikali hii!!

Jamani mabenki yote badilikeni siyo CRDB pekee hata NBC kuna siku nilikaa saa 3 eti vibanda vipo 8 teller wawili pekee!!!! Shame!!!
 
yaani hawa dada yangu ni jipu, mara unaambiwa connection iko slow,
 
Mtandao huwa kuna kipindi ukataka kabisa mnakaa muda kusubiria NETWORK irudi
 
Siasa zetu zimehamia hadi benki
Ungekuwa unaelewa maana ya neno 'siasa', naamini usingethubutu kuweka title hiyo. Watanzania wengi hufuata mkumbo, akiongea mtu wengine wanafuatisha tu bila hata kutafakari. Yaani kutohudumiwa haraka benki basi ndio unaita kuna siasa huko? Kuna tatizo fulani la elimu
 
Sasa hapo siasa inahusika vipi?
Hayo ni matatizo kwenye mfumo wa uendeshaji wa tawi husika
Btw kama umekuta foleni lazima ukae foleni

Alaf pale benki c kuna sanduku la maoni, je umelitendea haki? Pia si kuna meneja wa kitengo ch a huduma kwa wateja, je umempa malalamiki yako? Au umekimbilia jf tu.
 
Back
Top Bottom