Asubuhi nimesikia kwenye uchambuzi Danny Mwakalinga sijui inakuwaje hapo Masa na Sikonge?
Na wewe acha kamba.
Kuwa na simu mbili za Ericsson zenye kunasa sauti na kupiga picha siyo big deal kwa dunia hii. Sasa angelikutwa na Iphone au Blackberry?
Ukitaka kumuuwa mtu siku hizi huhitaji kutumia kisu. Inatosha kumpa Zombe type visenti kidogo na umekwisha. Polisi wanafanya kazi hiyo safi kabisa na wanakukingia kifua. Kwa sasa anatembea na Waandishi wa IPPMEDIA kibao na ilisemwa tangu mwanzo.
Kwa ni siri kuwa Mwakyembe kaolea uchagani? Huko ukweni si ndiyo familia ya Mengi? Mwamba ngoma ndugu yangu, huvutia kwake......
Halafu jina la kijana aliyekuwa na simu mbili za Ericsson linaleta utata sana. Walau ingelikuwa Sony-Ericsson ningeliona ni simu ya kisasa. Mie nilifikiri Ericsson wameshakufa na kuamua kufunga ndoa na Sony? Hii miandishi OVYOOO KABISAAA..
Halafu kukutwa na KISU si kuwa umekuwa muuwaji. Huyu jamaa anaweza kuwa alikimbia kwa kuogopa kipigo kutoka kwa vijana wa CCM wanaofahamika kwa kibano chao cha nguvu. Wakati POLISI wanasema tunaendelea na uchunguzi, wao tayari wameshamhukumu? Ningelikuwa mie ningeliwashtaki kwa kunipakazia kuwa NILITAKA KUMUUWA Mwakyembe.
na Mwakyembe mwenyewe, wewe mwanasheria mzima unakuwa kama Mtei? Ukibanwa useme aliyepewa hizo milioni 400 ili kukumaliza, utaonyesha? Watu wamevurunda wenyewe na sasa kipindi cha malipo kinakaribia mtu anaanza kutafuta kisingizio. Nani alikuambia utowe AHADI kibao kama Muungwana? Mwakani utaubeba msalaba wa ahadi HEWA.
Mpwa check spelling una maana George?
Mpwa check spelling una maana George?
Mpwa check spelling una maana George?
Habari ya leo kwenye Nipashe inasema kuna message nyingi zenye ujumbe mzito kutoka kwa Vigogo Mbeya zinazoashiria kwamba kijana alikua anafanya kazi maalumu. Zaidi, inasema kwamba kuna fedha hupitia mikoa ya kaskazini (ARSHA ?), lakini zikiwa na chanzo chake nje (?). Naamini kwamba mwandishi hawezi kuandika uongo utakao mletea shida baadaye. Hii ni habari ya kipelelezi, inabidi tuifuatilie. Hivi Kyela kuna chama cha upinzani chenye nguvu? Nadhani ni wakati mzuri Bro. Mwakalinga na Dr. Mwakyembe wakapambanishwa kwa vyama tofauti. hapo tutaona nani ni nani. Vinginevyo tuachieni Kyela yetu ya amani........
Hapo ndipo tulipo fikishwa na wahandisi wetu wa habari. Wanajua tunameza kila kitu bila kutafakari hivi kweli inaingia akili mtu aende kumdhuru mbunge kwenye mkutano wake akiwa na wafuasi wake kwa kutumia kisu cha mkunjo? IPP wanaji dhalilisha sana kwa kukumbatia ujinga kama huu.
Yana mwisho haya - Rashid kwenye KULI
Hivi kumbe George Mwakalinga katumwa au anaungwa mkono na Mhe. Mwakipesile? huo si ndo mtandao wa mafisadi?
Akizungumzia matukio hayo, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya, Advocate Nyombi alisema jana jioni kuwa vielelezo vya Mwakalinga vimechukuliwa kwa uchunguzi zaidi.
Nipashe ilitaka kujua iwapo simu ya Mwakalinga nayo inashikiliwa, hivyo RPC Nyombi alikuwa na haya ya kujibu: "Nimekueleza kwamba vielelezo vyote ya mtuhumiwa vinashikiliwa nadhani unaelewa maana ya kusema hivyo."
Natanguliza shukrani ndugu yangu!
Nitakupa story baadaye kuhusiana na Mayasa niliyekuwa naye Jeshini. Mkuu nimechoka na siasa za bongo hasa ukizingatia yaliyotokea week inayoisha hii.
Kila laheri
Masa
Masa,
Huu wimbo nimeupata ONLINE. Unaweza kuupata kwenye PLAYLIST ya George Mwakalinga kama inavyoonyesha kwenye hiyo site. Sijui kama utachukua maana naona humpendi saana Mwakalinga. Anyway kazi kwako. Wimbo wenyewe ni wa 43 kwenye hiyo GeorgeMwakalinga Playlist. Na ili uuvute inabidi uwe na realplayer program ambayo ni free of charge (i hope unayo). Wakati unapiga ukisogeza alama ya mouse, itatokea symbol ya realplayer na ukibonyeza itakuuza wataka kushusha, hapo wee shusha. Ila itaupeleka kwenye mafaili ya Real player. Anyway na jina itaita George Mwakalinga hapo itabidi ukabadili. All in all, jinamizi la MWakalinga litakuwa na wewe siku nzima na sijui itakuwaje wakati unasikiliza huku ukijua huu wimbo nimeiba kutoka kwa Mwakalinga. Ila mwisho kipande kimekatwa, pole sana. Nikipata mwingine ntakutumia ila kwa leo anzia hapa.
http://www.mixpod.com/playlist/18425796 (wimbo wa 43).
Ukishavuta, sema basi asante kwa George Mwakalinga..... hi hiiiii 🙂
Join Date: Mon Aug 2009Hii stori mbona haijakaa vizuri. Yaani ukitaka kumuuwa mwanasiasa humuvizii kimya kimya nyumbani kwake au hotelini bali unamufuata kwenye mukutano wa hadhara ambapo kutakuwa na mamia au ma-alufu ya watu ambao wamekuja kumusikiliza huyo mwanasiasa. Ili iweje? Kama habari hizo ni kweli basi mimi nasema kuwa huyo muuwaji amepungukiwa na akili! Badala ya kumupeleka jela, mupelekeni kwenye hosipitali ya vichaa!
It doesnt even pass the smell test, let alone any detailed scrutiny of the events that really took place at the meeting that is supported by more than a single media source. Reporters in Tanzania can easily be bought and it does to require a lot of cash to do it, in case you dont already know this. It is a widely accepted thesis that for a little cash, some Tanzanian newspaper reporters can and are often used to lavish glory and praise on their paymasters who are usually politicians that are seeking to promote a particular point of view for political gain of course. But more often than not, reporters are used to demonize and destroy their paymasters political opponents. I hope you are not as naïve as to realize for the very first time that these troubling developments have crept into the Tanzanian political landscape.
If you are good at connecting dots (there wont be a prize for getting it right🙂 you will undoubtedly reach the conclusion that I personally came to, that is to say, the Dear Dr. and his Kyela entourage and disciples are getting desperate and this is only September 2009, God help us come September 2010!. Until this event, I was a strong supporter of the good Dr. but he is beginning to show a dark and vicious side will put him in a bad light in the public eye, political hero or not. Tanzanians voters of this and future generation will not be easily fooled by political stunts so dont underestimate our intelligence.
But I also have to confess; if its any consolation to the Dear Dr, I am not from Kyela so I wont be given the opportunity to express my disgust at the ballot box for their politics but I am deeply troubled nonetheless as a human being and a Tanzanian. Thats why I have decided to use this forum to speak up now while I can and you should do the same. The mantra that desperate times call for desperate and drastic measures certainly applies here in spectacular fashion. Pretty sad!
Nyumbu,
Hiyo habari ya NIPASHE leo ni uwongo kwa aslimia zaidi ya 90.
Ni kigogo gani mjinga kiasi hicho atakuwa anamtumia sms kijana mdogo na kibarua tu pale Kyela mjini?
Hakuna sms za aina yoyote kama hizo wanazozisema. Kuna kitu Engineer kaandika hapo juu ambacho ni ukweli. Hiyo simu ilizimika ikiwa mikononi mwa wapambe wa Mwakyembe kabla ya kufika polisi Kyela na mpaka RCO anaichukua hakuna polisi wa Kyela aliyekuwa amesoma sms ndani ya simu hiyo. Alisema ataenda kui charge Mbeya na ndipo angesoma hizo sms. Ukiachia mawasiliano ya kawaida ya Mwakalinga na vijana wake wa Kyela hakuna habari za kigogo yeyote.
Wanachofanya NIPASHE ni mwendelezo wa habari za kupika kama jana walivyosema mheshimiwa alitaka kuchomwa kisu.
Kwa habari hii ya leo Mwakalinga ameshawaambia wanasheria wake Dar kuishitaki IPPMEDIA kwa uzushi na kutaka kuleta machafuko Kyela.
Kuweni na subira na ukweli utajulikana muda sio mrefu.
Join Date: Mon Aug 2009
Posts: 11
Thanks: 0
Thanked 5 Times in 4 Posts
Rep Power: 0
MLIKUWA MKISOMA KAMA WAGENI SASA MMEJIUNGA
Kama kuna mtu asiyempenda Dr basi huyo ni fisadi au ni sehemu ya mafisadi. Kwa nini bambumbile na wenzako mnataka kuwachonganisha wana Kyela kwa Watanzania wachukiao mafisadi? Kwa TAARIFA YENU Dr akitaka kugongea jimbo lolote Mbeya atapeta kwa kura kama alizozipata Mbowe kwenye mkutano wa jana. Acha uzushi na uchonganishi,wakati Dr akisoma ripoti ya RICHMOND mlikuwa wa kwanza kumpongeza leo kwa sababu ya njaa zenu(kuhongwa na mafisadi) mnamgeuka. Mtakufa na njaa zenu kumbukeni WALIOZOEA VYA KUCHINJA VYA KUNYONGA HAWAWEZI.Kyela hii ni aibu sana, imekuwaje tumefikia hapa? Kama kweli mbunge anamteka kijana na kumpeleka nyumbani kwake, hilo litakuwa kosa kubwa sana.
Hii habari iliwekwa hapa Jumatano, watu tukaona majungu mpaka walipotoa Nipashe jana.
Mwakyembe mbona anakuwa na watu wa IPPMEDIA kwenye mikutano yake yote Kyela ikiwemo hii anayofanya sasa. Kama hii habari ni kweli alitaka kuuliwa, iweje hao waandishi wasiitoe habari muhimu kama hii siku hiyo hiyo ya Jumatano au hata Alhamisi?
Nafikiri hili jambo litaishia kuwa kama lile la Iringa tu; watu watageuziana vibao mpaka ukweli wote upotee.
Itabidi RPC awe makini sana maana mwanya wowote Dr. Mwakyembe atautumia.
Kwa taarifa nilizo nazo mimi Dr. kule jimboni ana hali ngumu sana, huenda anaamua kutumia hata njia za ajabu ili aonewe huruma kwamba anaandamwa na mafisadi.
Nyumbu,
Hiyo habari ya NIPASHE leo ni uwongo kwa aslimia zaidi ya 90.
Ni kigogo gani mjinga kiasi hicho atakuwa anamtumia sms kijana mdogo na kibarua tu pale Kyela mjini?
Hakuna sms za aina yoyote kama hizo wanazozisema. Kuna kitu Engineer kaandika hapo juu ambacho ni ukweli. Hiyo simu ilizimika ikiwa mikononi mwa wapambe wa Mwakyembe kabla ya kufika polisi Kyela na mpaka RCO anaichukua hakuna polisi wa Kyela aliyekuwa amesoma sms ndani ya simu hiyo. Alisema ataenda kui charge Mbeya na ndipo angesoma hizo sms. Ukiachia mawasiliano ya kawaida ya Mwakalinga na vijana wake wa Kyela hakuna habari za kigogo yeyote.
Wanachofanya NIPASHE ni mwendelezo wa habari za kupika kama jana walivyosema mheshimiwa alitaka kuchomwa kisu.
Kwa habari hii ya leo Mwakalinga ameshawaambia wanasheria wake Dar kuishitaki IPPMEDIA kwa uzushi na kutaka kuleta machafuko Kyela.
Kuweni na subira na ukweli utajulikana muda sio mrefu.