Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,195
- 1,417
Great Thinkers habari za asubuhi,
Kwa kweli tangu CHADEMA ianzishwe kimekuwa ni chama cha matukio na kutengeneza movie zisizoisha.
Kwa sasa tuna movie ya Wabunge Viti Maalum ambao nyepesi nyepesi zinasema Mwanasheria wa kuzaliwa Halima Mdee anaongoza timu hiyo (Wapare wanauza Ng'ombe kwa kesi ya Kuku) anaelekea Mahakamani kukata rufaa.
Ukimuweka na mdogo wake KM ambaye elimu yake ni changamoto ujue miaka mitano itapita wanazunguka na kesi hivyo kuendelea kupiga kazi mjengoni.
Huu mpango Freeman Mbowe anaujua msijidanganye ni mwamba anawachora na kuwachota akili kumfurahisha MBELINGINJI ili aendelee kutafuta vihela ambavyo mpaka sasa hakusomeki
Muda ni mchache na mambo ni mengi, yajayo yanafurahisha. CCM wanachapa kazi CHADEMA wanakimbizana Mahakamani na kufukuzana, miaka 5 ni kufumba na kufumbua tunaenda kwenye uchaguzi 2025
CCM wanaendelea kuchapa kazi msiseme mmeibiwa kura uchaguzi ukifika
Hebu tuorodheshe sinema za CHADEMA ukianza na tukio la hovyo alilofanyiwa Dr. Slaa!
Queen Esther
Kwa kweli tangu CHADEMA ianzishwe kimekuwa ni chama cha matukio na kutengeneza movie zisizoisha.
Kwa sasa tuna movie ya Wabunge Viti Maalum ambao nyepesi nyepesi zinasema Mwanasheria wa kuzaliwa Halima Mdee anaongoza timu hiyo (Wapare wanauza Ng'ombe kwa kesi ya Kuku) anaelekea Mahakamani kukata rufaa.
Ukimuweka na mdogo wake KM ambaye elimu yake ni changamoto ujue miaka mitano itapita wanazunguka na kesi hivyo kuendelea kupiga kazi mjengoni.
Huu mpango Freeman Mbowe anaujua msijidanganye ni mwamba anawachora na kuwachota akili kumfurahisha MBELINGINJI ili aendelee kutafuta vihela ambavyo mpaka sasa hakusomeki
Muda ni mchache na mambo ni mengi, yajayo yanafurahisha. CCM wanachapa kazi CHADEMA wanakimbizana Mahakamani na kufukuzana, miaka 5 ni kufumba na kufumbua tunaenda kwenye uchaguzi 2025
CCM wanaendelea kuchapa kazi msiseme mmeibiwa kura uchaguzi ukifika
Hebu tuorodheshe sinema za CHADEMA ukianza na tukio la hovyo alilofanyiwa Dr. Slaa!
Queen Esther