Siasa ni tatizo Udom!Ndani ya mwaka mmoja wanafunzi 890 watimuliwa chuo.Pinda anahusika 100%

TUNTEMEKE

JF-Expert Member
Jun 15, 2009
4,587
579
Udom ni janga la taifa,kwa kipindi kirefu tumekuwa tukifuatilia mambo yanavyoendelea chuo kikuu cha Dodoma(udom),kiukweli chuo hiki kimekuwa kikiendesha kibabe,kisiasa na ni chuo pekee Tanzania ambacho hakifuati haki za binadamu wala maazimio ya kimataifa kuhusiana na haki za wanafunzi na wanataaluma.Katika kipindi cha mwaka mmoja chuo kikuu cha dodoma kimewafukuza wanafunzi wasiopungua 800 bila ya kujitetea.Pale college of humanities and social science wanafunzi 511 walisimamishwa masomo tar 13/06/2011 na hadi hii leo vijana hao hawajarudishwa kuendelea na masomo.Tukijaribu kuangalia muda waliokaa vijana hawa nyumbani ni mwingi sana na wengine wamekata tamaa na hawana tena matumaini ya kuendelea kupata haki yao ya kimsingi ya elimu.Wengi wao wamekuwa waangaikaji mitaani na kwa upande wa akina dada wameamua kuolewa au kujiuza.College ya education wanafunzi 89 wametimuliwa,natural science 108 na infomatics ni wanafunz 66.Mzaz usimpeleke mwanao Udom hapafai kabisa.Mateso wanayopata vijana wa Udom muhusika mkuu ni waziri mkuu Pinda,yeye sambamba na mawaziri wake wa elimu bwana shukuru Kawambwa na Waziri wake wa mambo ya ndani kipindi kile Nahodha,walienda pale Udom na kuwadanganya vijana kuhusu tatizo lao la mafunzo kwa vitendo,Kwa pamoja waliahidi course zote zitaenda field na suala hilo lipo ndani ya uwezo wa serikali kwani wao ndio wanyekila kitu.Cha kushangaza suala hili liliwekwa kisiasa zaidi na kiutendaji lilikuwa haliwezekani kwa kile kilichodaiwa kuwa prospectus ya udom 2009-10 ilikuwa haijabainisha jambo hilo.Zikiwa zimebaki siku chache vijana waende field.TCU wanaliwaletea barua wanafunzi wenye matumain makubwa ya kwenda mafunzo kwa vitendo kwa ahadi ya Pinda na mawaziri wake kuwa hakuna atakayeenda field na yeyote anayeona ameonewa basi aende mahakamani.Suala hili lilipokelewa kwa hisia tofauti na kusababisha maandamano na mwisho wa siku Pinda alipokuwa anaitwa kuja kutoa ufafanuzi wa ahadi yake na kauli ya TCU aligoma kufanya hivyo na kuwatoa sadaka watoto wa watu.Hali imekuwa mbaya zaid udom kiasi kwamba kwa hivi sasa mwanafunzi akionekana anatoa mawazo yake kwenye tv au radio hata kama hayahusiani na mambo ya udom basi atatafutwa na kupewa barua ya kusimamishwa chuo.Kuna kijana kasimamishwa kisa alionekana Itv kwenye kipindi cha malumbano ya hoja.Hii ndiyo udom inayoendeshwa kwa itikadi ya siasa na kupoteza future ya vijana.Binafsi mwanangu bora aende diploma ya ualimu kuliko kwenda Udom.Poor Pinda,poor mtoto wa mkulima,poor Udom.Mungu wabariki vijana wa Tanzania.
 
Kwakweli Udom kuna tatizo, juzi kuna sister ana mtoto hapo alikuwa ananiuliza kama wengine wameitwa maana wake mpaka leo kimya mambo haya yanasikitika sana.
 
UDOM ni zaidi ya unavyo ijua



QUOTE=Rvman;3885217]Udom ni janga la taifa,kwa kipindi kirefu tumekuwa tukifuatilia mambo yanavyoendelea chuo kikuu cha Dodoma(udom),kiukweli chuo hiki kimekuwa kikiendesha kibabe,kisiasa na ni chuo pekee Tanzania ambacho hakifuati haki za binadamu wala maazimio ya kimataifa kuhusiana na haki za wanafunzi na wanataaluma.Katika kipindi cha mwaka mmoja chuo kikuu cha dodoma kimewafukuza wanafunzi wasiopungua 800 bila ya kujitetea.Pale college of humanities and social science wanafunzi 511 walisimamishwa masomo tar 13/06/2011 na hadi hii leo vijana hao hawajarudishwa kuendelea na masomo.Tukijaribu kuangalia muda waliokaa vijana hawa nyumbani ni mwingi sana na wengine wamekata tamaa na hawana tena matumaini ya kuendelea kupata haki yao ya kimsingi ya elimu.Wengi wao wamekuwa waangaikaji mitaani na kwa upande wa akina dada wameamua kuolewa au kujiuza.College ya education wanafunzi 89 wametimuliwa,natural science 108 na infomatics ni wanafunz 66.Mzaz usimpeleke mwanao Udom hapafai kabisa.Mateso wanayopata vijana wa Udom muhusika mkuu ni waziri mkuu Pinda,yeye sambamba na mawaziri wake wa elimu bwana shukuru Kawambwa na Waziri wake wa mambo ya ndani kipindi kile Nahodha,walienda pale Udom na kuwadanganya vijana kuhusu tatizo lao la mafunzo kwa vitendo,Kwa pamoja waliahidi course zote zitaenda field na suala hilo lipo ndani ya uwezo wa serikali kwani wao ndio wanyekila kitu.Cha kushangaza suala hili liliwekwa kisiasa zaidi na kiutendaji lilikuwa haliwezekani kwa kile kilichodaiwa kuwa prospectus ya udom 2009-10 ilikuwa haijabainisha jambo hilo.Zikiwa zimebaki siku chache vijana waende field.TCU wanaliwaletea barua wanafunzi wenye matumain makubwa ya kwenda mafunzo kwa vitendo kwa ahadi ya Pinda na mawaziri wake kuwa hakuna atakayeenda field na yeyote anayeona ameonewa basi aende mahakamani.Suala hili lilipokelewa kwa hisia tofauti na kusababisha maandamano na mwisho wa siku Pinda alipokuwa anaitwa kuja kutoa ufafanuzi wa ahadi yake na kauli ya TCU aligoma kufanya hivyo na kuwatoa sadaka watoto wa watu.Hali imekuwa mbaya zaid udom kiasi kwamba kwa hivi sasa mwanafunzi akionekana anatoa mawazo yake kwenye tv au radio hata kama hayahusiani na mambo ya udom basi atatafutwa na kupewa barua ya kusimamishwa chuo.Kuna kijana kasimamishwa kisa alionekana Itv kwenye kipindi cha malumbano ya hoja.Hii ndiyo udom inayoendeshwa kwa itikadi ya siasa na kupoteza future ya vijana.Binafsi mwanangu bora aende diploma ya ualimu kuliko kwenda Udom.Poor Pinda,poor mtoto wa mkulima,poor Udom.Mungu wabariki vijana wa Tanzania.[/QUOTE]
 
Remote control ya ccm na kikwete na Nepi.Lini Katibu mwenezi akapewa hadhi ya kutembelea mali ya serikali na kutoa maagizo kama siyo UDOM pekee.?.Chama legelege uzaa Serikali na watendaji legelege kama hapo UDOM.
 
UDOM kweli imeshakua tatizo. Mie nafkri kunaviongozi ndani ya chuo wasio jua wajibu wao, baadala ya kutatua matatizo ya wanafunzi wanakimbilia kufukuza wanafunzi. Hili linaonyesha jinsi Siasa inavyo undermine intellectual minds especially those seems to be reputable professors but are not. University aims to create thinkers, kwa mtindo huu wa divide and rule tunakwenda wapi? Hakuna kitu kibaya kama wanafunzi kutofurahia academic life, kwa wale professional teachers watakubaliana nami kuwa uwezo wa mwanafunzi kupenda kujifunza na kudadisi mambo hupungua pia.
Ushauri kwa wanafunzi na walimu wao ambao pia wanakabiliwa na matatizo lukiki ambayo solution yake imekua ni kuwatimua kila anapotokea mmojawapo kutumia akili na kufikiri mambo ya msingi kabisa yahusuyo ustawi wa chuo na watu wake. Msikate tamaa hakuna haki inayo ombwa hapa duniani, ni lazima kuidai. Watawala mnapita tu na hamuwezi kudumu milele hapo mbaya zaidi mwisho wa miungu watu wote umekaribia. Nalaiti mngelijua wanayo yania vijana na wafanyakazi wenu mtaani nadhani mngejitahidi sana kujenga mahusiano mazuri na wanafunzi na wafanyakazi wenu.
Tuombe uzima tutasikia mengi na kushudia mengi kutoka Udom
Never give up
 
Udom ni janga la taifa,kwa kipindi kirefu tumekuwa tukifuatilia mambo yanavyoendelea chuo kikuu cha Dodoma(udom),kiukweli chuo hiki kimekuwa kikiendesha kibabe,kisiasa na ni chuo pekee Tanzania ambacho hakifuati haki za binadamu wala maazimio ya kimataifa kuhusiana na haki za wanafunzi na wanataaluma.Katika kipindi cha mwaka mmoja chuo kikuu cha dodoma kimewafukuza wanafunzi wasiopungua 800 bila ya kujitetea.Pale college of humanities and social science wanafunzi 511 walisimamishwa masomo tar 13/06/2011 na hadi hii leo vijana hao hawajarudishwa kuendelea na masomo.Tukijaribu kuangalia muda waliokaa vijana hawa nyumbani ni mwingi sana na wengine wamekata tamaa na hawana tena matumaini ya kuendelea kupata haki yao ya kimsingi ya elimu.Wengi wao wamekuwa waangaikaji mitaani na kwa upande wa akina dada wameamua kuolewa au kujiuza.College ya education wanafunzi 89 wametimuliwa,natural science 108 na infomatics ni wanafunz 66.Mzaz usimpeleke mwanao Udom hapafai kabisa.Mateso wanayopata vijana wa Udom muhusika mkuu ni waziri mkuu Pinda,yeye sambamba na mawaziri wake wa elimu bwana shukuru Kawambwa na Waziri wake wa mambo ya ndani kipindi kile Nahodha,walienda pale Udom na kuwadanganya vijana kuhusu tatizo lao la mafunzo kwa vitendo,Kwa pamoja waliahidi course zote zitaenda field na suala hilo lipo ndani ya uwezo wa serikali kwani wao ndio wanyekila kitu.Cha kushangaza suala hili liliwekwa kisiasa zaidi na kiutendaji lilikuwa haliwezekani kwa kile kilichodaiwa kuwa prospectus ya udom 2009-10 ilikuwa haijabainisha jambo hilo.Zikiwa zimebaki siku chache vijana waende field.TCU wanaliwaletea barua wanafunzi wenye matumain makubwa ya kwenda mafunzo kwa vitendo kwa ahadi ya Pinda na mawaziri wake kuwa hakuna atakayeenda field na yeyote anayeona ameonewa basi aende mahakamani.Suala hili lilipokelewa kwa hisia tofauti na kusababisha maandamano na mwisho wa siku Pinda alipokuwa anaitwa kuja kutoa ufafanuzi wa ahadi yake na kauli ya TCU aligoma kufanya hivyo na kuwatoa sadaka watoto wa watu.Hali imekuwa mbaya zaid udom kiasi kwamba kwa hivi sasa mwanafunzi akionekana anatoa mawazo yake kwenye tv au radio hata kama hayahusiani na mambo ya udom basi atatafutwa na kupewa barua ya kusimamishwa chuo.Kuna kijana kasimamishwa kisa alionekana Itv kwenye kipindi cha malumbano ya hoja.Hii ndiyo udom inayoendeshwa kwa itikadi ya siasa na kupoteza future ya vijana.Binafsi mwanangu bora aende diploma ya ualimu kuliko kwenda Udom.Poor Pinda,poor mtoto wa mkulima,poor Udom.Mungu wabariki vijana wa Tanzania.

Aiseee...............mbaya sana.
 
Udom ni zaid ya moto wa jehanamu.Hakuna haki hata kidogo ukihoji tu unalimwa barua wanakuambia watakuita,utasubiri sana ujue hyo ndo mwisho wako,huna chuo.Serikali imewasaliti basi CHADEMA NJOONI MUWAOKOE hawa vijana maana serikali Ya C.C.M na mwenyekiti wake ni wasaliti wameshndwa kutatua migogoro mikubwa ya udom,tatzo ni Prof.Shaaban Mlacha wa kiswahili alyepewa kitengo cha fedha mipango na utawala.MLACHA NI KIRUSI HATARI SANA UDOM.Jk njoo umtoe huyu mdudu wako anaua chuo,wanafunz na wahadhili na USIPOMTOA UJUE KUWA MNAANDAA BOMU KUBWA SANA AMBALO LIKIRIPUKA HAKUNA WAKULIZIMA.Mhe kikwete Narudia tena MWONDOE MLACHA UDOM NI MBABE NA FISADI SUGU.CAG AJE AFANYE UKAGUZI HAPA CHUONI.
 
"Gereza halisi na Gereza la kweli kwa mwanadamu yeyote yule ni uoga bali uhuru halisi na ushindi wa kweli kwa mwanadamu yeyote ni kuushinda uoga" Vijana tuamke...
 
Back
Top Bottom