omujubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 4,325
- 2,498
Heshima mbele wakuu.
Ni juzi tu moto uloposhika jengo la Kimathi katikati ya jiji la Nairobi. Ilikuwa ni usiku na baadhi ya local tv walionyesha hili tukio moja kwa moja.
Wengi wetu (nadhani) hatumfahamu Bw. Mwampembwa aka GADO kuwa ni 'mwanaharakati' mwenzetu, kwa wasiolijua hilo ni kuwa huyu ni Mtanzania aliyepiga hatua kubwa sana kimatifa katika nyanja ya utoaji maoni kupitia kazi za katuni.
Hii ya leo imenifurahisha sana.
Habari zaidi: Night blaze guts section of Nairobi
Ni juzi tu moto uloposhika jengo la Kimathi katikati ya jiji la Nairobi. Ilikuwa ni usiku na baadhi ya local tv walionyesha hili tukio moja kwa moja.
Wengi wetu (nadhani) hatumfahamu Bw. Mwampembwa aka GADO kuwa ni 'mwanaharakati' mwenzetu, kwa wasiolijua hilo ni kuwa huyu ni Mtanzania aliyepiga hatua kubwa sana kimatifa katika nyanja ya utoaji maoni kupitia kazi za katuni.
Hii ya leo imenifurahisha sana.
Habari zaidi: Night blaze guts section of Nairobi