zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,832
- 8,623
WADAU HII NILIIPATA KWENYE FACEBOOK, ILIANDIKWA NA MDAU ANAITWA ALEX MUSHI
''JAMANI HAKUNA SIKU NIMEUMIA KAMA LEO. Uwezi amini mdogo wetu wa mwaka wa kwanza, GETRUDE NDIBALEMA alivyochanganywa katika majina ya waliosimamishwa chuo pamoja na wanachama wengine wa CDM. Tangazo lililopo leo katika website ya chuo limeongeza majina ya ...makamanda wa CHADEMA kama ndiyo vinara wa mgomo. Getrude ni kiongozi wa Baraza la Vijana Chadema yaani BAVICHA tawi la UDOM kama viongozi wengine.
(mfano: Bw. SHILINGI- Mwenyekiti CCM (UDOM); Bw. Saidi Saidi -Mwenykiti UVCCM (UDOM); Bw. HOMERA- katibu mwenezi CCM (UDOM) na wengineo wengi) wa CCM tawi UDOM. Kwa taarifa ambazo nimeziona leo tar. 20 th july 2011 GETRUDE ameongezwa kama ni miongoni mwa Vinara wa mgomo.
Kwa masikitiko makubwa najiuliza maswali yanayonifanya nipate uchungu kiasi cha kutokwa na machozi kuwa; Sisi kuwa CDM tumepoteza sifa ya kuwa watanzania wenye uhuru wa kisiasa kama wenzetu (wanafunzi) wa CCM? Nani mtetezi wetu katikati ya uonevu huu? Kuwa CDM ni uaini au Uasi? Au ndo utekelezaji wa agizo la wakuu wa wilaya kuwa " mkianza kuwarudisha anzeni na CCM ,waacheni CDM kwani hawana shukrani wala fadhila? Wito wangu kwa Serikali ni kuliangalia hili kwa umakini zaidi ili kuhakikisha wananchi wote ndani ya nchi yao wanapata haki zao kwa mujibu wa katiba.
Nauomba uongozi wa wa Chuo ufanye maamuzi kwa mujibu wa kanuni na taratibu zilizopo na si kwa shinikizo lolote kutoka kwa wanasiasa wanaowatumia kwani kwa kufanya hivyo machozi ya wasio na hatia yatakuwa juu yao.( NASEMA HAYA KUTOKANA UKWELI KUWA HAKUKUWA NA VIGEZO VYA MOJA KWA MOJA KUWATAMBUA VINARA KAMA MATANGAZO YALIVYODAI KUWA VINARA WATASIMAMISHWA ; PIA CHUO KINAJUA UKWELI WA NANI ALIYEUSABABISHA ULE MGOMO WA UDOM) Napenda kuwaomba wadau wote watakaoguswa na uonevu wa huu ndani ya chuo kikuu cha DODOMA watoe msaada wao.
NI WAZI ITAMBULIKE KUWA SIKU AMBAYO DUNIA ITAKUWA SI MAHALA SALAMA PA KUISHI, HALI HIYO HAITASABABISHWA NA WALE WAOTENDA MAOVU BALI ITASABABISHWA NA WALE WANAOONA MAOVU YAKIFANYIKA WASICHUKUE HATUA. Kutatuo tatizo la UDOM kwa staili hiyo si utatuzi wa kudumu bali ni kuairisha tatizo linalokuwa siku hadi siku''.
myk take___kama hiki ndo kigezo walichotumia basi kuna hatari amani ikavunjika siku sio nyingi.
''JAMANI HAKUNA SIKU NIMEUMIA KAMA LEO. Uwezi amini mdogo wetu wa mwaka wa kwanza, GETRUDE NDIBALEMA alivyochanganywa katika majina ya waliosimamishwa chuo pamoja na wanachama wengine wa CDM. Tangazo lililopo leo katika website ya chuo limeongeza majina ya ...makamanda wa CHADEMA kama ndiyo vinara wa mgomo. Getrude ni kiongozi wa Baraza la Vijana Chadema yaani BAVICHA tawi la UDOM kama viongozi wengine.
(mfano: Bw. SHILINGI- Mwenyekiti CCM (UDOM); Bw. Saidi Saidi -Mwenykiti UVCCM (UDOM); Bw. HOMERA- katibu mwenezi CCM (UDOM) na wengineo wengi) wa CCM tawi UDOM. Kwa taarifa ambazo nimeziona leo tar. 20 th july 2011 GETRUDE ameongezwa kama ni miongoni mwa Vinara wa mgomo.
Kwa masikitiko makubwa najiuliza maswali yanayonifanya nipate uchungu kiasi cha kutokwa na machozi kuwa; Sisi kuwa CDM tumepoteza sifa ya kuwa watanzania wenye uhuru wa kisiasa kama wenzetu (wanafunzi) wa CCM? Nani mtetezi wetu katikati ya uonevu huu? Kuwa CDM ni uaini au Uasi? Au ndo utekelezaji wa agizo la wakuu wa wilaya kuwa " mkianza kuwarudisha anzeni na CCM ,waacheni CDM kwani hawana shukrani wala fadhila? Wito wangu kwa Serikali ni kuliangalia hili kwa umakini zaidi ili kuhakikisha wananchi wote ndani ya nchi yao wanapata haki zao kwa mujibu wa katiba.
Nauomba uongozi wa wa Chuo ufanye maamuzi kwa mujibu wa kanuni na taratibu zilizopo na si kwa shinikizo lolote kutoka kwa wanasiasa wanaowatumia kwani kwa kufanya hivyo machozi ya wasio na hatia yatakuwa juu yao.( NASEMA HAYA KUTOKANA UKWELI KUWA HAKUKUWA NA VIGEZO VYA MOJA KWA MOJA KUWATAMBUA VINARA KAMA MATANGAZO YALIVYODAI KUWA VINARA WATASIMAMISHWA ; PIA CHUO KINAJUA UKWELI WA NANI ALIYEUSABABISHA ULE MGOMO WA UDOM) Napenda kuwaomba wadau wote watakaoguswa na uonevu wa huu ndani ya chuo kikuu cha DODOMA watoe msaada wao.
NI WAZI ITAMBULIKE KUWA SIKU AMBAYO DUNIA ITAKUWA SI MAHALA SALAMA PA KUISHI, HALI HIYO HAITASABABISHWA NA WALE WAOTENDA MAOVU BALI ITASABABISHWA NA WALE WANAOONA MAOVU YAKIFANYIKA WASICHUKUE HATUA. Kutatuo tatizo la UDOM kwa staili hiyo si utatuzi wa kudumu bali ni kuairisha tatizo linalokuwa siku hadi siku''.
myk take___kama hiki ndo kigezo walichotumia basi kuna hatari amani ikavunjika siku sio nyingi.