feysher
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 2,656
- 2,775
Ngoja nije unisaidie
Itapendeza kama na wewe Ukifuata Dokezo la mtoa mada
Itapendeza kama na wewe Ukifuata Dokezo la mtoa mada
Ila wanaume tumeumbwa mateso, unajinyima ujenge ili uje uishi na mtu ambaye muda huu we unaojinyima yeye anaelekea guest[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji123][emoji123]Mnaweza sana huwa mnajiendekeza tu.
Hakuna mafanikio yasiyo na chanzo labda unaficha siri ya mafanikio yako[emoji123][emoji123]
Ila wanaume tumeumbwa mateso, unajinyima ujenge ili uje uishi na mtu ambaye muda huu we unaojinyima yeye anaelekea guest[emoji28][emoji28][emoji28]