Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,039
- Thread starter
- #21
Yakujenga ghorofa
Dah...Sasa unatafuta hela ya Nini?,
Dah...Sasa unatafuta hela ya Nini?,
Dah.... ndivyo walivyokushauri wenye maghorofa?Yakujenga ghorofa
Dah.... ndivyo walivyokushauri wewe maghorofa?
Yes mkuu tukiamua tunaweza hayo tunaita maamuzi magumu au kwa kizungu taugh call, shida ni kuwa sisi me tunakuwa wagumu kuyavua maisha haya na kuvaa hayo mkuuNilikuwa na mchakato wa kukaa mwaka mzima bila kugegeda kwa malengo yangu binafsi,tayari nimeshakamilisha miezi sita!,na Jana nimetest mitambo kama ipo fresh na Demu mmoja sasa naendelea kumalizia miezi sita iliyobaki!
Faida kubwa niliyopata ni kwamba pesa inakaa sasa kwenye wallet vizuri na mambo mengine yakiendelea mubashara!
Wanaume tukiamua tunaweza
Ila ndio ivyo mpango ushaaribika we endelea tu kugegeda chiefNi kutest tu mitambo hata bunduki huwa inasafishwa inahifadhiwa tena!hahaaa
Utakua una ugonjwa wa akiliNilikuwa na mchakato wa kukaa mwaka mzima bila kugegeda kwa malengo yangu binafsi,tayari nimeshakamilisha miezi sita!,na Jana nimetest mitambo kama ipo fresh na Demu mmoja sasa naendelea kumalizia miezi sita iliyobaki!
Faida kubwa niliyopata ni kwamba pesa inakaa sasa kwenye wallet vizuri na mambo mengine yakiendelea mubashara!
Wanaume tukiamua tunaweza
Hongera
Najua ulitest mitambo baada yakujihisi unaelekea kwenye uhanisi
Ban jau mkuu n
Ban ya mda gn Umekula??Ban jau mkuu n
Hadi nimekuwa mpore
Maisha kabisa brotherBan ya mda gn Umekula??
Daah,nilijua uzi wenye maarifa ya ujasiliamali..Nilikuwa na mchakato wa kukaa mwaka mzima bila kugegeda kwa malengo yangu binafsi,tayari nimeshakamilisha miezi sita!,na Jana nimetest mitambo kama ipo fresh na Demu mmoja sasa naendelea kumalizia miezi sita iliyobaki!
Faida kubwa niliyopata ni kwamba pesa inakaa sasa kwenye wallet vizuri na mambo mengine yakiendelea mubashara!
Wanaume tukiamua tunaweza
Pole acha ukorofi brazaMaisha kabisa brother
Aisee!!Nilikuwa na mchakato wa kukaa mwaka mzima bila kugegeda kwa malengo yangu binafsi,tayari nimeshakamilisha miezi sita!,na Jana nimetest mitambo kama ipo fresh na Demu mmoja sasa naendelea kumalizia miezi sita iliyobaki!
Faida kubwa niliyopata ni kwamba pesa inakaa sasa kwenye wallet vizuri na mambo mengine yakiendelea mubashara!
Wanaume tukiamua tunaweza
Kuacha hamna mkuu tutamiliki emails ata 7 za kufungulia I'DPole acha ukorofi braza
Ukimaliza sita ongeza mwaka lazima ujenge
Ila wanaume tumeumbwa mateso, unajinyima ujenge ili uje uishi na mtu ambaye muda huu we unaojinyima yeye anaelekea guestUkimaliza sita ongeza mwaka lazima ujenge
Nimemkumbuka Sergio5Kuacha hamna mkuu tutamiliki emails ata 7 za kufungulia I'D