Si utani jamani

Si utani jamani

Mr.kichuli

Member
Joined
Mar 21, 2013
Posts
29
Reaction score
6
Mmi ni kijna mwenye umri wa miaka 23 n nina fanya kazi naihifadhi kwa sasa natafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo...awe mwl wa prmary..sec o-level,,,,nesi au anosomea ualimu dini mkristo na ni vizuri akiwa msabato awe chin ya umri wangu hapo juu!!!!plz anitafute humu 0712620321..
 
Kazi yako umeihifadhi lakini ya unayemtaka umeitaja. Unataka mchumba ilhali unajiweka gizani😕.
Tuachane na umri wako, ukijifunza kuandika vizuri na kuweka vituo kwenye sentensi zako mchumba atajitahidi akuweke kwenye kundi la wakubwa.
 
Endapo atajitokeza ndo mengine ntamweleza kwani ni vibaya kutaja sifa za ninae mtaka
 
Endapo atajitokeza ndo mengine ntamweleza kwani ni vibaya kutaja sifa za ninae mtaka

Ubaya ni kwamba wewe hujataja kazi yako hata kama wewe ni mzibuaji wa vyuoo unasema maana kazi ni kazi bora maslahi yanapatikana. Acha kuwaweka gizani funguka.
 
Haisee kula ujana wako kwanza. Huku ndoani kupo tu wala si kwa kukimbilia. Tafuta hela kwanza kijana.
 
I fail to understand. Kijana wa miaka 23 unashindwa kupta mchumba mtaani kwenu, kanisani, kazini? Hata rafiki wa rafiki? Something is very wrong with you bwana.
 
Hebu muache kijana wa miaka 23 atafute mchumba...alaaaah!!!

I fail to understand. Kijana wa miaka 23 unashindwa kupta mchumba mtaani kwenu, kanisani, kazini? Hata rafiki wa rafiki? Something is very wrong with you bwana.
 
I fail to understand. Kijana wa miaka 23 unashindwa kupta mchumba mtaani kwenu, kanisani, kazini? Hata rafiki wa rafiki? Something is very wrong with you bwana.

wa mtaani kwake si ndio sisi tuko JF............. we endelea kufeli ku understand tu
 
Si unakumbuka enzi zileeee tulikuwa tunaandika barua halafu unampa kigoli umpendaye akaisome mbele...

Basi siku hizi dotcom wao wanatumia Jeiefu, Twita na fesibuku...heheh nimesahau na Wasapu

Hehehe, basi best ngoja niwe mpole. Japo sijaelewa kwa kweli!
 
Mmi ni kijna mwenye umri wa miaka 23 n nina fanya kazi naihifadhi kwa sasa natafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo...awe mwl wa prmary..sec o-level,,,,nesi au anosomea ualimu dini mkristo na ni vizuri akiwa msabato awe chin ya umri wangu hapo juu!!!!plz anitafute humu 0712620321..
Huo umri wapo shule nakushangaa wewe unatangaza kuoa umri huo
sijui lini hiyo umemaliza shule, usituharibie wanafunzi
 
Back
Top Bottom