sasa ujasema sio ustaarabu kivipiWale wanaopiga mswaki nje ya nyumba hasa wanaume tena kandokando ya njia huku wamevaa vibukta vifupi vimeishia kwenye mapaja na tumbo wazi sio ustaarabu.
wewe utakuwa unakaa kati ya maeneo yafuatayoMbona kawaida tu huku kwetu mie huwa napiga mswaki nje asubuhi huku nimejifunga taulo kifua wazi na kitambi changu
nakutana na baba mwenye nyumba naye anapiga mswaki amejifunga kitenge cha mkewe kifua wazi na hivi mwembamba vimbavu vinahesabika!
Muda huo akipita mtu hunisalimia kwanza mimi
mwili wa mwanaume haujaumbiwa kutamaniwa hata akiwa na boxer acha tupigwe na kaupepo ka asubuhi jamani usiku kucha na blanket hilo joto balaa
Kutoka nje na mwaski unakenua kusugua meno hadharani tu TAYARI NI UJINGA NA UCHAFU.
Wengine unakuta antema makohozi kama emulsion hadi unaweza kuacha kula wiki nzima.
Wtz tujifunze ustaarabu jamani, SI AJABU NDIO MAANA KIPINDUPINDU NA TB HAVIISHI
wewe utakuwa unakaa kati ya maeneo yafuatayo
Kigogo Mburahati
Kiwalani Bomu bomu
Buguruni Kwa Mnyamani
Ukonga Mongo la Ndege
Mbagala Majimatitu
Kimara King'ole
sasa ujasema sio ustaarabu kivipi
Wenyewe huku uswahili tumeshazoea vibarazani chumba kimoja sinki litatoka wapi jamanii
Hatari sana, na viwanja vyetu vya 20x20, majirani wana kazi kubwa.kupigia nje sio ishu ! ishu ni uvaaji na upigaji wa mswaki usiyo wa kwaida utazani unagombana nao ! na mikohoz kibao kho kho kho kho kho , halafu kwa sauti ! na kupenga mikamasi kwa sauti wakati jirani zako wanapata brak fast muda huo .
unakuta baba mzima mtumbo mkubwa kauweka nje (tena umejaa manyoya) halafu kavaaa kibukta kivupi kimeshia mapajani : hata watoto tu wakimtazama unaona ni tabia njema ku-expose kitovu na minyoya?
kodi itapanda muda si mrefu.Mbona kawaida tu huku kwetu mie huwa napiga mswaki nje asubuhi huku nimejifunga taulo kifua wazi na kitambi changu
nakutana na baba mwenye nyumba naye anapiga mswaki amejifunga kitenge cha mkewe kifua wazi na hivi mwembamba vimbavu vinahesabika!
Muda huo akipita mtu hunisalimia kwanza mimi
Huku kwetu sisi hatuna sink, mswaki unaenda nao bafuni. Kabla hujaoga unaanza kusafisha meno na kusukuwa.