Mademoiselle
JF-Expert Member
- Jul 11, 2022
- 532
- 2,273
Ok.....
Niko kwa ajili ya kuokoa wanaume.Mambo yao waachie wenyewe...
Kaepuka UTAPELI MKUBWA SANAAAA.Naona kaiga technic ya Akhmu.
dronedrake 😀INTRODUCTION...
Za muda Wana JF .......
Unaukumbuka mkasa huu wa John, Michael na Mkewe....
Nikiwaambia msioe muwe mnasikia; kwa miezi 4 mwamba kaishi maisha magumu bila mshahara kumbe mkewe ana laki 8 ndani, na usaliti juu kaambulia
Eeeh bwana ehh ni Mimi Mr. Liverpool Tena. Weekend hii tumempiga Manure na nyundo Kali sanaa mpaka kapoteana.!! Sasa jiulize ile ilikua Old Traford, je wakija Anfield..!!! Turudi kwenye mada .... HIVI KWANINI HAMSIKII NIKIWAAMBIA MSIOE ??😳😳😳 Sasa Kuna mwenzenu yamemkuta huku ...www.jamiiforums.com
MAIN BODY....
Basi bana kwa story za mwenyewe John, ndoa yao ilianza kuingia doa March/2021 ila mimi nilikuja kujua (alikuja kunihadithia) October/2021.
Katika hii ndoa yao, wazazi, washenga na viongozi wa dini walifanya sanaa Kazi ya kumbembeleza John asamehe ili ndoa isivunjwe.
Sasa bana, baada ya jitihada za kuinusuru hii ndoa basi John alirudi kwake March/2022 na maisha yakaendelea.
SCENARIO
John baada ya kurudi alirudi tu kimwili ila sio kiroho wala ki akili.
Kwanza kabisa humo ndani waligawana vyumba na kila mtu alikuwa na maisha yake japo wanaishi nyumba moja.
Si unakumbuka John alihama nyumbani na kuanza maisha kabla ya kurudi kwenye ndoa yake.
Basi kule kwenye maisha yake alinunua (ga) kitanda, sabufa, TV na vyombo.
Alivyorudi home alikuwa na chumba chake akaweka Kitanda chake, TV yake na Sabufa yake (vyombo aliuza).
Hivyo ndani ya nyumba John amekuwa kama mpangaji.
Akitoka kazini, anafikia chumbani kwake nakucheki TV, sebuleni hatimbi...!!!!
Mke unaambiwa alivyoona hivi na mume abadiliki alimua kuanza mchakato wa talaka mahakamani kimya kimyaaa.
Sasa bana hapa ndipo kwenye mada....
Kuna jambo John kafanya sijaelewa, wanasheria na wataalamu wengine mtanisaidia uelewa..!!!
John kabla ya kuoa alikuwa na viwanja chenye pangala ila baada ya kuoa alinunua (ga) kiwanja kengine akajenga nyumba nyengine na shamba (ndio wanapoishi na mkewe).
Sasa bana John alivyosikia mkewe anaongelea talaka alichofanya, kwa mali zotee ambazo zimepatikana kwenye ndoa kaandika jina la mama ake..!!!
Shamba lake lina hati ya mama yake
Gari lake Lina card jina la mama ake.
Hizi ndio nazozijua ila nahisi pia kuna mali nyingi tu aidha kazificha mkewe hajui au kazimilikisha kwa mama ake.
Kilichonishangaza sijajua kabadilishaje majina kutoka yake kwenda kwa mama ake au sijui alifanya kama kumuuzia mama ake (wataalamu wa Sheria mtanisaidia kwa hili...!!)
Na yote haya kafanya mwaka huu baada ya kusikia habari za kuwa mkewe ana mpango wa kwenda Mahakamani.
BIG PROBLEM...
Juzi aliitwa ofisi ya mtendaji wa kijiji.
Alipofika alikutana na summons ya kuitwa mahakamani kwa kesi ya hiyo ya talaka na mkewe....
Then IT'S OVER..!!!
Mwamba alisaini "dispach" akasepa na barua yake home na alivyofika home hajaongea na mkewe chochote..!!!
BIG MIND...
Mi binafsi nahitaji John ashinde hii kesi...!!!
Na nilichompenda alivyorudi nyumbani baada ya ndoa kusuluhishwa aliamua kumiliki document zotee za mali na kuzifanya za mama ake ...!!!!
Ni kama mtu alijua mbele kuna kitu kinakuja akamua kujiandaa.
Tukiwa kwenye kupiga bia John aliniambia(ga) kuwa nyumba anayoishi pekee ndio ina jina lake ila mali zengine zotee ni jina la mama ake.
Na Kuna mali kama shamba alinunua bila hati ila mwaka huu ndio kahaingaika na kapata hati kwa jina la mama ake.
Japo yeye anasema ana Shamba, gari na nyumba ndivyo alivyovipata kwenye ndoa ila mimi naamini ana mali nyingi tu zipo sehemu kaficha kama mashamba, maana kuna kipindi alisema ana lima miti Iringa ila aliongea kimasihala tuuu..!!!
ANYWAY ....
Nasubiri siku ya mahakama nikajifunze na hasa hii point ya mali, kwa ujanja huu alioufanya John ""Je atashinda?""
Na hizo ndio ndoa zenu.
PUNGUZENI ubishi.
Kuoa HAKUNA MAANA ""in this millennial world"" iliyojaa wasaliti.
Unatafuta kwa jashoo anatokea mtoto wa mtu ""anakupeleka mahakamani ili mgawane kisa eti umemuoa""
Okey; ""If you think money does not buy happiness, nenda kuwaulize ajira mpya walijisikiaje walivyopata mshahara mwezi huu""
NA HIZI NDIO NDOA ZENU.
#YNWA
Umejuaje mrembo?Ndoa ngumu
Naona malalamiko ya watu kiukweli inaogopeshaU
Umejuaje mrembo?
Hilo hata mimi nimeliona, wanawake wengi wanalalamikia ndoa zao tofauti na wanaume ambao wamekua very positive. Inaonekana wanawake wanapenda ndoa lkn maisha ya ndoa kwao ni kero tupu ndo maana hawaishi kulalamikaBinafsi nikikaa na wanaume wanaongelea ndoa positive sana ni kama wako kwa ajili ya familia no matter what
Ila ukiwasikiliza wanawake wakiongelea ndoa zao aisee unajua kabisa wanaume kazi IPO they are so negative towards their marriage
NDOA NI UHUNI TU, Kidooogo ubahatishe mwanamke bikra hapo mnaweza mkadumu kidogo, lakin ukute mwanamke keshachakachuliwa hapo hesabu maumivu tu,INTRODUCTION...
Za muda Wana JF .......
Unaukumbuka mkasa huu wa John, Michael na Mkewe....
Nikiwaambia msioe muwe mnasikia; kwa miezi 4 mwamba kaishi maisha magumu bila mshahara kumbe mkewe ana laki 8 ndani, na usaliti juu kaambulia
Eeeh bwana ehh ni Mimi Mr. Liverpool Tena. Weekend hii tumempiga Manure na nyundo Kali sanaa mpaka kapoteana.!! Sasa jiulize ile ilikua Old Traford, je wakija Anfield..!!! Turudi kwenye mada .... HIVI KWANINI HAMSIKII NIKIWAAMBIA MSIOE ??😳😳😳 Sasa Kuna mwenzenu yamemkuta huku ...www.jamiiforums.com
MAIN BODY....
Basi bana kwa story za mwenyewe John, ndoa yao ilianza kuingia doa March/2021 ila mimi nilikuja kujua (alikuja kunihadithia) October/2021.
Katika hii ndoa yao, wazazi, washenga na viongozi wa dini walifanya sanaa Kazi ya kumbembeleza John asamehe ili ndoa isivunjwe.
Sasa bana, baada ya jitihada za kuinusuru hii ndoa basi John alirudi kwake March/2022 na maisha yakaendelea.
SCENARIO
John baada ya kurudi alirudi tu kimwili ila sio kiroho wala ki akili.
Kwanza kabisa humo ndani waligawana vyumba na kila mtu alikuwa na maisha yake japo wanaishi nyumba moja.
Si unakumbuka John alihama nyumbani na kuanza maisha kabla ya kurudi kwenye ndoa yake.
Basi kule kwenye maisha yake alinunua (ga) kitanda, sabufa, TV na vyombo.
Alivyorudi home alikuwa na chumba chake akaweka Kitanda chake, TV yake na Sabufa yake (vyombo aliuza).
Hivyo ndani ya nyumba John amekuwa kama mpangaji.
Akitoka kazini, anafikia chumbani kwake nakucheki TV, sebuleni hatimbi...!!!!
Mke unaambiwa alivyoona hivi na mume abadiliki alimua kuanza mchakato wa talaka mahakamani kimya kimyaaa.
Sasa bana hapa ndipo kwenye mada....
Kuna jambo John kafanya sijaelewa, wanasheria na wataalamu wengine mtanisaidia uelewa..!!!
John kabla ya kuoa alikuwa na viwanja chenye pangala ila baada ya kuoa alinunua (ga) kiwanja kengine akajenga nyumba nyengine na shamba (ndio wanapoishi na mkewe).
Sasa bana John alivyosikia mkewe anaongelea talaka alichofanya, kwa mali zotee ambazo zimepatikana kwenye ndoa kaandika jina la mama ake..!!!
Shamba lake lina hati ya mama yake
Gari lake Lina card jina la mama ake.
Hizi ndio nazozijua ila nahisi pia kuna mali nyingi tu aidha kazificha mkewe hajui au kazimilikisha kwa mama ake.
Kilichonishangaza sijajua kabadilishaje majina kutoka yake kwenda kwa mama ake au sijui alifanya kama kumuuzia mama ake (wataalamu wa Sheria mtanisaidia kwa hili...!!)
Na yote haya kafanya mwaka huu baada ya kusikia habari za kuwa mkewe ana mpango wa kwenda Mahakamani.
BIG PROBLEM...
Juzi aliitwa ofisi ya mtendaji wa kijiji.
Alipofika alikutana na summons ya kuitwa mahakamani kwa kesi ya hiyo ya talaka na mkewe....
Then IT'S OVER..!!!
Mwamba alisaini "dispach" akasepa na barua yake home na alivyofika home hajaongea na mkewe chochote..!!!
BIG MIND...
Mi binafsi nahitaji John ashinde hii kesi...!!!
Na nilichompenda alivyorudi nyumbani baada ya ndoa kusuluhishwa aliamua kumiliki document zotee za mali na kuzifanya za mama ake ...!!!!
Ni kama mtu alijua mbele kuna kitu kinakuja akamua kujiandaa.
Tukiwa kwenye kupiga bia John aliniambia(ga) kuwa nyumba anayoishi pekee ndio ina jina lake ila mali zengine zotee ni jina la mama ake.
Na Kuna mali kama shamba alinunua bila hati ila mwaka huu ndio kahaingaika na kapata hati kwa jina la mama ake.
Japo yeye anasema ana Shamba, gari na nyumba ndivyo alivyovipata kwenye ndoa ila mimi naamini ana mali nyingi tu zipo sehemu kaficha kama mashamba, maana kuna kipindi alisema ana lima miti Iringa ila aliongea kimasihala tuuu..!!!
ANYWAY ....
Nasubiri siku ya mahakama nikajifunze na hasa hii point ya mali, kwa ujanja huu alioufanya John ""Je atashinda?""
Na hizo ndio ndoa zenu.
PUNGUZENI ubishi.
Kuoa HAKUNA MAANA ""in this millennial world"" iliyojaa wasaliti.
Unatafuta kwa jashoo anatokea mtoto wa mtu ""anakupeleka mahakamani ili mgawane kisa eti umemuoa""
Okey; ""If you think money does not buy happiness, nenda kuwaulize ajira mpya walijisikiaje walivyopata mshahara mwezi huu""
NA HIZI NDIO NDOA ZENU.
#YNWA