smarte_r
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 4,538
- 11,868
hujajibu maswali yangu. acha mihemuko.hamnaga utajiri wa haki mzee ndo maana wakizeeka wanaishia kutoa sana misaada kujisafisha
hujajibu maswali yangu. acha mihemuko.hamnaga utajiri wa haki mzee ndo maana wakizeeka wanaishia kutoa sana misaada kujisafisha
Mkuu ni kusahihishe kidogo kweli bakhresa ni matajiri Mara dufu kuliko moo,,Habari, Jana msanii tajika sana nchini Tanzania, Afrika Mashariki na kati na pengine kuliko wote kusini mwa jangwa la Sahara Naseeb Abdul, maarufu kama Diamond Platnumz, alisaini dili kubwa na moja kati ya recording label kubwa ya muziki dunia, Warner Music Group, kuhusu usambazaji wa kazi za muziki wake na Wasanii walio katika label yake ya WCB WASAFI.
Muda mfupi baada ya Diamond kusaini mkataba huo alitumia page za mitandao ya kijamii ya Instagram na Twitter kutoa shutuma kwa kampuni kubwa ya Kimarekani inayojihusisha na tafiti za kubaini watu wenye ukwasi (UTAJIRI), FORBES, kuwa hawakufanya tathimini vizuri juu ya ukwasi aliona kupitia ile list waliyoitoa last week inayonesha Wasanii matajiri zaidi barani Afrika ambapo kwenye list hiyo Naseeb hayumo hata kwenye top 20!
Sio mara ya kwanza hawa FORBES kulalamikiwa na baadhi ya watu juu ya takwimu zao kwa mfano ni mwaka jana tu rapper Mkubwa toka "STATE", Kanye West, alilalamika na kuwapa makavu hao FORBES kwa kumkadilia kiduchu juu ya utajiri wake kitu achapo kilizua gumzo sana Dunia nzima na ikapelekea kwa hao FORBES kuingia chimbo kumkadilia tena Kanye na hatimaye wakamtangaza kuwa yuko katika orodha ya Ma-rapper billionares sambamba na Jay Z, P.Diddy na Dr Dree.
Kwa huku kwetu Tanzania, kila mwaka FORBES wamekuwa wakitoa orodha ya watu matajiri zaidi nchini na kwa mara zote wamekuwa wakimtaja Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya Mohammed Enterprises (METL), Mohammed Dewji - Mo, kuwa ndiye billionaire kinara hapa kwetu na pengine ndiye billionare kijana kuliko wote Afrika. Hii imekuwa ikipingwa na baadhi ya watu hasa katika "vijiwe vya kahawa" kwani wengine wanaamini kuwa mmiliki wa Makampuni ya Said Salim Bakhresa (SSB Group of Companies) - Saidi Bakheresa kuwa ndiye mwenye pesa nyingi kuliko wote hapa Tanzania kwani ana mali zisizo amishika zinazo onekana na kujilikana na kila mtu tofauti na huyo MO.
Kwa scenerio hizo, nami kama naanza kuamini hayo maneno ya Vijiweni kuwa Bakhresa ndiyo tajiri namba moja hapa kwetu Tz kwani kila mtu anaziona mali zake kama Wiwanda vyake kila kona hapa nchini na kwa DSM Mfano ni pale Buguruni, Mwandege, Uwekezaji Mkubwa pale Chamazi - Azam complex, kuleze Zanzibar ana uwekezaji mkubwa sana sitaweza kutaja wote ila chukulia mfano wa Hotel Verde na ule Mji wa kitalii wa Fumba. Ana mradi mkubwa wa uzalishaji wa miwa pale Bagamoyo ambapo itapelekea kuanzishwa kwa kiwanda kikubwa cha sukari nchini. Pia bidhaa za Azam zimekuwa nambari moja katika nchi nyingi za Afrika na ni nadra sana kwa Mtanzania wa kawaida kupita siku bila kutumia bidhaa hata moja ya Azam hasa za Vyakula na Vinywaji!.
Mwisho napenda kuhitimisha kuwa pengine Diamond yuko sahihi kuwa Forbes memkadilia vibaya na pia Forbs wamemkadilia vibaya Bakhera (kwa Bakhersa nina asilimia kubwa hii ni kutokana na hulka yake ya kutopenda kuweka mambo yake hadharani na huwa hapendi kujionesha wala kuonekana onekana tofauti na MO au matajiri wengine tunao wajua).
Nawasilisha na asanteni.
Oohhzinawasaidia chawa nao wajihisi wana hela
una akili kweli wewe...unajua ellon musk ana kampuni ngapi ndani yake au unajua google ni part ya Alphabet company...hivi leo kijiwe kizima ndo mmeazimana simu kuja kucomment humu nnMkuu ni kusahihishe kidogo kweli bakhresa ni matajiri Mara dufu kuliko moo,,
Inawezekana ikawa ni moja Kati ya ya kampuni zenye ukwasi wa kutisha barani africa lakini tofauti ni kwamba bakhresa ni group of company .
Na Forbes wanakadiria utajiri wa MTU mmoja mmoja..
Dhana ya Diamond ni kuwa Forbes walipaswa kumfuata na kuwapatia full details toka kwake labda angewatajia hizo assets, Cash na liabilites na hapo sio lazima Diamond awe juu ya Davido
Sasa mbona Bakharesa halii kutotajwa kama Mondi? Hivi tajiri/mwenye fedha huwa anajisifu?Bakheresa ndio tajiri wa ukweli wala sina mashaka na hilo na naamini ni tajiri mkubwa nchi hii ndio maana hata JPM aliwavuruga wote mpaka huyo Mo na Manji lakini alijaribu kidogo kwa Bakheresa nadhani aliambiwa mzee huyu msimguse mambo yatayumba JPM mwenyewe akaenda akawapokonya wale jamaa Bagamoyo akampa Bahkresa ardhi kubwa kwa ajili ya sukari na JPM unamjuwa alikuwa hana msalie mtume Manji aliona cha moto na Mo alipata shughuli.
Haka kajamaa, eti hana akir!Nimegundua Diamond ana akili fupi sana au anatafuta kick tu. Hauwezi kuja na kuanza kuisema Forbes wakati wewe mwenyewe unajijua hauna utajiri wa kujilinganisha na Davido au Wazkid. Utajiri wa mtu huwa unapimwa na thamani ya Asset, Cash au Shares ambazo anazo kwenye kampuni. Sasa Diamond Asset ngapi hapa mjini au Shares ngapi? Ni ujinga tu.
Mimi ntakuelewesha vizuri tu ambapo hujaelewa sitakutukana Wala nn mkuu,,una akili kweli wewe...unajua ellon musk ana kampuni ngapi ndani yake au unajua google ni part ya Alphabet company...hivi leo kijiwe kizima ndo mmeazimana simu kuja kucomment humu nn
Vichwa panzi uta wajua hao forbes ni nani hadi wasi semwe ni sawa na gazeti la nipashe tu .tofaut yao ni wako America na ni famouse ..sasa wasi semwe wana mchango gani kwa taifaNimegundua Diamond ana akili fupi sana au anatafuta kick tu. Hauwezi kuja na kuanza kuisema Forbes wakati wewe mwenyewe unajijua hauna utajiri wa kujilinganisha na Davido au Wazkid. Utajiri wa mtu huwa unapimwa na thamani ya Asset, Cash au Shares ambazo anazo kwenye kampuni. Sasa Diamond Asset ngapi hapa mjini au Shares ngapi? Ni ujinga tu.
Mimi ntakuelewesha vizuri tu ambapo hujaelewa sitakutukana Wala nn mkuu,,
Hata metl ya moo ina makampuni mengi tu umo ndani lakini owner ni moo dewji,,
Bakhresa group of companies Kuna kampuni nyingi Sana humo ndani zinazomilikiwa na wanafamilia wa familia moja ya bakhresa,,mzee bakhresa mwenyewe siku nyingi tu alishakaa pembeni makampuni yanasimamiwa na wanae mkuu sijui ka unajua hilo ..
Kuna kampuni nyingne zipo chini ya yusuphu zingine Aboubakar na wanafamilia wengne nazani utakua umenielewa mkuu.
nikutarifu tu mkuu mkurugenz mkuu wa Azam group of companies sio mzee bakhresa Tena mkuu,,..ni Aboubakar Saeed Salim bakhresa mtoto mkubwa wa mzee ebu nakuomba na we ugoogle Kama ulivyoniambia Mimi kuangalia x ,mzee Alishachana na Ivo vitu,,..na ndani ya hayo makampuni zipo kampuni nyingi tu msimamizi na mwenye share nyingi ni yusuph bakhresa ,nyngne zinasmamiwa na wanadungu wengne wa mzee bakhresa ,,so hizo Mali zimetapanywa kwa watu mbali mbali kwenye familia chini ya mwamvuli mmoja wa Azam group of company elewa mkuu,,unajua maana ya managing director na executive director.....Unajitukana mwenyewe kwa uwezo wako wa kufikili...mkurugenzi mkuu na mmiliki wa makampuni ya azam bado ni baba hao wengine ni wakurugenzi watendaji...hivi mnadhani google ni ya kusearch xvideo tu kaka na sio mambo ya maendeleo_???????
Taratibu mkuuunajua maana ya managing director na executive director.....Unajitukana mwenyewe kwa uwezo wako wa kufikili...mkurugenzi mkuu na mmiliki wa makampuni ya azam bado ni baba hao wengine ni wakurugenzi watendaji...hivi mnadhani google ni ya kusearch xvideo tu kaka na sio mambo ya maendeleo_???????
Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kulinganisha tapeli mo na Bakhresa. Magabacholi si mnawajua.Diamond hana elimu, hajui kitu
Hakuna anachoelewa huyo mkuu matusi tu ndo yamemjaa..Taratibu mkuu
Diamond anaweza kua ha jasoma Ila inawezekana ana washauri wazuri au kujichanganya kwake na watu waliondelea kwenye sector ya biashara kumemfungua mnoo mawili matatu anapata.Hata kama hawajasema ukweli kwani wamempora hela zake,kwani amevunjiwa heshma?
Hebu atulie tupambane na Tanesco na mafundi wao waliokosa uwezo wa kuchokonoa sehemu ndogo mtandao ukakaa sawa