cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 86,998
- 139,682
Sisi wa mjimpya secondary wazee wa CDDhii mada haituhusu....
Ngoja waje.
Sisi wa mjimpya secondary wazee wa CDDhii mada haituhusu....
Ngoja waje.
Labda wasichana. Ila kwa boys hapana.Acha uongo wee mbona wapo walioenda na hizo cut-off point special school
Hapana sio wote mkuuKwamba shule za vipaji wote watakua wana A flat?
Sio kweli lakini waliotoka kwenye hizo shule wanakua wamefikia hizo criteriaNdio.
Halafu mara nyingi wanaopewa priority kubwa ni hao hao waliotoka kwenye hizo hizo shule.
Hapo hakuna vipaji,vipaji siyo kupata maksi nyingiHabari,wadau wa Jf,
Nlikua nauliza je mtoto aliyepata 1 ya 9 ,na ana ufaulu wa
A-chemistry,B-physics na B- mathematics ,anaweza kuchaguliwa
Shule za vipaji maalumu(special schools) kidato Cha Tano?
Kipaji ni nini?Hapo hakuna vipaji,vipaji siyo kupata maksi nyingi