BabuMkubwa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 2,297
- 3,361
ABB ni kipaji cha kawaida sii kipaji maalum ( AAA na AAB ndiyo wahusika hapo)
Vipaji vya kitu gani viko huko?Habari,wadau wa Jf,
Nlikua nauliza je mtoto aliyepata 1 ya 9 ,na ana ufaulu wa
A-chemistry,B-physics na B- mathematics ,anaweza kuchaguliwa
Shule za vipaji maalumu(special schools) kidato Cha Tano?
hukunielewa: vipaji ni multidimensionalLazima tugroom brains za kutusaidia baadae.
Wale vijana wa vipaj maalum wa zamani ndiyo wanaotusaidia siku hizi katika vyuo vyetu vikuu kama lecturers.
Kuwa na shule za vipaji maalum ni muhimu hasa kwa Mataifa machanga haya yanayohitaji brains za kutupigisha hatua kwa kasi.
Sisi wa mjimpya secondary wazee wa CDDhii mada haituhusu....
Ngoja waje.
Kivipi kiongozi sijakuelew apohukunielewa: vipaji ni multidimensional
Ndio maana nikauliza nangoja nipewe jibu!Sasa hilo jina shule za vipaji wana maanisha kitu gani
Unaposema "vipaji maalumu" una maanisha nini?Lazima tugroom brains za kutusaidia baadae.
Wale vijana wa vipaj maalum wa zamani ndiyo wanaotusaidia siku hizi katika vyuo vyetu vikuu kama lecturers.
Kuwa na shule za vipaji maalum ni muhimu hasa kwa Mataifa machanga haya yanayohitaji brains za kutupigisha hatua kwa kasi.
Unaposema "shule ya vipaji maalumu" una maanisha nini?hukunielewa: vipaji ni multidimensional
Kuelewa physics ni kipaji. Sio kila mtu atafundishwa na kuelewa physics. Huyo ana kipaji maalum ktk somo la physics. Kuna shule zao.Unaposema "shule ya vipaji maalumu" una maanisha nini?
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Bongo zao zinachaji sana
Na wanaokariri na wanatusua tusemeje?,kukariri ni kipaji pia?Kuelewa physics ni kipaji. Sio kila mtu atafundishwa na kuelewa physics. Huyo ana kipaji maalum ktk somo la physics. Kuna shule zao.
Kufundishwa mpira au muziki na kuelewa ni kipaji,sio kila mtu atafundishwa hivyo vitu na kuvimasta.
Kuna/kulikuwana na shule zao.
Ujifunze physics halafu upewe mitihani tofauti 10 ya physics inayohitaji uelezee vitu mbalimbali na calculation za kutosha na upige 90% halafu mtu aseme UMEKARIRI. Ni wivu tu.
Ni lazima ubongo uwe na kipawa cha kuikontroo physics.
Vile vile KWA wenye vipaji vya mpira,mtafundishwa wore sawa ila Watu kadhaa ndio wataelewa zaidi.
Inaonyesha ukisikia neno vipaji maalumu unamind,punguza makasiriko bossUnaposema "shule ya vipaji maalumu" una maanisha nini?
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Maalumu katika nyanja ipi? Ukishasema kuwa hao ni wenye vipaji maalumu, basi wao ni bora kuliko wengine, jambo ambali si kweli. Ni afadhali wakisema kuwa wana vipaji maalumu katoika masomo ya Sayansi ijulikane hivyo kuliko kuacha wazi kuwa wao ndio wana vipaji tu bila kujua kuwa kuna wenye vipaji maalum katika Muziki, wenye Vipaji maalum katika Michezo n.k.Unaposema "shule ya vipaji maalumu" una maanisha nini?
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Unaposema "wanavipaji maalumu katika masomo ya sayansi" una maanisha nini?Maalumu katika nyanja ipi? Ukishasema kuwa hao ni wenye vipaji maalumu, basi wao ni bora kuliko wengine, jambo ambali si kweli. Ni afadhali wakisema kuwa wana vipaji maalumu katoika masomo ya Sayansi ijulikane hivyo kuliko kuacha wazi kuwa wao ndio wana vipaji tu bila kujua kuwa kuna wenye vipaji maalum katika Muziki, wenye Vipaji maalum katika Michezo n.k.
Mtu akiuliza amekasirika? Au mtu akiuliza anakua anataka kujua?Inaonyesha ukisikia neno vipaji maalumu unamind,punguza makasiriko boss
namaanisha hivyoUnaposema "wanavipaji maalumu katika masomo ya sayansi" una maanisha nini?
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Bongo kujaa chaji hicho sio kipaji. Unless hujui maana ya kipaji.Bongo zao zinachaji sana
Hata sahivi cutoff point ni hiyo hiyo. Haijalishi una 1 ya 7 au laah.Pcm,pcb cutoff ni point 4 kipindi chetu... Yaani A,A,B sasa sijui kwa sa ivi maana naona Kila mtoto anapiga 1.7 siku izi
Acha uongo wee mbona wapo walioenda na hizo cut-off point special schoolHata ingekuwa miaka 15 iliyopita asingechaguliwa.
Km ana 1 ya 9, na ana Point 4 ktk comb anachaguliwa.Ila kiukweli wangetoa favor maan kama mm huyo ni mdogo angu wa shule ya kata ,halafu kapata tu io mwenyewe. Shida wanawapa wa private school pekee