Shule za Kiislam zinatia aibu kitaaluma, BAKWATA mnastahili kulaumiwa

Acheni karate misikitini na vyuoni, mnapoteza muda wa kudoma badala yake mnatumia muda mwingi kuwaingizia watoto chuki dhidi ya dini zingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Waislamu akili wanazo nyingi tu tatizo asilimia tisini ya ubongo huwa umejaa kwa kuhifadhi kurani asilimia kumi ndio hubaki kwa mambo mengine ikiwemo masomo.

Kichwa kinakuwa kimelrmewa ndio maana hufeli masomo.sababu sehemu kubwa ya hard disk ya kichwa iinakuwa mejaa tayari kurani hakuna nafasi ya ku save mambo.mengine ikiwemo masomo
 
.

Hakuna zaidi katika elimu kulikiwasaidia bado mmebakinkuwa tabakanla waajiriwa wa serikalini, tena sasa hivi ndiyo worst.

Hivi nioneshe elimu mliopendelewa imewasaidia nini? Kujuwankusoma magazeti na kuwa makarani maofisini? Kipi cha maana mkifanyacho.

Ni heri ya wale mnaowaona kuwa hawajasoma lakini "on the par" wana elimu kubwa zaidi ya ujinga mnaojazwa nao mashuleni.
Sijakuelewa hata kidogo kwa kuwa mwandiko wako mbaya. Pia, unapindisha mada iliyo mezani baada ya kukosa majibu mujarabu ktk kile kinachojadiliwa.

Mtu anaonbwa rushwa ya ngono ndiyo afaulu, kuna elimu hapo au kuna makarayadi yasiyo na faida?
Hii ni tabia ya mtu na si mfumo.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani unachosema Kama ni kweli maana wapo wamesoma na kuongoza Darasani zaidi ya hao ambao hawajahifadhi chochote kutoka kwenye Quraan,Sasa hapo tuseme hao wengine tatizo nn
Waislamu akili wanazo nyingi tu tatizo asilimia tisini ya ubongo huwa umejaa kea kuhifadhi kurani asilimia kumi ndio hubaki kwa mambo mengine ikiwemo masomo.

Kichwa kinakuwa kimelrmewa ndio maana hufeli masomo.sababu sehemu kubwa ya hard disk ya kichwa iinakuwa mejaa tayari kurani hakuna nafasi ya ku save mambo.mengine ikiwemo masomo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Faiza Foxy ni Closed mind ata sio mtu wa reason na kuwa na Hoja yeye so long as Uislamu umetajwa basi atangangana hapo tu bila kuangalia jambo kwa kina Ni mchangiaji wa kishabiki sana, uzee pia unachangia Ivo Faiza ni wa kupuuza kabisa ata sio wa kutoleana nae jasho na watu kama hawa ndio wanazidi kudidimiza Elimu upande wa shule za kislamu mana huyu hata mwanae akitokea Islamic school na Zero ata mfariji tu na kumuambia kina fulani hawapendi ufaulu. Ni ukweli ulio wazi Islamic schools zina Ujinga mwingi sana japo si zote ila tu wako na ujinga mwingi kwanza vipaumbele vyao sio elimu dunia wao wanataka elimu akhera zaidi na mambo ya kuchanganya waarabu ambao nature yao si watu wa Shule hutegemea kurithi vitu.. Kama unataka mwanao a perfom vizuri mpelekee shule za kueleweka sio hizi za ma ustadhi misimamo mikali hamna plans wanakuja kulia lia tu mfumo unawakataa
Ndiyo usomi wako ulipoishia tathmini yake hapo kwa FaizaFoxy? Kumvaa FaizaFoxy badala ya hoja anazoleta?

Halafu mtu kama wewe kweli wa kukaa kushindana hoja na FaizaFoxy?

Unataka kuanza kubishana kuhusu mimi au elimu iliyopo?

Mnasikitisha sana, hata kujenga hoja hamuwezi halafu eti mnafaulu.

Sasa kama wewe unataka kushindana na FaizaFoxy kielimu, tuuendeshe huu mjadala Kiingereza, tuone ni wewe na Ukristo wako uliofaulu au FaizaFoxy na Uislam wake ambae zaidi.

Let's start and judge whose better? Eenh imbecile.
 
Ndiyo usomi wako ulipoishia tathmini yake hapo kwa FaizaFoxy? Kumvaa FaizaFoxy badala ya hoja anazoleta?

Halafu mtu kama wewe kweli wa kukaa kushindana hoja na FaizaFoxy?

Unataka kuanza kubishana kuhusu mimi au elimu iliyopo?

Mnasikitisha sana, hata kujenga hoja hamuwezi halafu eti mnafaulu.

Sasa kama wewe unataka kushindana na FaizaFoxy kielimu, tuuendeshe huu mjadala Kiingereza, tuone ni wewe na Ukristo wako uliofaulu au FaizaFoxy na Uislam wake ambae zaidi.

Let's start and judge whos better? Eenh imbecile.
Sasa bibie kujua lugha ya kizungu ndio kuelimika?
Whos ni lugha gani?
 
Sasa bibie kujua lugha ya kizungu ndio kuelimika?
Whos ni lugha gani?

Kwanza hata unachokisoma hukielewi, wapi nimeandika "kizungu"? Kanisome tena.


Sasa wewe unafikiri elimu ya kuanzia sekondari Tanzania hii inafundishwa kwa lugha gani?

Kama huelewi Kiingereza ni elimu ipi utayoielewa sekondari?
 
Sidhani kama unaweza kunielewa. Ni tatizo la elimu tu uliyonayo, haijafikia kiwango cha kunielewa.

Siwezi kukuelewa sababu hujafikia viwango vya kueleweka.
Nitakuelewaje mtu usiyejuwa kuandika vizuri. Hiyo ndo elimu ya madrasa? Kajifunze kwanza mwandiko kisha urudi hapa jukwaani ili nije nikuelewe vizuri. Alright?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wao watakujibu eti ni kwa sababu ya dubwasha linaloitwa ''Mfumo Kristu'' ndiyo maana hawa-perform! Msingi wa elimu ya kiislamu ni kukariri, ukimletea maswali yanayohitaji kufikiri (ufahamu) ni lazima azunguke mbuyu.
Wao watakujibu eti ni kwa sababu ya dubwasha linaloitwa ''Mfumo Kristu'' ndiyo maana hawa-perform! Msingi wa elimu ya kiislamu ni kukariri, ukimletea maswali yanayohitaji kufikiri (ufahamu) ni lazima azunguke mbuyu.
Hivi wewe kipi ulichofikiri mpaka sasa kikakusaidia wewe au taifa lako?

Unafahamu maana kukariri au unajiandikia tu kufata mkumbo?

Umekariri alphabet? Au umefikiri tu?

Unafahamu neno "alphabet" ni nini?

Kuwaelimisha watu kama wewe, labda dunia ipinduke juu chini.
 
Siwezi kukuelewa sababu hujafikia viwango vya kueleweka.
Nitakuelewaje mtu usiyejuwa kuandika vizuri. Hiyo ndo elimu ya madrasa? Kajifunze kwanza mwandiko kisha urudi hapa jukwaani ili nije nikuelewe vizuri. Alright?


Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshakueleza, kuwa huna kiwango cha kunielewa, bado u kichinchiri. Kuchamba huelewi utaelewa nnachokiandika? Fikiri.
 
Changamoto hazina mmoja. Hapa kuna ujinga tu ninaouona.

Wewe unaedhani kuwa elimu mmeipatia, nini mlichokifanya zaidi?

Wakristo toka ukoloni ndiyo ulipelekwa shule kwa kuwa tawala za kikoloni zilijenga mashule kupitia makanisa. Nani asiolielewa hilo? Mpaka leo kuna tofauti ipi? Hauyajuwi ya MoU?

Usifikiri kuwa mkoloni aliwajengea uwezo kielimu, mkoloni alitengeneza hayo asikose wakusanya kodi kwa maslahi yake. Hakuna elimu ya ziada mliopewa isipokuwa alilenga kujiwekea misukule na kwa bahati mbaya kabisa hadi leo hii ndiyo muendelezo huohuo na hakuna aliyestuka.

Hakuna zaidi katika elimu kulikowasaidia, bado mmebaki kuwa tabaka la waajiriwa wa serikalini, tena sasa hivi ndiyo worst.

Hivi nioneshe elimu mliopendelewa imewasaidia nini? Kujuwa kusoma magazeti na kuwa makarani maofisini? Kipi cha maana mkifanyacho?

Ni heri ya wale mnaowaona kuwa hawajasoma lakini "on the par" wana elimu kubwa zaidi ya ujinga mnaojazwa nao mashuleni.

Mtu anaonbwa rushwa ya ngono ndiyo afaulu, kuna elimu hapo au kuna makaratasi yasiyo na faida?

Tuondoleeni upuuzi.

Elimu ya madrasa inapigwa vita kila upande kwa kuwa wapo wanaopanga mikakati hiyo wanaelewa faida yake kwa watoto. Hajazwi mtu ujinga madrasa.
Sasa kama haiwasaidii unacholilia ni nini wakifaulu? Kalee wajukuu mada za nna hii zimeishakupita. Wewe ni sample ya waislam wenye fikra mbovu ninaowafahamu hapa jf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom