BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,712
- 6,507
- Thread starter
- #41
Kenya Mtaala wao mpya wa elimu umefuta mitihani ya Taifa hata ile NECTA yao inaenda kufutwa. Hii mitala ya Div 1 ni mitala ya mwanzo kabisa ambayo sisi still tunaibadu sana.
Inahitajika mifumo mipya ambayo mtoto anapo soma atoke na vitu vingine vya ziada pale, sio tena aje kuomba pesa ya kwenda kozi hapana.
Tunahitaji kama ni shule za Kilimo ziwe na kila kitu kiasi kwamba mtoto akimaliza pale anyokee shambani.
Hizi za kufundisha watoto wafaulu NECT isha pitwa na wakati kwa sasa. Hili la kuwa na shule zenye miundo mbinu halitawezekana kwa urahisi kwa utitili wa shule za kata
Inahitajika mifumo mipya ambayo mtoto anapo soma atoke na vitu vingine vya ziada pale, sio tena aje kuomba pesa ya kwenda kozi hapana.
Tunahitaji kama ni shule za Kilimo ziwe na kila kitu kiasi kwamba mtoto akimaliza pale anyokee shambani.
Hizi za kufundisha watoto wafaulu NECT isha pitwa na wakati kwa sasa. Hili la kuwa na shule zenye miundo mbinu halitawezekana kwa urahisi kwa utitili wa shule za kata