BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,704
- 6,499
Katika moja ya makosa yaliofanyika ni uanzishwaji wa Shule za Kata, hizi Shule zimekuja kabisa kuua elimu nchini na mchango wa hizi shule kwenye kuzalisha wajinga ni mkubwa sana.
Kabla ya Shule za Kata tulikuwa na shule kubwa za Serikali, Shule kama Mkwawa, Tabora Boys and Girls, Karatu , Iliboru na kadhalika na kadhalika.
Hizi shule zilikuwa ni kubwa sana na hata majengo yake yalikuwa ni majengo yenye hadhi ya kuitwa shule kweli na kweli zilikuwa zinazalisha watalamu sana. Shule zilikuwa na Madarasa mengi sana, Labalatories Viwanja vya michezo na hata Magari ya Shule.
Shule kama Karatu Sec ilikuwa mchepuo wa Kilimo, Ile Shule ilijengwa kwa standard ya Chuo kabisa, ina kila kitu cha kuitwa Chuo, Nyumba za Walimu ni za Standard sana, pia na shule nyingine kwingineko huko.
Miaka ya 2000 na kuendelea huko ndio ikaja wazo la shule za kata na Walimu wa Clashing Program zikazalishwa shule balaa kila kata na shule yake. Na kwa sababu ya Siasa wanachozingatia pale na Mdarasa basi hata kama hayana sakafu chini ilimuladi ni Madarasa na walimu waingie wafundishe. Unakuta shule ya kata inawanafunzi 600 na kata ya jirani 500 na nyingine 700 na unaweza kuta Wilaya nzima ina wanafunzi 11, 000 kutoka kwenye shule zaidi ya 15 za kata.
Kwa utitili wa shule za kata kuja kuboreshwa kuendana na mazingira ya sasa ni kazi ngumu saba inahitajika fund ya kubwa sana, kwamba shule ziwekewe mifumo, ziwe na viwanja vya mazoezi, ziwe na Maabara za kisasa kabisa za kujifunzia, ziwe na miundombinu ya kila namna sio leo wala kesho.
Shule za zamani za Serikali mfano chukulia Ilboru au hata hiyo Karatu au Ihungo Sec. Shule kama Karatu Sec ingeboreshwa ingeweza ku accomodate wanafunzi 3000+.
Sasa wilaya kama Karatu zikawa na Shule ya ina ile 4 zinatosha kabisa ku accomodate wanafunzi, hizi shule zinakuwa na kila kitu kinachohitajika cha wanafunzi kujifunzia. Shule zikaaa na Computer Lab, Walimu wa Michezo wa aina zote za miche, Vifaa vya mazoezi kwa vitendo na kadhalika.
Au angalieni Majengo ya shule kama Ihungo, yale ndio mazingira ya shule inavyopaswa kuwa, Shule ikiongezewa nguvu inaweza accomodate wanafunzi 4000 ile.
Serikali badala ya kuendelea kuongeza shule za kata ni bora zikaunganishwa, kata 5 shule 1 au 2 na zikawa ni shule kweli za wakati tuliopo, hii ya kuwa na utitili wa shule sio kukuza elimu ni kuzalisha taifa la wajinga na mbumbumbu.
Dunia ya sasa na tunakoelekea tunahitaji shule ziwe na miundombinu na sio vyumba vya madarasa na Vyoo.
Kwa baadae Serikali ianze kuangalia namna ya kuziunganisha hizu shule za kata na kuja na shule moja au mbili standard kabisa. Shule zingine hizo zifungwe na majengo yabadilishwe kuwa Clinic za wakina mama.
Waasisi wa hili wazo la shule za kata waliangalia benefit za kisiasa zaidi kuliko za Maendeleo ya nchi. Ilipaswa nguvu ziwekwe kwenye ujenzi wa shule standard kwa wilaya na zenye kila kitu, hizi pesa zilizotawanywa kwenye shule za kata zingetosha kujenga shule za viwango kwa kila wilaya.
Tunakoelekea kwa sababu ya siasa zitakuja shule za Sekondari kila kijiji.
Tuishauri Serikali kama kweli inataka kukuboresha elimu lazima iangalie miundombinu na kwa shule za kata zilivyo nyingi Serikali haitaweza.
Mfano mzuri ni shule za Msingi za Serikali sawa zinasaidia sana ila wakati sio rafiki.
Picha : Shule ya Sekondari Ihungo baada ya ukarabati: Picha mtandaoni
Kabla ya Shule za Kata tulikuwa na shule kubwa za Serikali, Shule kama Mkwawa, Tabora Boys and Girls, Karatu , Iliboru na kadhalika na kadhalika.
Hizi shule zilikuwa ni kubwa sana na hata majengo yake yalikuwa ni majengo yenye hadhi ya kuitwa shule kweli na kweli zilikuwa zinazalisha watalamu sana. Shule zilikuwa na Madarasa mengi sana, Labalatories Viwanja vya michezo na hata Magari ya Shule.
Shule kama Karatu Sec ilikuwa mchepuo wa Kilimo, Ile Shule ilijengwa kwa standard ya Chuo kabisa, ina kila kitu cha kuitwa Chuo, Nyumba za Walimu ni za Standard sana, pia na shule nyingine kwingineko huko.
Miaka ya 2000 na kuendelea huko ndio ikaja wazo la shule za kata na Walimu wa Clashing Program zikazalishwa shule balaa kila kata na shule yake. Na kwa sababu ya Siasa wanachozingatia pale na Mdarasa basi hata kama hayana sakafu chini ilimuladi ni Madarasa na walimu waingie wafundishe. Unakuta shule ya kata inawanafunzi 600 na kata ya jirani 500 na nyingine 700 na unaweza kuta Wilaya nzima ina wanafunzi 11, 000 kutoka kwenye shule zaidi ya 15 za kata.
Kwa utitili wa shule za kata kuja kuboreshwa kuendana na mazingira ya sasa ni kazi ngumu saba inahitajika fund ya kubwa sana, kwamba shule ziwekewe mifumo, ziwe na viwanja vya mazoezi, ziwe na Maabara za kisasa kabisa za kujifunzia, ziwe na miundombinu ya kila namna sio leo wala kesho.
Shule za zamani za Serikali mfano chukulia Ilboru au hata hiyo Karatu au Ihungo Sec. Shule kama Karatu Sec ingeboreshwa ingeweza ku accomodate wanafunzi 3000+.
Sasa wilaya kama Karatu zikawa na Shule ya ina ile 4 zinatosha kabisa ku accomodate wanafunzi, hizi shule zinakuwa na kila kitu kinachohitajika cha wanafunzi kujifunzia. Shule zikaaa na Computer Lab, Walimu wa Michezo wa aina zote za miche, Vifaa vya mazoezi kwa vitendo na kadhalika.
Au angalieni Majengo ya shule kama Ihungo, yale ndio mazingira ya shule inavyopaswa kuwa, Shule ikiongezewa nguvu inaweza accomodate wanafunzi 4000 ile.
Serikali badala ya kuendelea kuongeza shule za kata ni bora zikaunganishwa, kata 5 shule 1 au 2 na zikawa ni shule kweli za wakati tuliopo, hii ya kuwa na utitili wa shule sio kukuza elimu ni kuzalisha taifa la wajinga na mbumbumbu.
Dunia ya sasa na tunakoelekea tunahitaji shule ziwe na miundombinu na sio vyumba vya madarasa na Vyoo.
Kwa baadae Serikali ianze kuangalia namna ya kuziunganisha hizu shule za kata na kuja na shule moja au mbili standard kabisa. Shule zingine hizo zifungwe na majengo yabadilishwe kuwa Clinic za wakina mama.
Waasisi wa hili wazo la shule za kata waliangalia benefit za kisiasa zaidi kuliko za Maendeleo ya nchi. Ilipaswa nguvu ziwekwe kwenye ujenzi wa shule standard kwa wilaya na zenye kila kitu, hizi pesa zilizotawanywa kwenye shule za kata zingetosha kujenga shule za viwango kwa kila wilaya.
Tunakoelekea kwa sababu ya siasa zitakuja shule za Sekondari kila kijiji.
Tuishauri Serikali kama kweli inataka kukuboresha elimu lazima iangalie miundombinu na kwa shule za kata zilivyo nyingi Serikali haitaweza.
Mfano mzuri ni shule za Msingi za Serikali sawa zinasaidia sana ila wakati sio rafiki.
Picha : Shule ya Sekondari Ihungo baada ya ukarabati: Picha mtandaoni