BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,704
- 6,499
- Thread starter
- #21
Siasa ilitumika sana na ninacho shangaaa si wazazi wala Serikali inashituka, Hivi Wanao maliza shule za Secondary wasipo faulu kwenda kidato cha 5 je kuna ujuzi wanakuwa nao? Au lazima waende tena VETA?Kikubwa ni kwamba siasa ilitumika kwenye shule hizo na Ndio kinachoendelea