Ni ubinafsi na kukosa vipaumbele tu kwa serikali yetu. Balozi Maajar ameingilia kati suala la watoto kukaa chini kwa kuanzisha mfuko wa madawati. Zinahitajika Shs. bilioni 3 tu kuhakikisha kila mtoto anakaa kwenye dawati. Hivi kweli hivi si vijisenti tu kwa serikali yetu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.