some behaviour do not suit grown ups. sijui upo group gani
growing old is mandatory remain immature is an option!
upo hapo
arguing is a sort of immaturity,
naona jiwe limempata muhusika. teh teh teh
Waulize wapiga picha kina Pasco.
Mi kazi yangu sio hio.
acha hizo bana mbona sisi tumesoma huko bana wala hakuna mambo unayoyasema
hiyo ni negative mind set yako
truth speaks for itself kwani ni uongo Marian girls, mazinde juu, maua seminary, canosa girls and the rest
kwani ni uongo kuwa zinaperform vizuri can you justify your statement.
hivi madras waga mnafundishwa kuhate christians ?
muslims have hatred on christians sijui kwani sorry to say this Mungu anisamehe nitakapo mkwaza mtu, i,m not arguing with anyone .
Moshie tiwedi iwe....hahahaaaaa umekumbusha enzi zangu hapo chini msituni hapo tunawasubiri wakienda Oaklands lazima utupe neno bana, wakati huo nasoma Magamba Boys sio magamba ya CCM...ilikua boys ya ukweli now Sebastian Kolowa University College...tumekula sana mapeasi........
Kama ungekuwa neutral kama unavyotaka usomeke, ungeona ni nani aliyeanzisha chuki dhidi ya mwenzie kwenye uzi huu!!
Moshie tiwedi iwe....hahahaaaaa umekumbusha enzi zangu hapo chini msituni hapo tunawasubiri wakienda Oaklands lazima utupe neno bana, wakati huo nasoma Magamba Boys sio magamba ya CCM...ilikua boys ya ukweli now Sebastian Kolowa University College...tumekula sana mapeasi........
Kuna majengo flani hapo Dar Yanaitwa WIZARA YA ELIMU ukitaka takwimu za mitihani yote hata ya miaka kumi iliopita utapewa.
Lkn TAKWIMU ZA MAPADRI KULAWITI WATOTO ZIMEJAA KILA KONA.
BBC tu peke yake INA TAKWIMU NYINGI MNO.
Na UMOJA WA MATAIFA zimejaa makabati mengi tu.
We Google tu, utawaona WAFUASI WA YESU wanavyo najisi na kulawiti WATOTO WADOGO WA KIUME NDANI YA MAKANISA , utafkiri yesu aliwaambia hio pia ni IBADA.
nataka nijue na ada ya hapo waungwana
Mi wala sijagoogle, humu humu JF Nimepata habari hii.
Askofu abaka huko mwanza. - https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=683566
Askofu abaka huko mwanza.
Naona niki Google nitaharibu swaumu yangu.
Moshie tiwedi iwe....hahahaaaaa umekumbusha enzi zangu hapo chini msituni hapo tunawasubiri wakienda Oaklands lazima utupe neno bana, wakati huo nasoma Magamba Boys sio magamba ya CCM...ilikua boys ya ukweli now Sebastian Kolowa University College...tumekula sana mapeasi........
Yaani ni Bonge la shule dah
hahahhahahaaa nimekukamata, kumbe ulikua mwendaji wa OaklandsElli umbuje umenikumbushaOAKLAND. Mosieeee
hahahhahahaaa nimekukamata, kumbe ulikua mwendaji wa Oaklands
nataka nijue na ada ya hapo waungwana
Mie nime google nimepata hizi picha tuu
View attachment 168438
View attachment 168439
Sent from my iPad using JamiiForums