Acha wapige One tu.
Ada ni kujuana na Padri tu.
hivi feza boyz na girs ni za watu wa dini gani?
Turkey hiyo baba,islam,they rock
Ada ni kujuana na Padri tu.
Nimpeleke mwanangu hapo kwa wale wachungaji walio laaniwa na MUNGU Kwani na ugomvi na mwanangu?
Si bora nikamuua kabisa!
Duhh!
Yaani nyie watu hao watoto wenu sijui wamewakosa nini.
Unapeleka Kondoo tena mchanga kabisa kwenye zizi la simba?
Pazuri huko kwa washambaa.
Ada ni kujuana na Padri tu.
Huu sasa ni uchokozi omera.
Nimpeleke mwanangu hapo kwa wale wachungaji walio laaniwa na MUNGU Kwani na ugomvi na mwanangu?
Si bora nikamuua kabisa!
Duhh!
Yaani nyie watu hao watoto wenu sijui wamewakosa nini.
Unapeleka Kondoo tena mchanga kabisa kwenye zizi la simba?
Kushabikia kwako unaonekana wewe ni ktk yale makundi ya wachungaji wanaovizia watoto wa watu wawaharibu!
Hivi nyie watu hamuogopi MUNGU?
Mnadhani mtaishi milele sio?
Hayo mnayo wafanyia hao watoto wa watu ingekuwa ni watoto wenu je! Mngefurahi?
Na mtoto mdogo maskinj ya Mungu asiyeweza hata kujitetea we baba mzima HUNA HATA HURUMA?
Eeeh MwenyeziMungu MKUU.
Tunakuomba uwateketeze hawa wabakaji woote, uwanyakue Roho zao waende Jahannamu milele.
Eeh Mungu Mkarimu, yadondoshe hayo majumba wanayo waharibia hao watoto wadogo wasioweza hata kujitetea wafanyiwapo machafu na hao ULIO WALAAANI.
Amin.
Du! Itakuchukua miaka 200, kujikomboa kifikra. WIVU, UVIVU Fitina,na majungu ndio elimu ya mjingaKuna majengo flani hapo Dar Yanaitwa WIZARA YA ELIMU ukitaka takwimu za mitihani yote hata ya miaka kumi iliopita utapewa.
Lkn TAKWIMU ZA MAPADRI KULAWITI WATOTO ZIMEJAA KILA KONA.
BBC tu peke yake INA TAKWIMU NYINGI MNO.
Na UMOJA WA MATAIFA zimejaa makabati mengi tu.
We Google tu, utawaona WAFUASI WA YESU wanavyo najisi na kulawiti WATOTO WADOGO WA KIUME NDANI YA MAKANISA , utafkiri yesu aliwaambia hio pia ni IBADA.
acha hizo bana mbona sisi tumesoma huko bana wala hakuna mambo unayoyasema
hiyo ni negative mind set yako
truth speaks for itself kwani ni uongo Marian girls, mazinde juu, maua seminary, canosa girls and the rest
kwani ni uongo kuwa zinaperform vizuri can you justify your statement.
hivi madras waga mnafundishwa kuhate christians ?
muslims have hatred on christians sijui kwani sorry to say this Mungu anisamehe nitakapo mkwaza mtu, i,m not arguing with anyone .
hivi ndivyo inavyokuwaga