Shule ya Mt. Kibo Yathibitisha Wanawake Wanaweza!, Hawahitaji Upendeleo Wala Viti Maalum!

Hakuna demokrasia hiyo shule mwalimu mkuu mwanaume Na mwenyekiti wa tume iliyosimamia uchaguzi mwanaume Na wewe mayala uliyeleta hizi habari mwanaume.Mfumo dume tupu hadi kwenye ofisi yako mayala.Lakini pia ulichoandika ni aibu Kwa taaluma ya habari.Hujaweka takwimu angalau ungeonyesha hiyo shule ina wasichana wangapi Na wavulana wangapi ukaweka sasa matokeo MTU aone maana kama shule labda ina wasichana 100 Na wavulana 8 unategemea matokeo yaweje? Waandishi wengi wa habari ukiwemo Mayala ni janga la kitaifa kwenye Tasnia ya habari.Halafu utakuta mnasifiana ujinga utasikia hii habari imeletwa Na mwandishi mkongwe Na nguli Pascal Mayala!!!!!!! Aibu
Hongera kwa kulitambua hilo
 
Mimi simlaumu kaka Pasikali!kwa wataalamu wa lugha kuna kitu kinaitwa kejeli hasa kwenye sanaa ya lugha!Ukisoma maandiko mengi ya kaka pasiko(kumradhi pasikali) utabaini huandika kwa unyume fulani hivi.Atasifu pasipo hitaji kusifu!hiyo ni kejeli na lengo linakuwa kujiweka ktk nafasi salama ili asijenaswa kwa uchochezi!Lakini wakati huo anakuwa ameiacha kaumu ktk tafakuri na mjadala wa mkali ambao mwishowe hufanikiwa kung'amua kilichofichwa nyuma ya andiko.Shaaban Robert ni mfano mzuri wa watunzi wa fasihi andishi ambao waliandika mambo kwa kuficha sana ili kuepuka makucha ya hayati J.k.Nyerere.Si twakumbuka kilichompata Kezilahabi?

Lengo kuu ikikuwa kutoa kejeli na funzo kwa taifa na serikali!Kuwa tumeshindwa kuenenda ktk misingi ya demokrasia hadi watoto wadogi wanatushinda!Tunachowaunza watoto ktk somo la uraia sicho tukitendacho!Chama dola na serikali kupitia tume yake ya uchaguzi vimenangwa ktk bandiko hili.

Lakini pia ktk upande wa pili,bwana Pasikali ni mjanja sana.Najiuliza alipata wapi taarifa za hayo yote?kuanzia kampeni mpaka uchaguzi?maana maelezo yako detailed mno!kwamba ni mnufaika ktk hiyo shule?anaitangaza kijanja!kuwa ewe mzazi hapa ndipo mahala sahihi pa kumkuza mwanao-awe kiongozi thabiti wa baadaye!Huo ni mchezo wa sanaa kwetu waalimu wa masomobya sanaa(hasa kiswahili) tunafurahia namna lugha ya kiswahili inavyomea-ingawa hatujaajiriwa!.
 
Pascal wewe ni kigeugeu sana aka Kinyonga. Hivi majuzi kwenye sakata la Mh Rais kuchagua wanaume sita kwenye Bunge, ulijinasibu na kutetea hoja yako kuwa hakuna wanawake wenye uwezo wa kuteuliwa kuwa Wabunge. Ulipigilia msumari tena kuwa hujaona hapa Tz.

Leo tena umejitokea na kuanza kuzungumza kivyako. Sasa uelewekeje? Au unajaribu kujitakasa?

Au unaitangaza shule?

Rejea uzi wako,
Tuacheni Kumlaumu Rais Kuteua Wanaume, TZ Hatuna Wanawake Wenye Sifa na Vigezo vya Kuteuliwa!
Siku nyingine ukisoma thread yoyote usome kama mtihani hii ndiyo JF tofauti na fb,Hata nikuuliza kwanini JF sijaandika jf huwezi kujibu kwa sababu hujaona tofauti,Tanzania ya wasomi wajinga
 
Mimi simlaumu kaka Pasikali!kwa wataalamu wa lugha kuna kitu kinaitwa kejeli hasa kwenye sanaa ya lugha!Ukisoma maandiko mengi ya kaka pasiko(kumradhi pasikali) utabaini huandika kwa unyume fulani hivi.Atasifu pasipo hitaji kusifu!hiyo ni kejeli na lengo linakuwa kujiweka ktk nafasi salama ili asijenaswa kwa uchochezi!Lakini wakati huo anakuwa ameiacha kaumu ktk tafakuri na mjadala wa mkali ambao mwishowe hufanikiwa kung'amua kilichofichwa nyuma ya andiko.Shaaban Robert ni mfano mzuri wa watunzi wa fasihi andishi ambao waliandika mambo kwa kuficha sana ili kuepuka makucha ya hayati J.k.Nyerere.Si twakumbuka kilichompata Kezilahabi?

Lengo kuu ikikuwa kutoa kejeli na funzo kwa taifa na serikali!Kuwa tumeshindwa kuenenda ktk misingi ya demokrasia hadi watoto wadogi wanatushinda!Tunachowaunza watoto ktk somo la uraia sicho tukitendacho!Chama dola na serikali kupitia tume yake ya uchaguzi vimenangwa ktk bandiko hili.

Lakini pia ktk upande wa pili,bwana Pasikali ni mjanja sana.Najiuliza alipata wapi taarifa za hayo yote?kuanzia kampeni mpaka uchaguzi?maana maelezo yako detailed mno!kwamba ni mnufaika ktk hiyo shule?anaitangaza kijanja!kuwa ewe mzazi hapa ndipo mahala sahihi pa kumkuza mwanao-awe kiongozi thabiti wa baadaye!Huo ni mchezo wa sanaa kwetu waalimu wa masomobya sanaa(hasa kiswahili) tunafurahia namna lugha ya kiswahili inavyomea-ingawa hatujaajiriwa!.
Wazazi wako hawakupoteza ada Mkuu,hongera kwa kumuelewa Pascal,
 
Pascal wewe ni kigeugeu sana aka Kinyonga. Hivi majuzi kwenye sakata la Mh Rais kuchagua wanaume sita kwenye Bunge, ulijinasibu na kutetea hoja yako kuwa hakuna wanawake wenye uwezo wa kuteuliwa kuwa Wabunge. Ulipigilia msumari tena kuwa hujaona hapa Tz.

Leo tena umejitokea na kuanza kuzungumza kivyako. Sasa uelewekeje? Au unajaribu kujitakasa?

Au unaitangaza shule?

Rejea uzi wako,
Tuacheni Kumlaumu Rais Kuteua Wanaume, TZ Hatuna Wanawake Wenye Sifa na Vigezo vya Kuteuliwa!


ndugu yangu lile lilikuwa ni dongo kwa magufuli hivi unaamini wanawake wenye sifa hawapo?


huko mavyuoni wanawake maprofesa wapo kibao pascal alitumia lugha nyingine kufikisha ujumbe ile ilikuwa kinyume
 
Jamani ndugu zangu nimegundua wengi sio wajanja kwenye lugha za picha kuna taarifa zingine inafaa kutumia lugha ya picha kufikisha ujumbe wengi mmezoea kupata habar bila kificho jaribuni kutuliza akili zenu na kuelewa mada pascal mjanja sana yafaa utulie kumuelewa bila hivyo mtatoka kapa wengine wanamuita mnafiki sio unafiki soma vizur na uelewe.
 
Matangazo ya Biashara au mwanao anasoma hapo......yaani we umeona kufanya hivyo tu ndo imekuwa kipimo tosha kuwa wanawake wanaweza bila kuwezeshwa!!!???
 
Kaka Pascal Mayalla, nimeupata ujumbe wako ulioulenga. Hukulenga uchaguzi wala demokrasia. Umelenga teuzi zinavyoendelea kutupendelea. Bravo!
Mnatetea uozo Kwa kutumia lugha fumbika Mr mzima mayala kachemka.kiafrika mtu mzima akijamba mbele za watu husingzia mtoto.uandishi wa mayala uko chini ya kwango kwa standard zote.Acheni kutetea uongo mnalea uozo kwenye tasnia ya habari
 
Hayo ni maigizo tu,akina Halima mdee,Estta Matiko,Estta Bulaya walishawahi kusimama na akina Wassira wakawabwaga hadi mahakamani.
 
Hata sie tulisoma democracy kwny Civics mbona, ila hali halisi unamkuta mwenyekiti Jaycha..anapendaga ujinga kwani??
 
Hakuna demokrasia hiyo shule mwalimu mkuu mwanaume Na mwenyekiti wa tume iliyosimamia uchaguzi mwanaume Na wewe mayala uliyeleta hizi habari mwanaume.Mfumo dume tupu hadi kwenye ofisi yako mayala.Lakini pia ulichoandika ni aibu Kwa taaluma ya habari.Hujaweka takwimu angalau ungeonyesha hiyo shule ina wasichana wangapi Na wavulana wangapi ukaweka sasa matokeo MTU aone maana kama shule labda ina wasichana 100 Na wavulana 8 unategemea matokeo yaweje? Waandishi wengi wa habari ukiwemo Mayala ni janga la kitaifa kwenye Tasnia ya habari.Halafu utakuta mnasifiana ujinga utasikia hii habari imeletwa Na mwandishi mkongwe Na nguli Pascal Mayala!!!!!!! Aibu
Mkuu Yehodaya, kwenye news kuna kitu kinaitwa "hard news" na "soft news", kwenye hard news ndipo all the facts huwekwa, kwenye soft news, cha muhimu ni main theme ambayo ni "wanawake wamewashinda wanaume".

Utanote sijaweka idadi ya wapiga kura, wala sijaweka majina ya walioshindwa wala kura za washindi!.

Kwenye mambo ya kura hakunaga issue ya gender ya wapiga kura, bali kwenye last para nimewapa overview ya matokeo ya sensa kuwa wanawake ni wengi zaidi ya wanaume hivyo hiyo ni direction kwenye kila jambo wanawake ndio wengi ikiwemo wapiga kura.

Niko media tangu 1990 hivyo mwaka huu ni mwaka wa 27!. Unguli ni long experience ya uzoefu wa muda mrefu nikimaanisha its the time that matter and not the content!, kubali kataa, mimi ni nguli, ila kusoma kitu unahitaji kujua kusoma tuu na kuandika, lakini kuelewa kilichoandikwa kunahitaji uwezo na kiwango fulani cha uelewa kuweza kunielewa! .

Paskali
 
Huko hakuna jecha, lubuva wala kailima ndiyo maana demokrasia imeshamiri, maccm yanatuharibia nchi Ndugu yangu mayalla
Mkuu MKWEPA KODI, kwanza usikwepe tena kodi.
Wanaoharibu sio CCM bali ni sisi wapiga kura ndio tunaichagua CCM kwa ridhaa yetu kupitia kwenye kura zetu kwenye sanduku la kura kwenye uchaguzi huru na wa haki.

Paskali
 
Back
Top Bottom