Vita tena mkuu?Yani huyu jamaa anajua sehemu za kumkalisha adui fasta nimekuwa nikifuatilia visa vyao aisee wanatisha kuna mmiliki aliwahi kuchomolewa koromea yani kisa alikuwa anawasevia msosi mdogo. Hii breed haijawa purposely kwa ajili ya ulinzi labda kwa ajili ya vita.
Kikosi cha mbwa na farasi hawatoi mafunzo ya mbwa wa raia, njia pekee ni kuongea na askari akufundishie au akufundishe kivyakoNenda kituo cha Polisi uwaulize unaweza kupata jibu sahihi mkuu.
Angalizo: Usikubali askari akuambie atakufundishia kwa njia za upenyo
kama hujafanya utafiti usiongee, walikuwa german shephardNasikia aina hiyo ndio waliomng'ata Kingunge?
Huyo Mbwa anatakiwa kuzoeana na mtu mmoja tu anayemlisha.
Huyu dog achana nae si unaona mpaka ana six part, Maamuzi yake na akili zake zinamtosha yeye tu afai hata kwa familia, anajifanyaga ana hasira hadi ansahau mmiliki anamng'ataView attachment 887596
mmmh uwe na kibali maalum kumfuga RW?Hila Rottweiler ni mtata sana zaidi ya huyu mziki wa Rottweiler mwingine alafu Huyu mbwa abweki bweki hovyo kwangu Rottweiler ndo balaa mpaka uwe na kibali maalumu kufuga rot
kama hujafanya utafiti usiongee, walikuwa german shephard
Ndio mkuu hao jamaa hawafai yani wapo aggressive kupita kiasi jaribu kupitia online ucheki videos wakat wana attack.Vita tena mkuu?
Yaan chotara wao,sindiyo,au nimeelewa vibaya mkuu?
Mkuu we bado ujamwelewa vizuri pitbull ni nani ila Ingia online umcheki vizuri do utajua utofauti na rottieHila Rottweiler ni mtata sana zaidi ya huyu mziki wa Rottweiler mwingine alafu Huyu mbwa abweki bweki hovyo kwangu Rottweiler ndo balaa mpaka uwe na kibali maalumu kufuga rot
Nina jamaa yangu anafanya biashara ya hawa viumbe wa aina mbali mbali. Anao wengi tu. Lakini, wakati wa kula, hao Pittbul huwa hawachanganyi na wengine. Anaweza kuwa na umbile dogo, lakini vita vyake, wakati mwingine mpaka mpinzani wake afe! Atakaposhika, haachii na meno yake kama msumeno.Mkuu we bado ujamwelewa vizuri pitbull ni nani ila Ingia online umcheki vizuri do utajua utofauti na rottie
Mkuu we bado ujamwelewa vizuri pitbull ni nani ila Ingia online umcheki vizuri do utajua utofauti na rottie
Khaa watanzania waongo bwana.Mbwa hao wamejaa mitaani halafu wewe unapiga watu kamba humuRottweiler mpaka uwe na kibali cha police na uwe na uzio mrefu sana yule ndo hatari watu wanasema Put bul nawaangalia nasema hiiii
Haswa umewaelewa mkuu yani huyo kushindwa kwake anapoamua kupambana ni kufa ndo kuridhika kwakeNina jamaa yangu anafanya biashara ya hawa viumbe wa aina mbali mbali. Anao wengi tu. Lakini, wakati wa kula, hao Pittbul huwa hawachanganyi na wengine. Anaweza kuwa na umbile dogo, lakini vita vyake, wakati mwingine mpaka mpinzani wake afe! Atakaposhika, haachii na meno yake kama msumeno.
Mbona kafanana na uchi?Huyu dog achana nae si unaona mpaka ana six part, Maamuzi yake na akili zake zinamtosha yeye tu afai hata kwa familia, anajifanyaga ana hasira hadi ansahau mmiliki anamng'ataView attachment 887596
Kh
Khaa watanzania waongo bwana.Mbwa hao wamejaa mitaani halafu wewe unapiga watu kamba humu