Shule ya mafunzo ya mbwa

Hapana si kweli.
Kwenye kushika mafunzo German shepherd ndo makini sana, hawa jamaa pits ni watata na wananguvu sana.

Ila kwa ulinzi tafuta rottweilers wapo vizuri sana.
 
Kulingana na report za hawa jamaa wanaojiita inside dog world mashambulio mengi ya mbwa dhidi ya binadamu yanasababishwa na hawa pitbulls

Wanasema mbwa hao ni hatari sana kwasababu wako powerful na bites zao sio za kawaida. Pia hawatabiriki kwani wana independent decision yani wanatabia ya kufanya maamuzi au shambulio pasipo kupokea maelekezo ya mmiliki na siku zote mashambulizi yao huwa yanaacha serious injuries au death kwasababu huwa wanacheza na sehemu muhimu

Hii imepelekea kuna baadhi ya nchi kama Malaysia, Singapore na Ireland sheria haziruhusu mtu binafsi mbwa wa aina hiyo. Wataalamu wanashauri ni hatari kwa first time owner kumiliki mbwa wa aina hii

Kwahyo mkuu kwa ushauri kama unataka breed za nje ni bora uchukue German shepherd. Ila pitbull utasababisha majanga kwa familia.
 
Duh! Ahsante,nimeelewa mkuu. Vp kuhusu German Shepherd?
 
Duh! Nashukuru mkuu
 
Nashukuru kwa ushauri mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…