Hahaha...umenikumbusha mzee, Kabisa alipotoka Kisusange, aliKaimu Asesisye...alipohamishwa, akaletwa Mgaya.Mm nimekuwepo enzi sa kisusange, akaja bwana mmoja anaitwa Mgaya na baadae akaja Mng'ong'o.
Iyunga is good place kwa kweli
HaahaAcha kabisa. Nilikuwa na mitambo miwili nilikuwa nachesha mahindi tuuu. Ukiingia Bweni la Luthuli darini kuna mabunzi ya mahindi kama gunia 10 hivi. Nilikuwa naiba mahindi mashamba ya barabarani jirani na uwanja wa basket
Siku hizi kuna bweni la Mkapa? Mimi kitambo nilitoka kulikuwa hamna bweni nilikuwa linaitwa mkapa kati haya ni lipi bweni limebadilishwa linaitwa mkapa? Mgabe,Lumumba,kawawa, S.Robert,Luthuli majina mawili ya bweni nimesahau moja karibu na mgabe kama unaelekea s,Robert na lingine opposite na kawawa.Wakati Nipo Form 4 bweni la mkapa likiungua. Dispensary ilihamishiwa hapa shaban robert
Tueleweshe mkuu.Naona mnachobishania wote hamkielewi!!!
Siku hizi kuna bweni la Mkapa? Mimi kitambo nilitoka kulikuwa hamna bweni nilikuwa linaitwa mkapa kati haya ni lipi bweni limebadilishwa linaitwa mkapa? Mgabe,Lumumba,kawawa, S.Robert,Luthuli majina mawili ya bweni nimesahau moja karibu na mgabe kama unaelekea s,Robert na lingine opposite na kawawa.
Hahhahah...Shule yetu Iyunga ya Ufundi, ipo katika Mkoa wa Mbeya, Magharibi mwa jiji la MbeyaWatu hawabishani. Huu uzi umebadirika. Now umekuwa Iyunga Tech. Sec. School
Asante sana kwa huuu wimboHahhahah...Shule yetu Iyunga ya Ufundi, ipo katika Mkoa wa Mbeya, Magharibi mwa jiji la Mbeya
Elimu ya Iyunga, ya kisasaaa, ya Kitanzania, kuiendeleeza ni Daiima
Miradi yetu,mafao yetu..Twaifanya pasipo kinyongo...Umoja wetu twaudumisha
Mkapa ni bweni lipo nyuma ya Luthuli. Kama unaweza kuvuta picha, kuna jengo lilikuwa kule Karibu na Luthuli.Siku hizi kuna bweni la Mkapa? Mimi kitambo nilitoka kulikuwa hamna bweni nilikuwa linaitwa mkapa kati haya ni lipi bweni limebadilishwa linaitwa mkapa? Mgabe,Lumumba,kawawa, S.Robert,Luthuli majina mawili ya bweni nimesahau moja karibu na mgabe kama unaelekea s,Robert na lingine opposite na kawawa.
Hahhahaha...Wimbo mzuri sana ule...Tulikuwa tunauimba kila Jumatatu.Asante sana kwa huuu wimbo
Hahhahaha...Wimbo mzuri sana ule...Tulikuwa tunauimba kila Jumatatu.
OK mpaka naondoka kulikuwa hamna jengo lolote jipya linajengwa.Mkapa ni bweni lipo nyuma ya Luthuli. Kama unaweza kuvuta picha, kuna jengo lilikuwa kule Karibu na Luthuli.
Pia kuna jengo jipya lilijengwa mbele ya Luthuli, linatizamana na mlango wa Luthuli...Lile niliondoka lilikuwa bado halijaanza kutumika.
Hahahahahah mgaya nilitokea kumpenda sana yule kuliku hata kisu .Hahaha...umenikumbusha mzee, Kabisa alipotoka Kisusange, aliKaimu Asesisye...alipohamishwa, akaletwa Mgaya.
Then, Mgaya akateuliwa kuwa Afisa Elimu. Ndo akashika usukani Maximo.
Daah! Mgaya alikuwa bonge la Mkuu wa Shule na aliikuta shule ipo kweny mtafaruku.
Mgay anakumbuka siku moja tupo Assembly akanukuu maneno ya bob Marleyule wa One Blood...hahaha
Mkapa liko luthuli kuleSiku hizi kuna bweni la Mkapa? Mimi kitambo nilitoka kulikuwa hamna bweni nilikuwa linaitwa mkapa kati haya ni lipi bweni limebadilishwa linaitwa mkapa? Mgabe,Lumumba,kawawa, S.Robert,Luthuli majina mawili ya bweni nimesahau moja karibu na mgabe kama unaelekea s,Robert na lingine opposite na kawawa.
OK mpaka naondoka kulikuwa hamna jengo lolote jipya linajengwa.
Hahahaha...na Zile Sharubu zake...hahha yule mzee alikuwa safuli kabisa, ingawaje alikaa muda mchache sana...Nakumbuka alivyotuaga, tulikula nyali siku ile...hahahha.Hahahahahah mgaya nilitokea kumpenda sana yule kuliku hata kisu .
Very fine person
Leaving yangu alisaini yeye
Nakumbuka msemo wa mmoja "a fool is a fool" kwa lafudhi yake utacheka hadi basi
Mbona mimi sioni mbali? Mimi 80sShikamoo mkuu
Duh 90's
Hahahahahah mgaya nilitokea kumpenda sana yule kuliku hata kisu .
Very fine person
Leaving yangu alisaini yeye
Nakumbuka msemo wa mmoja "a fool is a fool" kwa lafudhi yake utacheka hadi basi
Sio dampo ila haina lolote zaidi ya maji machafu yaliyotuama... Anyway nimeimis Sana shule yanguNmesoma iyunga
Na swimming pool haijageuzwa dampo
Hahahaha...na Zile Sharubu zake...hahha yule mzee alikuwa safuli kabisa, ingawaje alikaa muda mchache sana...Nakumbuka alivyotuaga, tulikula nyali siku ile...hahahha.
Nasikia jamaa bado Afisa Elimu Mbozi huko.