Dah ndimbo nlikuwa namuwekaga kwenye wakati mgumu sana maana haipiti siku nlikuwa lzma nmzingue alikuwa anaongea mpk anatetemekaMkuu Kabigi na ndimbo balaa. Ndimbo amenifundisha biology namshukuru sana nimekuwa mtaalam. Nahisi kuna member mmoja humu ni mtoto wa Kabigi.
Siku hizi ndipo ilipo Meta Sec. School karibu na Mabatini.Miaka ya hamsini mpaka baada ya Uhuru mji wa Mbeya ulikuwa na shule ya kati (middle school) iliyojulikana kwa majina ya N.A. (Native Authority) na baadaye L.A. (Local Authority).
Sifa kubwa ya shule hii ni kuweza kutoa viongozi wakubwa wa mashirika ya umma, viongozi hao ni Pro. Matthew Luhanga (makamu chuo kikuu Dar es Salaam), Linford Mbona (mkurugenzi ushirika la reli Tanzania) Elijah Bharuhan(sic) Luhanga (mkurugenzi mkuu Tanesco), Diamond Mwakyembe (mkurugenzi TBS), Nicholas Mbwanji (mkurugenzi NIT) , marubani wa ATC wawili ndugu Mwambapa! na wengine ambao nimewasahau majina, wote hawa ni wale waliondoka kabla ya mwaka 1964.
Kwa orodha hii inaonesha ni jinsi gani shule hii ya L A Middle School ilivyokuwa na viwango vya huu vya msingi wa elimu kuwawezesha kuinhia kwenye vyuo vikuu na kuweza kushika nyadhifa za huu nchini.
Kwa wenye kumbukumbu zaidi ninawakaribisha.
Alivyohamishwa Mng'ong'o, Mkuu wa shule alikuwa nani?Mng'ong'o alihamishiwa mwakaleli baada ya shule kuwa na matokeo mabovu sana ya advance 2016.
Ila sasa hivi kastaafu yuko kwao Njombe.
Teh teh. Umenikumbusha mbali sana.Dah ndimbo nlikuwa namuwekaga kwenye wakati mgumu sana maana haipiti siku nlikuwa lzma nmzingue alikuwa anaongea mpk anatetemeka
Yes alikuwa mwalimu wa biology
Ova
HHhhaaaa ile swimming pool sie tulio soma pcb iyungA ilikuwa chambo la vyura vya practicleNmesoma iyunga
Na swimming pool haijageuzwa dampo
Duuh! Mkuu...utakuwa una umri gani?Ada ya elfu mbili mawaziri wengi walishindwa kuilipa, mzee Aikaeli Mbowe, sir G. Kahama, chief Mkwawa ni miungoni ya wazazi walioweza kuwasomesha watoto wao hapo, wanafunzi wengi walikuwa wahindi, walimu wengi na headmaster wazungu, kwa waafrika wachaga wengi, wazungu hasa watoto wa masetla wenye mashamba makubwa wa nchini na nchi za jirani.
Kyege bado yupo?Ko ni kama Kyege ( Mwakasege)
Sangu kna sehemu inaitwa soweto pale shuleTeh teh. Umenikumbusha mbali sana.
Anaitwa MwantimwaAlivyohamishwa Mng'ong'o, Mkuu wa shule alikuwa nani?
Meta sekondari ni ya wazazi wa CCM, ninayoitafuta lilikuwa ya serikali lilikuwa shule ya bweni na haikuwa mbali sana na uwanja wa mpira wa zamani ilitenganishwa na uwanja wa Raga (rugby). Au CCM ilichukua?Siku hizi ndipo ilipo Meta Sec. School karibu na Mabatini.
Niliondoka Iyunga mwaka 1969, lilikuwa inaishia kidato cha NNE.Duuh! Mkuu...utakuwa una umri gani?
Shikamoo Mkuu.Niliondoka Iyunga mwaka 1969, lilikuwa inaishia kidato cha NNE.
Sijui ilienda wapi kwani sijawahi kufika huko miaka mingi, niliwahi kuishi Jacaranda nilikuta kuna TBC na kanisa KKKT nikalala mwenye lodge yao siku mbili ila sikushuka bondeni kuona kwani siku wa na muda. Pia Iyunga niliwahi kupita baada ya kuteremka Tazara ila sikupaelewa vizuri kutokana na ujenzi uliofanyika eneo lote. Hata hivyo baadhi ya niliowataja nimekutana nao Dar. ambapo ninaishi tangu miaka ya sitini hapo lilikuwa nasoma Mbeya.Kwa intro tuu ya mtoa mada, anajua hiyo shule ilienda wapi sema ameamua kutuchallange tuu
Niliwahi kuona kwenye luninga mabweni yaliyoungua, nilisikitika na sikuelewa kwa vipi!Shikamoo Mkuu.
Baada ya Miaka 36 tangu uondoke Iyunga...Mimi ndo nilienda kuanza Form One.
Nimecheka Sana.nakumbuka siku loleza ikitua kambini tulikua tukitafutana.zile scramble za misosi zinaishaMachine zilishakufa mkuu..
Ule ukumbi bado upo na pini za loleza nasikia zinapigwa kama kawaida .
Mle ndani paper ikikugonga unaanza kukumbuka ujinga wote uliokuwa unaufanya na watto wa loleza
Swimming pool ilikuwa inafagiliwa kila siku. Tena hili lilikuwa eneo la EK la form four.Na swimming pool haijageuzwa dampo
Na sisi wa Kibasila lol!Naona uzi umevamiwa na wanafunzi wa Iyunga.Je sisi tuliosoma AZANIA tunacomment wapi?
Mabweni yamechakaa sana...kuanzia miundo mbinu ya umeme, maji...Madirisha...Ceiling bodi...Sakafu...vyoo...Niliwahi kuona kwenye luninga mabweni yaliyoungua, nilisikitika na sikuelewa kwa vipi!