Mdanganywa
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 620
- 343
Mambo yamebadilika. Miaka sita iliyopita watu walikuwa wanazikimbia shule za serikali wanagombania shule za private.
Hali imekuwa kinyume miaka hii na hasa mwaka huu. Sasa shule za serikali zimefurika wanafunzi wakati sekondari za private zina wanafunzi kiduchu.
Ukizingatia kwamba sekondari za private zina wawekezaji wababaishaji yaani hawaja invest wanategemea mapato kutoka kwenye ada ya wanafunzi.
Sasa kama una wanafunzi hawazidi 20 darasani maana yake hiyo shule inasuasua hata kama wanafunzi wanalipa ada kwa wakati.
Sasa huwa hawalipi kwa wakati na hivyo kuongeza tatizo.
Matokeo yake shule haziendesheki na hata kulipa mishahara walimu ni tabu tupu.
Matokeo yake ni kufeli wanafunzi na shule kukosa mvuto kabisa.
Hali ikiendelea hivi miaka miwli ijayo basi private secondary schools zitafungwa na zitabaki za kanisa tu.
Hali imekuwa kinyume miaka hii na hasa mwaka huu. Sasa shule za serikali zimefurika wanafunzi wakati sekondari za private zina wanafunzi kiduchu.
Ukizingatia kwamba sekondari za private zina wawekezaji wababaishaji yaani hawaja invest wanategemea mapato kutoka kwenye ada ya wanafunzi.
Sasa kama una wanafunzi hawazidi 20 darasani maana yake hiyo shule inasuasua hata kama wanafunzi wanalipa ada kwa wakati.
Sasa huwa hawalipi kwa wakati na hivyo kuongeza tatizo.
Matokeo yake shule haziendesheki na hata kulipa mishahara walimu ni tabu tupu.
Matokeo yake ni kufeli wanafunzi na shule kukosa mvuto kabisa.
Hali ikiendelea hivi miaka miwli ijayo basi private secondary schools zitafungwa na zitabaki za kanisa tu.