Kumbe wewe jamaa ni wa Kike!!Shule za serikali zimerudisha hadhi yake,nakumbuka kipindi nasoma weruweru,enzi hizo shule za serikali zilikua juu sana
Wote mnaongea kitu kimoja sema mmepita njia tofauti. Source kubwa watu kukosa pesa. Nina ndugu yangu anatoa mtoto wake kutoka primary za ki inglish kwenda za kajamb@nani. Sababu fulusu.Umelogwa na kichaa juu, rudia? Taja zilizofungwa kwa kukosa wanafunzi.
Hata kama ni hivyo, sababu ni IPI? Watu hawana hela kwa sababu ya mismanagement of economy by this regime
Nimesoma Weruweru boys.Kumbe wewe jamaa ni wa Kike!!
Wenzako wanalia kitanzi cha mikopo ya elimu ya juu wewe unawaza tena kusomesha au kusoma shule ya serikali kwa ajili ya mkopo? hivi ikiwa mzazi ameweza kulipa ada ya shilingi milion mbili kwa elimu ya msingi atashindwaje kulipa kulipa shilingi laki au milion moja laki moja kama tution fees chuo kikuu?Kuna ka ukweli hapa.
Hali hii imetokana na wanafunzi wanaopata mikopo ya elimu ya juu ni wale waliosoma shule za Serikali, Pia ukata mkali huku mtaani nao unachangia wazazi kuwaacha watoto wao wasome shule za kata.
Ok sawa japo sijawahi sikia hiyo shule.Nimesoma Weruweru boys.
😂😂😅🙂🙂Ok sawa japo sijawahi sikia hiyo shule.
Mwimba pambio,kwamba upande huo unafanya viziri hivyo umekuwa chaguo la wengi,tafsiri yake.Furaha yako imechagizwa na nini ?
Unachekelea kusomeshewa mtoto bure wakati chuo ambako ni gharama zaidi unalipa mwenyeweWewe jichekeshe eti unasomeshewa mtoto Bure !!!
Wengi waliokuwa wanasomesha watoto wao private wameshindwa kwa sababu vyuma vimekaza, watu wamefilisika!
Lakini najua baada ya muda watu watasimama tena! huu upepo mbaya utapita!
Kumbe wewe ni Ke?Shule za serikali zimerudisha hadhi yake,nakumbuka kipindi nasoma Weruweru, enzi hizo shule za serikali zilikua juu sana
Duuuh. Iko maeneo gani?Ooh, kwa ufafanuzi, nimesoma Weruweru boys,siyo girls
sasa hapo umekubaliana nae au umepingana nae!?Umelogwa na kichaa juu, rudia? Taja zilizofungwa kwa kukosa wanafunzi.
Hata kama ni hivyo, sababu ni IPI? Watu hawana hela kwa sababu ya mismanagement of economy by this regime.
Hizo shule ni ngapi kati ya ngapi mkuu?Upo wapi wewe??? Weka idadi katika shule hizo na majina yao!!
Jaribu kutembelea Jitegemee na St Francis utuwekee idadi ya mwanafunzi.
Watu hawana hela kwa sababu ya upimbi wa jpm! Usiwasanganye watuUmelogwa na kichaa juu, rudia? Taja zilizofungwa kwa kukosa wanafunzi.
Hata kama ni hivyo, sababu ni IPI? Watu hawana hela kwa sababu ya mismanagement of economy by this regime.
Nyingi Sana labda wewe Kama uko nje ya nchi. Mfano kifai sec school kiluvya, perfect vision ubungo, mzinga sec banana, abc capital kinyerezi, right wing majumba sita n.k zote zimefungwa chini ya dictator magufuliKweli nimeamini mbwa mpe jina baya Hili jamaa tangu lijibandike jina la "Mdanganywa" kweli linadanganywa! Shule gani ya Private imekosa wanafunzi?
Au potezea tu bana...Duuuh. Iko maeneo gani?
Mkuu miaka yote hii nilijua wewe ni ME!Shule za serikali zimerudisha hadhi yake,nakumbuka kipindi nasoma Weruweru, enzi hizo shule za serikali zilikua juu sana