Shukurani wana jf!!

goodmother

Senior Member
Jul 21, 2012
108
77
takribani miezi 2 iliyopita niliingia hapa jamvini kuomba ushauri wenu, nanyi bila hiyana mlinishauri kadiri mlivyoona inafaa nashukuru sana kwni ushauri wenu niliuzingatia na mimi nikachanganya na mawazo yangu, nilikaa na mume wangu tukazungumza tuakakubaliana kutengana kwa muda wa mwezi mmoja ili kupima mienendo yetu ikiwemo yeye kuacha tabia zake, na kuahakikisha kweli watoto wanaosemekana ni wakwake wakapime DNA. alikubali mapendekezo yangu akafanya vile na watoto wameonakana siyo wa kwake!! kwani nilmwomba kama kweli ni wake asiwatelekeze kama alivyokuwa anafanya hapo awali,, mimi sipendi mtoto ateseke kwa kweli na nilipoona mazingira ambayo hao watoto walikuwa wanaishi nilingiwa na huruma na ndiyo sababu ya kumwomba awahudumie kama kweli ni wakwake. amekubali kujirekebisha ikiwemo pia mimi kurekebisa mapungufu ambayo alinieleza niyarekebishe,. NASHUKURUNI SANA KWANI USHAURI WENU NDIYO ULIONIPA UJASIRI WA KUONGEA NAYE KWA UTULIVU NA YEYE KUNIELEWA KULIKO ILVYOKUWA AWALI NILIKUWA NANYAMAZA NA WAKATI MWINGINE KUGOMBANA NA KUSUSA !! NAOMABA MUNGU AWE KWELI AMEJIREKEBISHA. NAZIDISHA SHUKURANI KWENU.
 
utukufu ni kwa bwana my dear!
kumbe yule dada wa bar alikuwa anamsingizia
endelea kumuombea mume wako maana ni bwana ametenda
usichoke kuomba
 
takribani miezi 2 iliyopita niliingia hapa jamvini kuomba ushauri wenu, nanyi bila hiyana mlinishauri kadiri mlivyoona inafaa nashukuru sana kwni ushauri wenu niliuzingatia na mimi nikachanganya na mawazo yangu, nilikaa na mume wangu tukazungumza tuakakubaliana kutengana kwa muda wa mwezi mmoja ili kupima mienendo yetu ikiwemo yeye kuacha tabia zake, na kuahakikisha kweli watoto wanaosemekana ni wakwake wakapime DNA. alikubali mapendekezo yangu akafanya vile na watoto wameonakana siyo wa kwake!! kwani nilmwomba kama kweli ni wake asiwatelekeze kama alivyokuwa anafanya hapo awali,, mimi sipendi mtoto ateseke kwa kweli na nilipoona mazingira ambayo hao watoto walikuwa wanaishi nilingiwa na huruma na ndiyo sababu ya kumwomba awahudumie kama kweli ni wakwake. amekubali kujirekebisha ikiwemo pia mimi kurekebisa mapungufu ambayo alinieleza niyarekebishe,. NASHUKURUNI SANA KWANI USHAURI WENU NDIYO ULIONIPA UJASIRI WA KUONGEA NAYE KWA UTULIVU NA YEYE KUNIELEWA KULIKO ILVYOKUWA AWALI NILIKUWA NANYAMAZA NA WAKATI MWINGINE KUGOMBANA NA KUSUSA !! NAOMABA MUNGU AWE KWELI AMEJIREKEBISHA. NAZIDISHA SHUKURANI KWENU.

Mshukuru Mungu kwa kila jambo, kila jambo hutokea ili tujifunze na kujirekebisha,
ushauri wangu, mshirikiane ktk shida na raha siku zote za maisha yenu, lakini unapaswa pia kumwomba Mungu
kila siku **b4 yo go to slp and b4 yo go to job** (Maombi ya Familia)...this is nice one i have experienced
 
nayeye ndivyo alivyoniambia nimshirikishe kwa kila jambo, kwani aliona kama vile simpi umuhimu kwani mambo mengi ambayo hayahusiana na familia yetu yaani mimi na yeye nilikuwa nafanya mwenyewe bila kumshirikisha. nashukuru nimegundua mapungufu na nazidi kumwomba MUNGU. pia yeye ndiye amekuwa kiongozi wa sala kwa familia pindi anapokuwa nyumbani.
 
takribani miezi 2 iliyopita niliingia hapa jamvini kuomba ushauri wenu, nanyi bila hiyana mlinishauri kadiri mlivyoona inafaa nashukuru sana kwni ushauri wenu niliuzingatia na mimi nikachanganya na mawazo yangu, nilikaa na mume wangu tukazungumza tuakakubaliana kutengana kwa muda wa mwezi mmoja ili kupima mienendo yetu ikiwemo yeye kuacha tabia zake, na kuahakikisha kweli watoto wanaosemekana ni wakwake wakapime DNA. alikubali mapendekezo yangu akafanya vile na watoto wameonakana siyo wa kwake!! kwani nilmwomba kama kweli ni wake asiwatelekeze kama alivyokuwa anafanya hapo awali,, mimi sipendi mtoto ateseke kwa kweli na nilipoona mazingira ambayo hao watoto walikuwa wanaishi nilingiwa na huruma na ndiyo sababu ya kumwomba awahudumie kama kweli ni wakwake. amekubali kujirekebisha ikiwemo pia mimi kurekebisa mapungufu ambayo alinieleza niyarekebishe,. NASHUKURUNI SANA KWANI USHAURI WENU NDIYO ULIONIPA UJASIRI WA KUONGEA NAYE KWA UTULIVU NA YEYE KUNIELEWA KULIKO ILVYOKUWA AWALI NILIKUWA NANYAMAZA NA WAKATI MWINGINE KUGOMBANA NA KUSUSA !! NAOMABA MUNGU AWE KWELI AMEJIREKEBISHA. NAZIDISHA SHUKURANI KWENU.


ungekumbushia kidogo ni thread ipi?
tujikumbushe
 
Tunakutakia ndoa yenye amani na upendo. Zingatieni na jitahidi sana kutekeleza makubaliano yenu ili msije mkajikuta mnarudi kwenye hali ile ile ya awali.
 
Back
Top Bottom